Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • Iran yaikosoa Ulaya kwa kuchelewa kutekeleza mfumo wa kifedha wa SPV

    Iran yaikosoa Ulaya kwa kuchelewa kutekeleza mfumo wa kifedha wa SPV

    Jan 05, 2019 23:10

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameukosoa Umoja wa Ulaya kwa kuchelewesha utekelezwaji wa mfumo mpya wa kifedha baina ya Iran na umoja huo unaojulikana kama SPV.

  • Mogherini: EU haitairuhusu Marekani iingilie uhusiano wake na Iran

    Mogherini: EU haitairuhusu Marekani iingilie uhusiano wake na Iran

    Jan 02, 2019 11:47

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema Marekani haiwezi na haipaswi kuitwisha EU sera zake na kwamba umoja huo wenye nchi wanachama 28 hautairuhusu Washington iufanyie maamuzi juu ya uhusiano wake wa kibiashara na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Uingereza yataka kuwa na nafasi kubwa zaidi katika uwanja wa kimataifa

    Uingereza yataka kuwa na nafasi kubwa zaidi katika uwanja wa kimataifa

    Dec 31, 2018 02:49

    Uingereza ambayo inatambuliwa kuwa mwanachama muasi wa Umoja wa Ulaya Juni mwaka 2016 iliitisha kura ya maoni iliyowataka wananchi wa nchi hiyo wachague ama kuondoka au kubakia katika Umoja huo. Sasa baada ya wananchi kuchukua uamuzi wa kuondoka katika Umoja wa Ulaya maarufu kama Brexit imepangwa kuwa hadi mwezi Machi mwaka unaoanza kesho wa 2019 Uingereza itajitenga na Umoja wa Ulaya.

  • Umoja wa Ulaya walaani ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni

    Umoja wa Ulaya walaani ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni

    Dec 28, 2018 03:30

    Umoja wa Ulaya umetoa taarifa na kusema kuwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni unaoendelezwa na Israel kwa kujenga nyumba 2,191 katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan ni kinyume cha sheria.

  • Qatar yautaka Umoja wa Ulaya kuiwekea mashinikizo Saudi Arabia

    Qatar yautaka Umoja wa Ulaya kuiwekea mashinikizo Saudi Arabia

    Dec 21, 2018 05:10

    Mkuu wa Kamati ya Taifa ya Haki za Binadamu ya Qatar ameuomba Umoja wa Ulaya kuiwekea mashinikizo zaidi Saudi Arabia ili iondoe vikwazo vyake dhidi ya Qatar.

  • Sisitizo la Mogherini la kuzinduliwa hivi karibuni mfumo wa mabadilishano ya fedha baina ya Iran na Ulaya

    Sisitizo la Mogherini la kuzinduliwa hivi karibuni mfumo wa mabadilishano ya fedha baina ya Iran na Ulaya

    Dec 11, 2018 21:43

    Kujiondoa Marekani katika makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) Mei 8 mwaka huu, kulikabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa wanachama wengine ya JCPOA katika kalibu ya kundi la 4+1.

  • Mogherini: EU kuzindua mfumo wa mabadilishano ya fedha baina ya Iran na Ulaya karibuni

    Mogherini: EU kuzindua mfumo wa mabadilishano ya fedha baina ya Iran na Ulaya karibuni

    Dec 11, 2018 00:04

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema mfumo maalumu kwa ajili ya mabadilishano ya fedha kati ya Iran na Ulaya kwa kifupi SPV utazinduliwa ndani ya siku chache zijazo.

  • Sisitizo la EU la kuhifadhiwa ushirikiano wake wa kiuchumi na Iran

    Sisitizo la EU la kuhifadhiwa ushirikiano wake wa kiuchumi na Iran

    Nov 30, 2018 03:57

    Umoja wa Ulaya mara kwa mara umekuwa ukisisitizia haja ya kuimarishwa uhusiano wake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na sababu kuu ni nafasi muhimu na bora ya Iran katika eneo la Mashariki ya Kati ikiwa ni pamoja na nafasi yake bora katika upande wa jiopolitiki, kisiasa, kiuchumi na kinishati. Jambo jingine linalopewa umuhimu na Umoja wa Ulaya ni kulinda mapatano ya nyukilia ya JCPOA.

  • Jitihada za ulaya za kulinda mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Jitihada za ulaya za kulinda mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Nov 28, 2018 23:35

    Mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji, JCPOA, ambayo yalifikiwa Julai mwaka 2015 baina ya Iran na kundi la 5+1 yalikuwa mapatano muhimu sana katika uga wa kulinda amani na usalama wa kimataifa.

  • Iran na EU zasisitizia haja ya kuendelea kufungamana na JCPOA

    Iran na EU zasisitizia haja ya kuendelea kufungamana na JCPOA

    Nov 28, 2018 04:12

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Umoja wa Ulaya kwa mara nyingine tena zimesema kuwa pande mbili hizo zitaendelea kuheshimu na kufungamana na makubaliano ya nyuklia ya Vienna, licha ya Marekani kujiondoa kwenye mapatano hayo ya kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS