Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • Kuongezeka wasiwasi wa kusambaratika Umoja wa Ulaya

    Kuongezeka wasiwasi wa kusambaratika Umoja wa Ulaya

    Apr 07, 2020 03:43

    Kuenea virusi vya corona au kwa jina la kitaalamu COVID-19, na uhaba wa vifaa vya afya na tiba barani Ulaya, kumewapelekea wataalamu na viongozi wengi wa bara hilo kuwa na wasi wasi mkubwa wa kuhatarishwa umoja na mshikamano wa Umoja wa Ulaya.

  • Rais Rouhani: Kuzinduliwa INSTEX ni hatua chanya, lakini haitoshi

    Rais Rouhani: Kuzinduliwa INSTEX ni hatua chanya, lakini haitoshi

    Apr 06, 2020 23:01

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepongeza kuzinduliwa mfumo maalumu wa mabadilishano ya fedha kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Umoja wa Ulaya (INSTEX) na kusisitiza kuwa hatua hiyo ni chanya, lakini haitoshi kukidhi maslahi yote ya Iran.

  • Mawaziri wa zamani wa Ujerumani waonya tena juu ya hatari ya kusambaratika Umoja wa Ulaya

    Mawaziri wa zamani wa Ujerumani waonya tena juu ya hatari ya kusambaratika Umoja wa Ulaya

    Apr 05, 2020 22:02

    Mawaziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Ujerumani wameonya juu ya uwezekano wa kusambaratika Umoja wa Ulaya na itibari yake kutokana na mgogoro wa virusi vya Corona.

  • Uamuzi wa Umoja wa Ulaya wa kupunguza vikwazo dhidi ya Syria, Libya na Yemen

    Uamuzi wa Umoja wa Ulaya wa kupunguza vikwazo dhidi ya Syria, Libya na Yemen

    Apr 05, 2020 02:58

    Kufuatia kuenea janga la corona kote duniani, na pamoja na kuwepo sisitizo la ushirikiano wa kimataifa katika kudhibiti na kupunguza kuenea corona, kuendelea vikwazo vya baadhi ya nchi, ikiwemo Marekani, ni chanzo cha kuvurugika vita dhidi ya corona. Vikwazo hivyo vimezuia nchi nyingi kupata bidhaa na vifaa vya kiafya vinavyohitajika kukabiliana na janga la corona.

  • Tahadhari yatolewa juu ya uwezekano wa kugawika Umoja wa Ulaya kufuatia Corona

    Tahadhari yatolewa juu ya uwezekano wa kugawika Umoja wa Ulaya kufuatia Corona

    Apr 03, 2020 07:28

    Viongozi wa Umoa wa Ulaya, kwa kuzingatia kuongezeka maambukizi ya virusi vya Corona, wametoa tahadhari juu ya hatari ya kugawanyika umoja huo.

  • Wasi wasi wa Umoja wa Ulaya kuhusu kuendelea mapigano nchini Yemen, undumakuwili wa EU

    Wasi wasi wa Umoja wa Ulaya kuhusu kuendelea mapigano nchini Yemen, undumakuwili wa EU

    Apr 01, 2020 05:11

    Tangu mwezi Machi 2015, Saudi Arabia iliunda muungano kwa kushirikiana na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) na kuanzisha vita vya kidhalimu dhidi ya watu wa Yemen na hadi sasa makumi ya maelfu ya raia wa nchi hiyo wameshauawa shahidi na kujeruhiwa.

  • Corona na kushadidi changamoto za kiuchumi barani Ulaya

    Corona na kushadidi changamoto za kiuchumi barani Ulaya

    Mar 26, 2020 08:22

    Kugeuka Ulaya na kuwa kitovu cha kuenea virusi vya Corona (Covid-19) katika siku siku za hivi karibuni sambamba na kuongezeka idadi ya walioambukiizwa na virusi hivyo barani Ulaya kumepelekea kuibuka wasiwasi mkubwa katika uga wa utoaji huduma za tiba, afya, huduma za kibinadamu na kijamii katika nchi za bara hilo.

  • EU yaitaka jamii ya kimataifa ishirikiane na Iran kupambana na Covid-19

    EU yaitaka jamii ya kimataifa ishirikiane na Iran kupambana na Covid-19

    Mar 23, 2020 22:40

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya ametoa mwito kwa jamii ya kimataifa kushirikiana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kipindi hiki cha kukabiliana na virusi vya Corona.

  • Virusi vya Corona na matokeo ya kufungwa mipaka ya Umoja wa Ulaya

    Virusi vya Corona na matokeo ya kufungwa mipaka ya Umoja wa Ulaya

    Mar 19, 2020 23:09

    Nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya zimechukua hatua ambayo haijawahi kushuhudiwa ya kufunga mipaka yao kwa muda wa siku 30 lengo likiwa ni kudhibiti usambaaji wa virusi vya Covid-19 (Corona).

  • Malalamiko ya Ujerumani kwa hatua ya Uturuki ya kuzishinikiza nchi za Ulaya kupitia wakimbizi

    Malalamiko ya Ujerumani kwa hatua ya Uturuki ya kuzishinikiza nchi za Ulaya kupitia wakimbizi

    Mar 04, 2020 04:42

    Kansela wa Ujerumani Angela Merkel ameitaja hatua ya Uturuki ya kutumia kadhia ya wakimbizi kuishinikiza Ulaya kuwa jambo lisilokubalika kufuatia nchi hiyo kufungua mipaka yake na kupelekea kumiminika Ulaya maelfu ya wakimbizi waliokuwa wakiishi katika kambi huko Uturuki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS