Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • Sisitizo la Ulaya la kulinda makubaliano ya JCPOA na kukosolewa uamuzi wa Marekani

    Sisitizo la Ulaya la kulinda makubaliano ya JCPOA na kukosolewa uamuzi wa Marekani

    Mar 06, 2019 23:22

    Hata kama makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA, ni mapatano muhimu kwa ajili ya kulinda amani na usalama wa kimataifa, lakini Marekani ilichukua uamuazi wa upande mmoja wa kujitoa katika mapatano hayo tarehe 8 mwezi Mei mwaka uliopita.

  • Nchi za Umoja wa Ulaya zajizuia kuiweka Saudia katika orodha ya utakatishaji wa fedha

    Nchi za Umoja wa Ulaya zajizuia kuiweka Saudia katika orodha ya utakatishaji wa fedha

    Mar 02, 2019 04:15

    Katika miaka ya hivi karibuni, Saudi Arabia imekuwa na nafasi muhimu katika uhalifu wa makundi ya magaidi wakufurishaji katika Mashariki ya Kati na maeneo mengine duniani, kwa kuwapa magaidi hao misaada ya kila upande.

  • Umoja wa Ulaya waitaka Pakistan ichukue hatua za kuwashughulikia magaidi

    Umoja wa Ulaya waitaka Pakistan ichukue hatua za kuwashughulikia magaidi

    Feb 25, 2019 12:08

    Umoja wa Ulaya umeitaka serikali ya Pakistan ichukue hatua za wazi na endelevu dhidi ya makundi ya kigaidi yanayoendesha harakati zao katika nchi hiyo.

  • Kiongozi Muadhamu: Marekani imo katika kudhoofika; maafisa wa serikali wawe macho na hila za madola ya Ulaya

    Kiongozi Muadhamu: Marekani imo katika kudhoofika; maafisa wa serikali wawe macho na hila za madola ya Ulaya

    Feb 18, 2019 11:46

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu upo katika nafasi nzuri kabisa huku kambi ya Uistikbari inayoongozwa na Marekani ikiwa katika mazingira ya kudhoofika kabisa.

  • Ulaya yasisitiza tena kulinda makubalino ya nyuklia ya JCPOA

    Ulaya yasisitiza tena kulinda makubalino ya nyuklia ya JCPOA

    Feb 16, 2019 10:09

    Licha ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kuwa na umuhimu mkubwa katika kudumisha amani na usalama wa kimataifa, lakini Marekani mwezi Mei mwaka jana ilijitoa kwenye makubaliano hayo ili kuyasambaratisha.

  • Umoja wa Ulaya wapinga takwa la Marekani la kujiondoa mapatano ya nyuklia ya Iran

    Umoja wa Ulaya wapinga takwa la Marekani la kujiondoa mapatano ya nyuklia ya Iran

    Feb 16, 2019 04:37

    Umoja wa Ulaya umepinga ombi la Makamu wa Rais wa Marekani Mike Pence ambaye amezitaka nchi za Ulaya zifuate nyayo za Marekani na kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Iran kwa lengo la "kuitenga" Jamhuri ya Kiislamu.

  • Saudi Arabia yawekwa katika orodha ya nchi zinazojihusisha na utakatishaji fedha

    Saudi Arabia yawekwa katika orodha ya nchi zinazojihusisha na utakatishaji fedha

    Feb 13, 2019 11:18

    Umoja wa Ulaya umeiweka nchi ya Saudi Arabia katika orodha nyeusi ya umoja huo ya nchi zinazojihusisha na vitendo vya utakatishaji fedha.

  • Mvutano usio wa kawaida wa kisiasa kati ya Ufaransa na Italia; ufa unaozidi kupanuka katika Umoja wa Ulaya

    Mvutano usio wa kawaida wa kisiasa kati ya Ufaransa na Italia; ufa unaozidi kupanuka katika Umoja wa Ulaya

    Feb 09, 2019 00:14

    Umoja wa Ulaya umekuwa ukikabiliwa na changamoto kadhaa katika miaka ya hivi karibuni na tofauti za mitazamo kuhusiana na jinsi ya kukabiliana nazo zimezidi kuongeza nyufa katika umoja huo.

  • Misimamo ya Kugongana ya Umoja wa Ulaya kuhusiana na Iran

    Misimamo ya Kugongana ya Umoja wa Ulaya kuhusiana na Iran

    Feb 05, 2019 23:11

    Umoja wa Ulaya na Troika ya Ulaya ikiwa mwanachama wa kundi la 4+1 iliunga mkono makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kukosoa vikali kujiondoa Marekani katika makubaliano hayo muhimu na ya kimataifa.

  • Kusajiliwa kanali ya kifedha ya Ulaya; hatua iliyochelewa lakini inayotia matumaini

    Kusajiliwa kanali ya kifedha ya Ulaya; hatua iliyochelewa lakini inayotia matumaini

    Feb 01, 2019 09:25

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekaribisha kuzinduliwa mfumo maalumu wa kifedha wa nchi za Ulaya unaolenga kudumisha ushirikiano wa kiuchumi na Iran, ikiwa ni hatua ya kwanza iliyochukuliwa na nchi hizo kuhusiana na mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama JCPOA.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS