-
Kuongezeka wasiwasi wa kusambaratika Umoja wa Ulaya
Apr 07, 2020 03:43Kuenea virusi vya corona au kwa jina la kitaalamu COVID-19, na uhaba wa vifaa vya afya na tiba barani Ulaya, kumewapelekea wataalamu na viongozi wengi wa bara hilo kuwa na wasi wasi mkubwa wa kuhatarishwa umoja na mshikamano wa Umoja wa Ulaya.
-
Rais Rouhani: Kuzinduliwa INSTEX ni hatua chanya, lakini haitoshi
Apr 06, 2020 23:01Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepongeza kuzinduliwa mfumo maalumu wa mabadilishano ya fedha kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Umoja wa Ulaya (INSTEX) na kusisitiza kuwa hatua hiyo ni chanya, lakini haitoshi kukidhi maslahi yote ya Iran.
-
Mawaziri wa zamani wa Ujerumani waonya tena juu ya hatari ya kusambaratika Umoja wa Ulaya
Apr 05, 2020 22:02Mawaziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Ujerumani wameonya juu ya uwezekano wa kusambaratika Umoja wa Ulaya na itibari yake kutokana na mgogoro wa virusi vya Corona.
-
Uamuzi wa Umoja wa Ulaya wa kupunguza vikwazo dhidi ya Syria, Libya na Yemen
Apr 05, 2020 02:58Kufuatia kuenea janga la corona kote duniani, na pamoja na kuwepo sisitizo la ushirikiano wa kimataifa katika kudhibiti na kupunguza kuenea corona, kuendelea vikwazo vya baadhi ya nchi, ikiwemo Marekani, ni chanzo cha kuvurugika vita dhidi ya corona. Vikwazo hivyo vimezuia nchi nyingi kupata bidhaa na vifaa vya kiafya vinavyohitajika kukabiliana na janga la corona.
-
Tahadhari yatolewa juu ya uwezekano wa kugawika Umoja wa Ulaya kufuatia Corona
Apr 03, 2020 07:28Viongozi wa Umoa wa Ulaya, kwa kuzingatia kuongezeka maambukizi ya virusi vya Corona, wametoa tahadhari juu ya hatari ya kugawanyika umoja huo.
-
Wasi wasi wa Umoja wa Ulaya kuhusu kuendelea mapigano nchini Yemen, undumakuwili wa EU
Apr 01, 2020 05:11Tangu mwezi Machi 2015, Saudi Arabia iliunda muungano kwa kushirikiana na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) na kuanzisha vita vya kidhalimu dhidi ya watu wa Yemen na hadi sasa makumi ya maelfu ya raia wa nchi hiyo wameshauawa shahidi na kujeruhiwa.
-
Corona na kushadidi changamoto za kiuchumi barani Ulaya
Mar 26, 2020 08:22Kugeuka Ulaya na kuwa kitovu cha kuenea virusi vya Corona (Covid-19) katika siku siku za hivi karibuni sambamba na kuongezeka idadi ya walioambukiizwa na virusi hivyo barani Ulaya kumepelekea kuibuka wasiwasi mkubwa katika uga wa utoaji huduma za tiba, afya, huduma za kibinadamu na kijamii katika nchi za bara hilo.
-
EU yaitaka jamii ya kimataifa ishirikiane na Iran kupambana na Covid-19
Mar 23, 2020 22:40Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya ametoa mwito kwa jamii ya kimataifa kushirikiana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kipindi hiki cha kukabiliana na virusi vya Corona.
-
Virusi vya Corona na matokeo ya kufungwa mipaka ya Umoja wa Ulaya
Mar 19, 2020 23:09Nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya zimechukua hatua ambayo haijawahi kushuhudiwa ya kufunga mipaka yao kwa muda wa siku 30 lengo likiwa ni kudhibiti usambaaji wa virusi vya Covid-19 (Corona).
-
Malalamiko ya Ujerumani kwa hatua ya Uturuki ya kuzishinikiza nchi za Ulaya kupitia wakimbizi
Mar 04, 2020 04:42Kansela wa Ujerumani Angela Merkel ameitaja hatua ya Uturuki ya kutumia kadhia ya wakimbizi kuishinikiza Ulaya kuwa jambo lisilokubalika kufuatia nchi hiyo kufungua mipaka yake na kupelekea kumiminika Ulaya maelfu ya wakimbizi waliokuwa wakiishi katika kambi huko Uturuki.