Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • Ufaransa: EU itaendelea kushirikiana na Iran licha ya tangazo la Marekani dhidi ya IRGC

    Ufaransa: EU itaendelea kushirikiana na Iran licha ya tangazo la Marekani dhidi ya IRGC

    Apr 13, 2019 03:37

    Ufaransa imesema itaendelea kushirikiana na Iran licha ya hatua ya Marekani ya kuliweka Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran IRGC katika orodha yake ya makundi ya kigaidi.

  • China na Umoja wa Ulaya zatangaza tena kuunga mkono mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    China na Umoja wa Ulaya zatangaza tena kuunga mkono mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Apr 12, 2019 10:49

    Mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya Iran maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji (JCPOA) yanahesabiwa kuwa mapatano muhimu sana katika fremu ya usalama na amani ya kimataifa. Lakini pamoja na hayo, mnamo Mei 8 mwaka 2018, Marekani ilichukua uamuzi wa pande moja na kujiondoa katika mapatano hayo.

  • Sisitizo la Mogherini la kupinga EU umiliki wa Israel wa milima ya Golan ya Syria

    Sisitizo la Mogherini la kupinga EU umiliki wa Israel wa milima ya Golan ya Syria

    Mar 31, 2019 22:21

    Ikiwa ni katika kuendelea kujikomba kwa lobi za Kizayuni, rais wa Marekani Donald Trump, tarehe 25 Machi, 2019 alitambua rasmi kumilikiwa na Israel milima ya Golan ya Syria.

  • Waingereza waandamana London kutaka kufanyika kura mpya ya maoni kuhusu Brexit

    Waingereza waandamana London kutaka kufanyika kura mpya ya maoni kuhusu Brexit

    Mar 24, 2019 03:01

    Mamia ya maelfu ya wananchi wa Uingereza wamefanya maandamano katika mji mkuu London, kushinikiza kufanyika kura mpya ya maoni kuhusu suala la kujitoa nchi hiyo katika Umoja wa Ulaya (Brexit).

  • Kuzidi kutengwa Marekani baada ya Ulaya kupinga madai ya Trump kuhusu milima ya Golan ya Syria

    Kuzidi kutengwa Marekani baada ya Ulaya kupinga madai ya Trump kuhusu milima ya Golan ya Syria

    Mar 22, 2019 19:59

    Utawala wa Kizayuni wa Israel una historia ndefu ya kuvamia na kukalia kwa mabavu ardhi za watu wengine. Utawala huo pandikizi na vamizi ulishambulia na kuteka milima ya Golan ya Syria katika vita vya siku sita vya mwaka 1967.

  • Sudan yaendelea kugubikwa na maandamano ya kumtaka Rais al-Bashir aachie madaraka

    Sudan yaendelea kugubikwa na maandamano ya kumtaka Rais al-Bashir aachie madaraka

    Mar 22, 2019 03:49

    Maandamano ya kupinga serikali ya Rais Omar Hassan al-Bashir wa Sudan yameendelea kushuhudiwa katikak miji mbalimbali ya nchi hiyo ukiwemo mji mkuu Khartoum.

  • UN na EU zaalikwa mkutano wa OIC wa kujadili chuki dhidi ya Uislamu

    UN na EU zaalikwa mkutano wa OIC wa kujadili chuki dhidi ya Uislamu

    Mar 21, 2019 11:27

    Umoja wa Mataifa, Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Usalama na Ushirikiano wa Ulaya zimealikwa kushiriki kikao cha dharura cha mawaziri wa mambo ya nje wa nchi wanachama katika Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) kitakachofanyika mjini Istanbul huko Uturuki kesho Ijumaa.

  • Jarida la Marekani: Trump amepelekea nchi yetu itengwe na Ulaya

    Jarida la Marekani: Trump amepelekea nchi yetu itengwe na Ulaya

    Mar 09, 2019 03:46

    Jarida moja la nchini Marekani limemlaumu vikali rais wa nchi hiyo, Donald Trump kwa siasa zake mbovu za kimataifa na kusema kuwa, Trump amepelekea Marekani itengwe na nchi za Ulaya.

  • Theresa May: Huenda hatutaondoka Umoja wa Ulaya

    Theresa May: Huenda hatutaondoka Umoja wa Ulaya

    Mar 09, 2019 00:51

    Waziri Mkuu wa Uingereza amedhihirisha msimamo mpya ambapo amesema kuwa kuna uwezekano nchi hiyo isijitoe katika Umoja wa Ulaya.

  • Nchi 36 zikiwemo za EU zakosoa uvunjaji wa haki za binadamu wa Saudia

    Nchi 36 zikiwemo za EU zakosoa uvunjaji wa haki za binadamu wa Saudia

    Mar 08, 2019 04:17

    Kwa mara ya kwanza, nchi 36 zikiwemo 28 za Umoja wa Ulaya zimeijia juu Saudi Arabia kutokana na rekodi yake ya kutisha ya kukiuka haki za binadamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS