-
EU: Uchaguzi wa rais Madagascar ni wenye itibari
Nov 10, 2018 04:43Waangalizi wa Umoja wa Ulaya katika uchaguzi wa rais uliomalizikka nchini Madagascar wamesema kuwa ukiukaji ulioshuhudiwa katika duru ya kwanza ya uchaguzi huo ulikuwa mdogo sana.
-
Ulaya yapiga hatua kubwa ya kuandaa mfumo wa kifedha kwa ajili ya Iran
Nov 03, 2018 04:23Mawaziri wa Mambo ya Nje na Fedha wa Ujerumani, Uingereza na Ufaransa pamoja na Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya wametoa taarifa ya pamoja kuhusiana na maendeleo makubwa waliyofikia kuhusu mfumo maalumu wa kifedha wa umoja huo kwa ajili ya Iran.
-
Rouhani: Nchi za Ulaya zikabiliane na Marekani kwa kushirikiana na Iran
Nov 02, 2018 02:38Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa sera za Marekani zimehatarisha uthabiti katika uga wa kimataifa na hivyo ametoa wito kwa nchi za Ulaya kushirikiana na Iran katika kukabiliana na maamuzi ya upande moja ya watawala wa Washington.
-
Umoja wa Ulaya: Uungaji mkono wetu kwa makubaliano ya JCPOA uko pale pale
Oct 31, 2018 21:53Umoja wa Ulaya umejibu tuhuma za hivi karibuni za Denmark dhidi ya Iran kwa kusema: Brussels inasubiri taarifa zaidi kutoka Copenhagen kuhusu suala hilo na kwamba uungaji mkono wa umoja huo kwa makubaliano ya JCPOA uko pale pale.
-
Ulaya na Umoja wa Mataifa zasisitiza azma yao ya kuyalinda makubaliano ya JCPOA
Oct 25, 2018 08:28Licha ya Marekani kuyapinga makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, lakini nchi za Ulaya zinasisitiza kulindwa makubaliano hayo muhimu ya kimataifa. Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akichukua misimamo iliyo dhidi ya makubaliano hayo ambayo yalifikiwa mwezi Julai mwaka 2015 kati ya Iran na kundi la 5+1 ikiwemo marekani yenyewe na anayataja kuwa ni makubaliano mabaya zaidi kuwahi kufikiwa!
-
Mashirika 110 ya Ulaya yako tayari kushirikiana na Iran katika sekta ya mafuta
Oct 20, 2018 23:06Mkuu wa Jumuiya ya Watengenezaji wa Vifaa vya Sekta ya Mafuta nchini Iran amesema kuwa, mashirika 110 ya Ulaya yametangaza kwamba yako tayari kushirikiana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika sekta ya mafuta.
-
Uungaji mkono wa wakuu wa nchi za Asia na Ulaya kwa makubaliano ya JCPOA
Oct 20, 2018 08:31Japokuwa Marekani ni miongoni mwa nchi sita ambazo zilifikia makubaliano ya nyuklia na Iran katika kalibu ya nchi zinazounda kundi la 5+1 mwezi Januari mwaka 2015 lakini Rais Donald Trump wa nchi hiyo ameonekana akichukua msimamo wa kuyapinga makubaliano hayo; huku akiyataja kuwa ni makubaliano mabaya zaidi kuwahi kufikiwa.
-
Nchi za Ulaya na Asia zataka kuondolewa vikwazo Iran
Oct 20, 2018 04:34Nchi za Ulaya na Asia sanjari na kutangaza utayarifu wao wa kuendelea kufungamana na makubaliano ya nyuklia ya Iran, zimesema kuondolewa vikwazo Jamhuri ya Kiislamu ni sehemu muhimu ya mapatano hayo ya kimataifa yanayofahamika kama JCPOA.
-
Kukwama Umoja wa Ulaya katika suala la kujitoa Uingereza kwenye umoja huo
Oct 19, 2018 09:54Tukio muhimu kabisa lililotokea nchini Uingereza katika kipindi cha miaka miwili iliyopita na kuleta taathira kubwa za ndani, za kieneo na za kimataifa ni hatua yake ya kujitoa katika Umoja wa Ulaya maarufu kwa jina la Brexit.
-
Onyo la Kamisheni ya Ulaya la kujibu hatua za kiuadui za kibiashara za Marekani
Oct 17, 2018 23:43Rais wa Marekani, Donald Trump anapanga kuzipandishia ushuru bidhaa za kigeni zinazoingia nchini humo. Hatua hiyo inahesabiwa kuwa ni kutangaza vita rasmi vya kiuchumi na madola mengi yenye nguvu za kiuchumi ulimwenguni.