-
Umoja wa Ulaya wafuta makubaliano yake ya biashara na Morocco
Sep 30, 2021 02:56Mahakama Kuu ya Umoja wa Ulaya imefuta makubaliano ya biashara baina ya nchi za umoja huo na Morocco kutokana na mgogoro wa Polisario.
-
Mgogoro wa nishati Uingereza, nembo ya kushindwa serikali ya Wahafidhina
Sep 29, 2021 22:53Mgogoro wa mafuta na uhaba wa petroli nchini Uingereza ni mkubwa kisasi kwamba magari yamekuwa yakihujumu vituo vya mafuta kwa ajili ya kupata bidhaa hiyo muhimu lakini bila mafanikio, jambo ambalo hatimaye limeipelekea serikali ya Wahafidhina kulitaka jeshi liwe tayari kuingilia kati ili kuokoa hali ya mambo.
-
Juhudi za Biden za kujaribu kupunguza mvutano baina ya Marekani na Ufaransa
Sep 23, 2021 22:46Kufuatia mazungumzo ya simu ya Marais Joe Biden wa Marekani na Emmanuel Macron wa Ufaransa hapo siku ya Jumatano, viongozi hao wametoa taarifa ya pamoja wakisema wameamua kuendelea na mashauriano kwa ajili ya kutatua hitilifu zilizojitokeza baina ya pande mbili kuhusu mkataba wa kiusalama wa AUKUS.
-
Mawaziri wa EU waiunga mkono Ufaransa dhidi ya Marekani katika mzozo wa nyambizi
Sep 21, 2021 03:10Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya Joseph Borrell amesema nchi wanachama wa umoja huo zimeonyesha uungaji mkono wao na mshikamano kwa Ufaransa katika mzozo wa nyambizi kati yake na Marekani.
-
Kushadidi mivutano baina ya Marekani na Ufaransa, Paris yamwita nyumbani balozi wake mjini Washington
Sep 18, 2021 21:52Ufaransa imechukua uamuzi wa kumwita nyumbani balozi wake mjini Washington sambamba na kushadidi mivutano katika uhusiano wa serikali ya Paris na Marekani. Vilevile imechukua hatua ya kumrejesha nyumbani balozi wake nchini Australia kama hatua ya kuonesha malalamiko yake.
-
Rais Raisi: Mahusiano ya Iran na nchi za Ulaya yanategemea kuzingatiwa msingi wa kuheshimiana
Sep 08, 2021 22:47Rais Ebrahim Raisi amesema, mahusiano ya Iran na nchi za Ulaya yanategemea kuchungwa na kuzingatiwa msingi wa kuheshimiana baina ya pande mbili.
-
Borrell: Afghanistan imedhihirisha mapungufu ya Umoja wa Ulaya
Sep 06, 2021 20:53Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa Afghanistan kwa kiasi kikubwa imeonyesha kuwa, mapungufu na kushindwa Umoja wa Ulaya kuchukua hatua kimataifa kuna gharama zake.
-
Mgogoro wa corona na kushadidi mpasuko ndani ya Umoja wa Ulaya (EU)
Sep 02, 2021 22:00Mielekeo na fikra za kutaka kujitenga zimeongezeka na kupata nguvu zaidi barani Ulaya kutokana na kuongezeka migogoro ya kijamii katika nchi za bara hilo.
-
Umoja wa Ulaya waendelea kuingilia masuala ya ndani ya Afghanistan
Aug 16, 2021 22:04Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya ameingilia tena masuala ya ndani ya Afghanistan sambamba na kufumbia jicho jinai zilizofanywa na Marekani na waitifaki wake wa Ulaya nchini Afghanistan.
-
Mgogoro wa wakimbizi; italia yataka kuitishwe kikao maalumu cha kutafuta suluhisho
Aug 05, 2021 21:54Waziri wa Mambo ya Ndani wa Italia ametoa wito wa kuitishwa kikao maalumu cha kutafuta ufumbuzi wa mgogoro wa wakimbizi na kugawana wakimbizi hao baina ya nchi za Ulaya kwa uadilifu.