-
Ahadi za kukaririwa za Troika ya Ulaya kuhusiana na kutekelezwa mfumo maalumu wa kifedha wa SPV
Jan 29, 2019 21:38Makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) yalihesabiwa kuwa maafikiano muhimu kwa ajili ya kulinda amani na usalama wa kimataifa.
-
EU, Amnesty zaikosoa Bahrain kwa kumfunga maisha jela Sheikh Salman
Jan 29, 2019 10:34Umoja wa Ulaya umekosoa vikali hatua ya Mahakama ya Juu ya Bahrain ya kuidhinisha kifungo cha maisha jela dhidi ya shakshia mashuhuri wa kidini na kisiasa nchini humo, Sheikh Ali Salman.
-
Saudi Arabia katika faharasa ya Umoja wa Ulaya ya waungaji mkono wa ugaidi
Jan 26, 2019 23:05Saudi Arabia ikiwa kitovu kikuu cha itikadi za Kiwahabi kwenye miaka ya hivi karibuni imekuwa na nafasi kuu na athirifu katika kutoa uungaji mkono wa hali na mali na wa pande zote kwa ugaidi hususan kwa magenge ya kigaidi ya wakufurishaji kwenye eneo la Mashariki ya Kati na maeneo mengine duniani.
-
EU yaiweka Saudia katika orodha ya wafadhili wa ugaidi
Jan 26, 2019 04:40Kamisheni ya Umoja wa Ulaya imeiweka Saudi Arabia katika rasimu ya orodha ya nchi zilizoshindwa kupambana na utakatishaji wa fedha chafu na ambazo ni wafadhili wa makundi ya kigaidi.
-
Kutoshiriki Mogherini katika mkutano wa Warsaw, pigo jingine dhidi ya Marekani
Jan 22, 2019 03:41Katika fremu ya siasa zake za kuipiga vita Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Marekani imeanzisha jitihada kubwa za kuitisha mkutano wa kutafuta mwafaka wa kimataifa dhidi ya Iran.
-
Waziri Mkuu wa Uingereza anusurika kura ya kutokuwa na imani naye, Brexit matatani
Jan 18, 2019 00:21Kadhia ya kuondoka Uingereza katika Umoja wa Ulaya maarufu kama Brexit, hivi sasa ni suala muhimu zaidi la kisiasa kwa Waingereza na kwa Umoja wa Ulaya. Pamoja na kuwepo mapatano yaliyofikiwa mwishoni mwa mwezi Novemba 2018 baina ya Uingereza na Umoja wa Ulaya kuhusu Brexit, lakini Theresa May Waziri Mkuu mhafidhina wa Uingereza alishindwa vibaya bungeni siku ya Jumanne kuhusu kadhia hiyo.
-
Qassemi: Iran ingali imefungamana na makubaliano ya nyuklia JCPOA
Jan 13, 2019 04:06Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekanusha uvumi kwamba Tehran imejiondoa katika makubaliano ya nyuklia yanayofahamika kwa kifupi kama JCPOA.
-
Ukosoaji wa Russia kwa EU kwa kufeli mtihani wa kutekeleza kivitendo makubaliano ya JCPOA
Jan 12, 2019 04:43Makubaliano ya nyuklia, yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) ni makubaliano muhimu sana katika uga wa kudumisha amani na usalama wa kimataifa. Lakini uamuzi iliochukuliwa na Marekani mnamo mwezi Mei 2018 wa kujitoa kwenye JCPOA, ulikuwa hatua hasi iliyotekelezwa kwa nia ya kuyasambaratisha makubaliano hayo.
-
Russia: EU haijafuzu mtihani wa utekelezaji kivitendo makubaliano ya nyuklia ya JCPOA
Jan 12, 2019 00:00Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema, Umoja wa Ulaya haujafaulu mtihani wa kuonyesha kuwa uko huru kivitendo katika kutekeleza makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Iran: Nchi za Ulaya si wakweli katika suala la kupambana na ugaidi
Jan 09, 2019 13:30Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani uamuzi usio na mantiki na wa kushangaza uliochukuliwa na Umoja wa Ulaya wa kuwawekea vikwazo raia kadhaa wa Iran kwa kutegemea tuhuma zisizo na msingi wowote.