-
Iran yaikosoa Ulaya kwa kuchelewa kutekeleza mfumo wa kifedha wa SPV
Jan 05, 2019 23:10Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameukosoa Umoja wa Ulaya kwa kuchelewesha utekelezwaji wa mfumo mpya wa kifedha baina ya Iran na umoja huo unaojulikana kama SPV.
-
Mogherini: EU haitairuhusu Marekani iingilie uhusiano wake na Iran
Jan 02, 2019 11:47Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema Marekani haiwezi na haipaswi kuitwisha EU sera zake na kwamba umoja huo wenye nchi wanachama 28 hautairuhusu Washington iufanyie maamuzi juu ya uhusiano wake wa kibiashara na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Uingereza yataka kuwa na nafasi kubwa zaidi katika uwanja wa kimataifa
Dec 31, 2018 02:49Uingereza ambayo inatambuliwa kuwa mwanachama muasi wa Umoja wa Ulaya Juni mwaka 2016 iliitisha kura ya maoni iliyowataka wananchi wa nchi hiyo wachague ama kuondoka au kubakia katika Umoja huo. Sasa baada ya wananchi kuchukua uamuzi wa kuondoka katika Umoja wa Ulaya maarufu kama Brexit imepangwa kuwa hadi mwezi Machi mwaka unaoanza kesho wa 2019 Uingereza itajitenga na Umoja wa Ulaya.
-
Umoja wa Ulaya walaani ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni
Dec 28, 2018 03:30Umoja wa Ulaya umetoa taarifa na kusema kuwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni unaoendelezwa na Israel kwa kujenga nyumba 2,191 katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan ni kinyume cha sheria.
-
Qatar yautaka Umoja wa Ulaya kuiwekea mashinikizo Saudi Arabia
Dec 21, 2018 05:10Mkuu wa Kamati ya Taifa ya Haki za Binadamu ya Qatar ameuomba Umoja wa Ulaya kuiwekea mashinikizo zaidi Saudi Arabia ili iondoe vikwazo vyake dhidi ya Qatar.
-
Sisitizo la Mogherini la kuzinduliwa hivi karibuni mfumo wa mabadilishano ya fedha baina ya Iran na Ulaya
Dec 11, 2018 21:43Kujiondoa Marekani katika makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) Mei 8 mwaka huu, kulikabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa wanachama wengine ya JCPOA katika kalibu ya kundi la 4+1.
-
Mogherini: EU kuzindua mfumo wa mabadilishano ya fedha baina ya Iran na Ulaya karibuni
Dec 11, 2018 00:04Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema mfumo maalumu kwa ajili ya mabadilishano ya fedha kati ya Iran na Ulaya kwa kifupi SPV utazinduliwa ndani ya siku chache zijazo.
-
Sisitizo la EU la kuhifadhiwa ushirikiano wake wa kiuchumi na Iran
Nov 30, 2018 03:57Umoja wa Ulaya mara kwa mara umekuwa ukisisitizia haja ya kuimarishwa uhusiano wake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na sababu kuu ni nafasi muhimu na bora ya Iran katika eneo la Mashariki ya Kati ikiwa ni pamoja na nafasi yake bora katika upande wa jiopolitiki, kisiasa, kiuchumi na kinishati. Jambo jingine linalopewa umuhimu na Umoja wa Ulaya ni kulinda mapatano ya nyukilia ya JCPOA.
-
Jitihada za ulaya za kulinda mapatano ya nyuklia ya JCPOA
Nov 28, 2018 23:35Mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji, JCPOA, ambayo yalifikiwa Julai mwaka 2015 baina ya Iran na kundi la 5+1 yalikuwa mapatano muhimu sana katika uga wa kulinda amani na usalama wa kimataifa.
-
Iran na EU zasisitizia haja ya kuendelea kufungamana na JCPOA
Nov 28, 2018 04:12Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Umoja wa Ulaya kwa mara nyingine tena zimesema kuwa pande mbili hizo zitaendelea kuheshimu na kufungamana na makubaliano ya nyuklia ya Vienna, licha ya Marekani kujiondoa kwenye mapatano hayo ya kimataifa.