-
Ufaransa: EU itaendelea kushirikiana na Iran licha ya tangazo la Marekani dhidi ya IRGC
Apr 13, 2019 03:37Ufaransa imesema itaendelea kushirikiana na Iran licha ya hatua ya Marekani ya kuliweka Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran IRGC katika orodha yake ya makundi ya kigaidi.
-
China na Umoja wa Ulaya zatangaza tena kuunga mkono mapatano ya nyuklia ya JCPOA
Apr 12, 2019 10:49Mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya Iran maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji (JCPOA) yanahesabiwa kuwa mapatano muhimu sana katika fremu ya usalama na amani ya kimataifa. Lakini pamoja na hayo, mnamo Mei 8 mwaka 2018, Marekani ilichukua uamuzi wa pande moja na kujiondoa katika mapatano hayo.
-
Sisitizo la Mogherini la kupinga EU umiliki wa Israel wa milima ya Golan ya Syria
Mar 31, 2019 22:21Ikiwa ni katika kuendelea kujikomba kwa lobi za Kizayuni, rais wa Marekani Donald Trump, tarehe 25 Machi, 2019 alitambua rasmi kumilikiwa na Israel milima ya Golan ya Syria.
-
Waingereza waandamana London kutaka kufanyika kura mpya ya maoni kuhusu Brexit
Mar 24, 2019 03:01Mamia ya maelfu ya wananchi wa Uingereza wamefanya maandamano katika mji mkuu London, kushinikiza kufanyika kura mpya ya maoni kuhusu suala la kujitoa nchi hiyo katika Umoja wa Ulaya (Brexit).
-
Kuzidi kutengwa Marekani baada ya Ulaya kupinga madai ya Trump kuhusu milima ya Golan ya Syria
Mar 22, 2019 19:59Utawala wa Kizayuni wa Israel una historia ndefu ya kuvamia na kukalia kwa mabavu ardhi za watu wengine. Utawala huo pandikizi na vamizi ulishambulia na kuteka milima ya Golan ya Syria katika vita vya siku sita vya mwaka 1967.
-
Sudan yaendelea kugubikwa na maandamano ya kumtaka Rais al-Bashir aachie madaraka
Mar 22, 2019 03:49Maandamano ya kupinga serikali ya Rais Omar Hassan al-Bashir wa Sudan yameendelea kushuhudiwa katikak miji mbalimbali ya nchi hiyo ukiwemo mji mkuu Khartoum.
-
UN na EU zaalikwa mkutano wa OIC wa kujadili chuki dhidi ya Uislamu
Mar 21, 2019 11:27Umoja wa Mataifa, Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Usalama na Ushirikiano wa Ulaya zimealikwa kushiriki kikao cha dharura cha mawaziri wa mambo ya nje wa nchi wanachama katika Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) kitakachofanyika mjini Istanbul huko Uturuki kesho Ijumaa.
-
Jarida la Marekani: Trump amepelekea nchi yetu itengwe na Ulaya
Mar 09, 2019 03:46Jarida moja la nchini Marekani limemlaumu vikali rais wa nchi hiyo, Donald Trump kwa siasa zake mbovu za kimataifa na kusema kuwa, Trump amepelekea Marekani itengwe na nchi za Ulaya.
-
Theresa May: Huenda hatutaondoka Umoja wa Ulaya
Mar 09, 2019 00:51Waziri Mkuu wa Uingereza amedhihirisha msimamo mpya ambapo amesema kuwa kuna uwezekano nchi hiyo isijitoe katika Umoja wa Ulaya.
-
Nchi 36 zikiwemo za EU zakosoa uvunjaji wa haki za binadamu wa Saudia
Mar 08, 2019 04:17Kwa mara ya kwanza, nchi 36 zikiwemo 28 za Umoja wa Ulaya zimeijia juu Saudi Arabia kutokana na rekodi yake ya kutisha ya kukiuka haki za binadamu.