Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • EU: Uchaguzi wa rais Madagascar ni wenye itibari

    EU: Uchaguzi wa rais Madagascar ni wenye itibari

    Nov 10, 2018 04:43

    Waangalizi wa Umoja wa Ulaya katika uchaguzi wa rais uliomalizikka nchini Madagascar wamesema kuwa ukiukaji ulioshuhudiwa katika duru ya kwanza ya uchaguzi huo ulikuwa mdogo sana.

  • Ulaya yapiga hatua kubwa ya kuandaa mfumo wa kifedha kwa ajili ya Iran

    Ulaya yapiga hatua kubwa ya kuandaa mfumo wa kifedha kwa ajili ya Iran

    Nov 03, 2018 04:23

    Mawaziri wa Mambo ya Nje na Fedha wa Ujerumani, Uingereza na Ufaransa pamoja na Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya wametoa taarifa ya pamoja kuhusiana na maendeleo makubwa waliyofikia kuhusu mfumo maalumu wa kifedha wa umoja huo kwa ajili ya Iran.

  • Rouhani: Nchi za Ulaya zikabiliane na Marekani kwa kushirikiana na Iran

    Rouhani: Nchi za Ulaya zikabiliane na Marekani kwa kushirikiana na Iran

    Nov 02, 2018 02:38

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa sera za Marekani zimehatarisha uthabiti katika uga wa kimataifa na hivyo ametoa wito kwa nchi za Ulaya kushirikiana na Iran katika kukabiliana na maamuzi ya upande moja ya watawala wa Washington.

  • Umoja wa Ulaya: Uungaji mkono wetu kwa makubaliano ya JCPOA uko pale pale

    Umoja wa Ulaya: Uungaji mkono wetu kwa makubaliano ya JCPOA uko pale pale

    Oct 31, 2018 21:53

    Umoja wa Ulaya umejibu tuhuma za hivi karibuni za Denmark dhidi ya Iran kwa kusema: Brussels inasubiri taarifa zaidi kutoka Copenhagen kuhusu suala hilo na kwamba uungaji mkono wa umoja huo kwa makubaliano ya JCPOA uko pale pale.

  • Ulaya na Umoja wa Mataifa zasisitiza azma yao ya kuyalinda makubaliano ya JCPOA

    Ulaya na Umoja wa Mataifa zasisitiza azma yao ya kuyalinda makubaliano ya JCPOA

    Oct 25, 2018 08:28

    Licha ya Marekani kuyapinga makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, lakini nchi za Ulaya zinasisitiza kulindwa makubaliano hayo muhimu ya kimataifa. Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akichukua misimamo iliyo dhidi ya makubaliano hayo ambayo yalifikiwa mwezi Julai mwaka 2015 kati ya Iran na kundi la 5+1 ikiwemo marekani yenyewe na anayataja kuwa ni makubaliano mabaya zaidi kuwahi kufikiwa!

  • Mashirika 110 ya Ulaya yako tayari kushirikiana na Iran katika sekta ya mafuta

    Mashirika 110 ya Ulaya yako tayari kushirikiana na Iran katika sekta ya mafuta

    Oct 20, 2018 23:06

    Mkuu wa Jumuiya ya Watengenezaji wa Vifaa vya Sekta ya Mafuta nchini Iran amesema kuwa, mashirika 110 ya Ulaya yametangaza kwamba yako tayari kushirikiana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika sekta ya mafuta.

  • Uungaji mkono wa wakuu wa nchi za Asia na Ulaya kwa makubaliano ya JCPOA

    Uungaji mkono wa wakuu wa nchi za Asia na Ulaya kwa makubaliano ya JCPOA

    Oct 20, 2018 08:31

    Japokuwa Marekani ni miongoni mwa nchi sita ambazo zilifikia makubaliano ya nyuklia na Iran katika kalibu ya nchi zinazounda kundi la 5+1 mwezi Januari mwaka 2015 lakini Rais Donald Trump wa nchi hiyo ameonekana akichukua msimamo wa kuyapinga makubaliano hayo; huku akiyataja kuwa ni makubaliano mabaya zaidi kuwahi kufikiwa.

  • Nchi za Ulaya na Asia zataka kuondolewa vikwazo Iran

    Nchi za Ulaya na Asia zataka kuondolewa vikwazo Iran

    Oct 20, 2018 04:34

    Nchi za Ulaya na Asia sanjari na kutangaza utayarifu wao wa kuendelea kufungamana na makubaliano ya nyuklia ya Iran, zimesema kuondolewa vikwazo Jamhuri ya Kiislamu ni sehemu muhimu ya mapatano hayo ya kimataifa yanayofahamika kama JCPOA.

  • Kukwama Umoja wa Ulaya katika suala la kujitoa Uingereza kwenye umoja huo

    Kukwama Umoja wa Ulaya katika suala la kujitoa Uingereza kwenye umoja huo

    Oct 19, 2018 09:54

    Tukio muhimu kabisa lililotokea nchini Uingereza katika kipindi cha miaka miwili iliyopita na kuleta taathira kubwa za ndani, za kieneo na za kimataifa ni hatua yake ya kujitoa katika Umoja wa Ulaya maarufu kwa jina la Brexit.

  • Onyo la Kamisheni ya Ulaya la kujibu hatua za kiuadui za kibiashara za Marekani

    Onyo la Kamisheni ya Ulaya la kujibu hatua za kiuadui za kibiashara za Marekani

    Oct 17, 2018 23:43

    Rais wa Marekani, Donald Trump anapanga kuzipandishia ushuru bidhaa za kigeni zinazoingia nchini humo. Hatua hiyo inahesabiwa kuwa ni kutangaza vita rasmi vya kiuchumi na madola mengi yenye nguvu za kiuchumi ulimwenguni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS