-
Mogherini ahimiza kutekelezwa haraka njia mpya ya mabidilishano ya fedha baina ya Iran na Ulaya
Nov 20, 2018 00:17Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa, kuna udharura wa kuanza kutekelezwa haraka njia mpya ya mabadilisho ya fedha baina ya Iran na Umoja wa Ulaya.
-
Jitihada za nchi za Umoja wa Ulaya katika kulinda JCPOA
Nov 19, 2018 09:32Katika mwendelezo wa jitihada za nchi za Ulaya za kulinda mapatano ya nyuklia ya Iran maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji, (JCPOA) Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza Jeremy Hunt leo amefika mjini Tehran na kufanya mazungumzo na viongozi wa ngazi za juu wa Iran.
-
Umoja wa Ulaya waitaka Saudi Arabia iweke wazi kikamilifu kuhusu mauaji ya Khashoggi
Nov 18, 2018 10:44Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya ameitaka Saudi Arabia kuweka wazi kikamilifu mauaji ya mwandishi habari mkosoaji wa Saudia.
-
Hatua mpya katika mkondo wa Uingereza kujiondoa Umoja wa Ulaya maarufu kama Brexit
Nov 15, 2018 23:07Suala ya Uingereza kujiondoa katika Umoja wa Ulaya maarufu kama Brexit ni tukio muhimu zaidi la kisiasa nchini Uingereza katika kipindi cha miaka miwili sasa. Kadhia hiyo imekuwa na taathira za ndani ya nchi, kieneo na kimataifa.
-
EU: Makubaliano ya nyuklia ya Iran hayana chaguo jengine mbadala
Nov 15, 2018 04:34Kamishna wa Umoja wa Ulaya wa Uadilifu, amesema hakuna chaguo jengine lolote mbadala na lenye itibari kwa ajili ya makubaliano ya nyuklia ya Iran, JCPOA.
-
EU: Uchaguzi wa rais Madagascar ni wenye itibari
Nov 10, 2018 04:43Waangalizi wa Umoja wa Ulaya katika uchaguzi wa rais uliomalizikka nchini Madagascar wamesema kuwa ukiukaji ulioshuhudiwa katika duru ya kwanza ya uchaguzi huo ulikuwa mdogo sana.
-
Ulaya yapiga hatua kubwa ya kuandaa mfumo wa kifedha kwa ajili ya Iran
Nov 03, 2018 04:23Mawaziri wa Mambo ya Nje na Fedha wa Ujerumani, Uingereza na Ufaransa pamoja na Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya wametoa taarifa ya pamoja kuhusiana na maendeleo makubwa waliyofikia kuhusu mfumo maalumu wa kifedha wa umoja huo kwa ajili ya Iran.
-
Rouhani: Nchi za Ulaya zikabiliane na Marekani kwa kushirikiana na Iran
Nov 02, 2018 02:38Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa sera za Marekani zimehatarisha uthabiti katika uga wa kimataifa na hivyo ametoa wito kwa nchi za Ulaya kushirikiana na Iran katika kukabiliana na maamuzi ya upande moja ya watawala wa Washington.
-
Umoja wa Ulaya: Uungaji mkono wetu kwa makubaliano ya JCPOA uko pale pale
Oct 31, 2018 21:53Umoja wa Ulaya umejibu tuhuma za hivi karibuni za Denmark dhidi ya Iran kwa kusema: Brussels inasubiri taarifa zaidi kutoka Copenhagen kuhusu suala hilo na kwamba uungaji mkono wa umoja huo kwa makubaliano ya JCPOA uko pale pale.
-
Ulaya na Umoja wa Mataifa zasisitiza azma yao ya kuyalinda makubaliano ya JCPOA
Oct 25, 2018 08:28Licha ya Marekani kuyapinga makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, lakini nchi za Ulaya zinasisitiza kulindwa makubaliano hayo muhimu ya kimataifa. Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akichukua misimamo iliyo dhidi ya makubaliano hayo ambayo yalifikiwa mwezi Julai mwaka 2015 kati ya Iran na kundi la 5+1 ikiwemo marekani yenyewe na anayataja kuwa ni makubaliano mabaya zaidi kuwahi kufikiwa!