-
Kongresi ya Marekani yaishinikiza EU iitambue Hizbullah kama kundi la kigaidi
Jul 28, 2021 02:47Kundi moja la wawakilishi wa vyama viwili vya Republican na Democratic katika Kongeresi ya Marekani limetoa wito wa kushinikizwa Umoja wa Ulaya ili uitambua harakati yote ya Hizbullah kuwa ni "kundi la kigaidi".
-
Ethiopia yauonya Umoja wa Ulaya; yautaka usipendelee upande wowote katika mzozo wa Bwawa la al-Nahdha
Jul 21, 2021 07:40Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Ethiopia amesema kuwa, nchi yake inapinga upatanishi wa aina yoyote wa Bwawa la al-Nahdha ambao upo nje ya fremu ya Umoja wa Afrika na kuuonya Umoja wa Ulaya kwamba, usipendelee upande wowote katika mzozo huo.
-
Umoja wa Ulaya: Kashfa ya ujasusi unaofanywa na Israel haikubaliki kabisa
Jul 19, 2021 21:51Mkuu wa Kamisheni ya Ulaya amesema kuwa, kashfa ya hivi karibuni ya ujasusi uliofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel inakinzana na sheria zote za Umoja wa Ulaya.
-
Merkel: Ulaya huru inapaswa kupunguza mivutano kati yake na Russia
Jun 26, 2021 02:46Kansela wa Ujerumani amesema kuwa, Umoja wa Ulaya wenye nguvu za kiutawala na uhuru, unabidi ulinde manufaa ya nchi za bara hilo na ufanye mazungumzo na Russia kama yale yaliyofanyika baina ya rais wa Marekani, Joe Biden na Rais Vladimir Putin wa Russia.
-
EU kuiondolea Burundi vikwazo, mchakato umeanza
Jun 22, 2021 21:56Umoja wa Ulaya umeanzisha mchakato wa kuiondolea Burundi vikwazo ambavyo vilifunga kabisa mlango wa kupewa misaada serikali ya Bujumbura.
-
Umoja wa Ulaya watoa onyo kali kwa Uingereza
Jun 13, 2021 02:35Wakuu wa Umoja wa Ulaya wametoa onyo kali kwa waziri mkuu wa Uingereza na kumtaka aheshimu ahadi za London ndani ya Brexit.
-
Safari ya kwanza ya Joe Biden barani Ulaya, mshikamano wa pande mbili za Atlantic na tahadhari kwa Russia
Jun 10, 2021 21:36Rais Joe Biden wa Marekani Jumatano wiki hii aliekelea barani Ulaya ikiwa safari yake ya kwanza nje ya nchi baada ya kushika hatamu za uongozi.
-
UN: Umoja wa Ulaya unahusika katika vifo vya wahamiaji Bahari ya Mediterania
May 26, 2021 21:49Umoja wa Mataifa umesema kuwa Umoja wa Ulaya ni mhusirika katika vifo vya wahamiaji wanaoaga dunia mara kwa mara katika Bahari ya Mediterania wakiwa mbioni kelekea katika nchi za bara hilo.
-
Umoja wa Ulaya wakaribisha kurefushwa makubaliano ya kiufundi kati ya Iran na IAEA
May 26, 2021 03:59Enrique Mora Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Ulaya Kuhusu Hatua za Kigeni amekaribisha makubaliano ya kiufundi yaliyofikiwa hivi karibuni kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia IAEA na kuyataja kuwa 'makuabaliano mazuri.' Amesema makubaliano hayo yataandaa uwanja unaofaa kwa ajili ya kufikiwa mapatano ya kuridhisha mjini Vienna.
-
EU yajipanga kutoa misaada kwa Libya na Tunisia ili kuzuia wahajiri wasielekee Ulaya
May 20, 2021 23:07Kamishna wa Mambo ya Ndani katika Umoja wa Ulaya (EU) Ylva Johansson, amesema umoja huo unashauriana na Tunisia na Libya ili kufikia mapatano yatakayowezesha kuzuia wahajiri wasielekee barani ya Ulaya.