-
Kura ya turufu ya Ugiriki na hatua ya Uturuki ya kuwaweka rehani wakimbizi
Mar 01, 2020 07:09Uingiliaji wa wazi wa askari wa Uturuki katika mkoa wa Idlib nchini Syria, katika kuyaunga mkono makundi ya kigaidi yanayoendesha harakati zake mkoani humo, umepata uungaji mkono wa Wamagharibi.
-
EU yakosoa mpango wa Israel wa kujenga vitongoji vipya Ukingo wa Magharibi
Feb 29, 2020 09:50Umoja wa Ulaya umekosoa vikali mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kujenga maelfu ya vitongoji vipya vya walowezi wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na utawala huo ghasibu.
-
Baraza la Usalama la UN launga mkono suala la kuundwa nchi huru ya Palestina
Feb 26, 2020 01:03Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limetangaza uungaji mkono wake kamili kwa suala la kuundwa nchi huru ya Palestina na kuendelezwa "mazungumzo yenye itibari" baina ya pande mbili.
-
Umoja wa Ulaya: Tunaunga mkono kuundwa nchi huru ya Palestina
Feb 22, 2020 09:10Josep Borrell, Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesisitiza kuwa, umoja huo unaunga mkono juhudi zinazofanyika kwa ajili ya kuundwa nchi huru ya Palestina.
-
Borrell akosoa msimamo wa Umoja wa Ulaya kuhusu mapatano ya JCPOA
Feb 17, 2020 09:31Umoja wa Ulaya na Troika ya Ulaya inayojumuisha Ujerumani, Ufaransa, na Uingereza ni pande ambazo zimekuwa na nafasi muhimu katika kufikiwa mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA). Lakini baada ya Markenai kujiondoa katika mapatano hayo, pande hizo hazijachukua hatua za kivitendo kuyalinda na sasa hata maafisa wa ngazi za juu wa Umoja wa Ulaya wamekiri kuhusu udhaifu huo.
-
"Njia sahihi ya kuupatia ufumbuzi mgogoro uliopo, ni Ulaya kufungamana na JCPOA"
Feb 16, 2020 04:37Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran inataraji kuwa nchi za Ulaya zitafungamana na ahadi zake kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kama zilizovyoahidi, na kwamba hatua hiyo ndiyo njia pekee na sahihi ya kuyapatia ufumbuzi matatizo yaliyopo.
-
Ukosoaji wa Umoja wa Ulaya dhidi ya mpango wa Marekani wa 'Muamala wa Karne'
Feb 06, 2020 03:50Wiki moja baada ya Rais Donald Trump wa Marekani kuzindua mpango unaotajwa kuwa 'Muamala wa Karne,' kuhusiana na mzozo wa Palestina na utawala haramu wa Israel, Mkuu wa Siasa za Kigeni wa Umoja wa Ulaya ametoa taarifa akisema kuwa mpango huo unakinzana wazi na mikataba ya kimataifa na kutambua rasmi utawala wa Israel juu ya ardhi zilizoghusubiwa na utawala huo mwaka 1967.
-
EU yapinga njama za Trump dhidi ya Wapalestina
Feb 05, 2020 01:16Umoja wa Ulaya umepinga mpango uliopendekezwa na Rais Donald Trump wa Marekani ambao unakandamiza haki za taifa la Palestina uliopewa jina la "Muamala wa Karne" ukisisitiza kuwa, mpango huo unakanyaga sheria za kimataifa.
-
Msimamo mkali wa Boris Johnson katika mazungumzo na Umoja wa Ulaya
Feb 04, 2020 21:44Baada ya Uingereza kujitoa rasmi katika Umoja wa Ulaya tarehe 31 ya mwezi uliopita wa Januari, filihahi suala muhimu yaani mazungumzo baina ya London na Brussels kuhusiana na utambulisho na muundo wa uhusiano wa pande mbili katika kipindi cha baada ya Brexit ndilo linalojadiliwa sasa.
-
Mkuu mpya wa Sera za Kigeni wa EU kuitembelea Iran kwa mara ya kwanza
Feb 02, 2020 03:55Mkuu mpya wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya anatazamiwa kuwasili hapa mjini Tehran kesho Jumatatu, kujadili masuala yenye umuhimu kwa pande mbili na maafisa wa ngazi za juu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.