Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • Ufaransa na Ujerumani kuwa wenyeji wa mfumo wa ubadilishanaji fedha na Iran

    Ufaransa na Ujerumani kuwa wenyeji wa mfumo wa ubadilishanaji fedha na Iran

    Nov 27, 2018 04:26

    Wanadiplomasia wa ngazi za juu wa Ulaya wameliambia gazeti la Wall Street Journal kuwa huenda Ufaransa na Ujerumani zikawa wenyeji wa mfumo maalumu wa ubadilishanaji fedha na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran unaojulikana kama SPV, kwa shabaha ya kukwepa vikwazo vya Marekani dhidi ya Tehran.

  • Salehi: Msimamo wa Marekani wa kujitoa katika JCPOA si wa maana

    Salehi: Msimamo wa Marekani wa kujitoa katika JCPOA si wa maana

    Nov 26, 2018 23:11

    Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Nyuklia ya Iran amesema kuwa msimamo wa Mrekani wa kujitoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA si wa maana na ni kwamba, msimamo huo unaonesha jinsi Marekani isivyo na mwamana katika ahadi zake za kimataifa.

  • Sisitizo la Umoja wa Ulaya na Uturuki la kuendelea kushirikiana na Iran

    Sisitizo la Umoja wa Ulaya na Uturuki la kuendelea kushirikiana na Iran

    Nov 24, 2018 08:18

    Hatua ya rais wa Marekani, Donald Trump ya kuiondoa nchi hiyo katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kuiwekea tena Iran vikwazo imepingwa vikali na nchi nyingine wanachama wa makubaliano hayo ya JCPOA yaani kundi la 4+1.

  • Taasisi ya EU yapiga kura ya kutaka kususiwa Vyuo Vikuu vya Israel

    Taasisi ya EU yapiga kura ya kutaka kususiwa Vyuo Vikuu vya Israel

    Nov 23, 2018 04:32

    Taasisi moja ya akademia ya Umoja wa Ulaya imepasisha kwa wingi wa kura muswada wa kutaka kususiwa Vyuo Vikuu na taasisi nyingine za elimu ya juu za utawala haramu wa Israel ambazo ziko katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

  • Je, kurejea balozi wa Denmark Tehran kutakuwa mwisho wa uzushi dhidi ya Iran?

    Je, kurejea balozi wa Denmark Tehran kutakuwa mwisho wa uzushi dhidi ya Iran?

    Nov 21, 2018 04:07

    Baada ya propaganda na uzushi kuhusu madai ya kuwepo mpango wa kumuaa kinara wa tawi la Denmark la kundi la kigaidi linalojiita Al Ahvaziya, balozi wa Iran nchini Denmark ametangaza kuwa, balozi wa nchi hiyo anarejea Tehran leo Jumatano ili kuendelea na kazi zake za kawaida.

  • Mogherini ahimiza kutekelezwa haraka njia mpya ya mabidilishano ya fedha baina ya Iran na Ulaya

    Mogherini ahimiza kutekelezwa haraka njia mpya ya mabidilishano ya fedha baina ya Iran na Ulaya

    Nov 20, 2018 00:17

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa, kuna udharura wa kuanza kutekelezwa haraka njia mpya ya mabadilisho ya fedha baina ya Iran na Umoja wa Ulaya.

  • Jitihada za nchi za Umoja wa Ulaya katika kulinda JCPOA

    Jitihada za nchi za Umoja wa Ulaya katika kulinda JCPOA

    Nov 19, 2018 09:32

    Katika mwendelezo wa jitihada za nchi za Ulaya za kulinda mapatano ya nyuklia ya Iran maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji, (JCPOA) Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza Jeremy Hunt leo amefika mjini Tehran na kufanya mazungumzo na viongozi wa ngazi za juu wa Iran.

  • Umoja wa Ulaya waitaka Saudi Arabia iweke wazi kikamilifu kuhusu mauaji ya Khashoggi

    Umoja wa Ulaya waitaka Saudi Arabia iweke wazi kikamilifu kuhusu mauaji ya Khashoggi

    Nov 18, 2018 10:44

    Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya ameitaka Saudi Arabia kuweka wazi kikamilifu mauaji ya mwandishi habari mkosoaji wa Saudia.

  • Hatua mpya katika mkondo wa Uingereza kujiondoa Umoja wa Ulaya maarufu kama Brexit

    Hatua mpya katika mkondo wa Uingereza kujiondoa Umoja wa Ulaya maarufu kama Brexit

    Nov 15, 2018 23:07

    Suala ya Uingereza kujiondoa katika Umoja wa Ulaya maarufu kama Brexit ni tukio muhimu zaidi la kisiasa nchini Uingereza katika kipindi cha miaka miwili sasa. Kadhia hiyo imekuwa na taathira za ndani ya nchi, kieneo na kimataifa.

  • EU: Makubaliano ya nyuklia ya Iran hayana chaguo jengine mbadala

    EU: Makubaliano ya nyuklia ya Iran hayana chaguo jengine mbadala

    Nov 15, 2018 04:34

    Kamishna wa Umoja wa Ulaya wa Uadilifu, amesema hakuna chaguo jengine lolote mbadala na lenye itibari kwa ajili ya makubaliano ya nyuklia ya Iran, JCPOA.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS