Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • Trump awashambulia marafiki na maadui zake

    Trump awashambulia marafiki na maadui zake

    Oct 11, 2018 23:11

    Tangu aingie madarakani nchini Marekani mwezi Januari 2017, Rais Donald Trump wa nchi hiyo amekuwa akitekeleza siasa ambazo zimeifanya dunia kuwa uwanja wa malumbano na mivutano.

  • Takwa la Ujerumani la kuasisiwa Baraza la Usalama la Umoja wa Ulaya

    Takwa la Ujerumani la kuasisiwa Baraza la Usalama la Umoja wa Ulaya

    Oct 10, 2018 04:29

    Kuibuka hitilafu na mizozo mikubwa baina ya Marekani na Umoja wa Ulaya baada ya kuingia madarakani Rais Donald Trump hususan katika masuala ya kiulinzi, nafasi na umuhimu wa Shirika la Kijeshi la NATO sambamba na kujitoa Uingereza katika Umoja wa Ulaya (Brics) ni mambo ambayo yamezifanya nchi wanachama wa EU zichukue hatua za kuimarisha mipango na mikakati ya kujitegemea katika uga wa ulinzi na usalama.

  • JCPOA, fursa kwa ajili ya kujitegemea kifedha Ulaya

    JCPOA, fursa kwa ajili ya kujitegemea kifedha Ulaya

    Oct 06, 2018 22:56

    Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akikosoa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ambayo yalifikiwa kati ya Iran na kundi la 5+1 ikiwemo na Marekani yenyewe na kuyatataja makubaliano hayo kuwa ndiyo mabaya zaidi kuwahi kufikiwa.

  • EU kutuma timu ya kuchunguza mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu Myanmar

    EU kutuma timu ya kuchunguza mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu Myanmar

    Oct 06, 2018 04:15

    Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa, utatuma timu ya kuchunguza mauaji yanayofanywa dhidi ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar na kuchukua maamuzi ya mwisho ya kuiwekea vikwazo nchi hiyo.

  • EU yasisitizia udharura wa Saudia kuwekewa vikwazo vya silaha

    EU yasisitizia udharura wa Saudia kuwekewa vikwazo vya silaha

    Oct 05, 2018 12:00

    Wabunge wa Umoja wa Ulaya wamepiga kura kwa kishindo kuunga mkono azimio linalotaka kuwekewa vikwazo vya silaha Saudi Arabia, inayoongoza katika mauaji na hujuma za kijeshi dhidi ya Yemen.

  • Kongo yautuhumu Umoja wa Ulaya kuwa inaingilia uchaguzi nchini humo

    Kongo yautuhumu Umoja wa Ulaya kuwa inaingilia uchaguzi nchini humo

    Oct 05, 2018 04:27

    Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeutuhumu Umoja wa Ulaya kuwa unaingilia uchaguzi ujao wa rais nchini humo kwa kutosikiliza wito wa serikali ya Kinshasa wa kutaka kuondolewa vikwazo kwa mgombea wa kiti cha urais ambaye ni chaguo la Rais Joseph Kabila.

  • Umoja wa Ulaya watajwa kushiriki katika mauaji ya raia nchini Mali

    Umoja wa Ulaya watajwa kushiriki katika mauaji ya raia nchini Mali

    Oct 01, 2018 04:38

    Gazeti la kila wili la Der Spiegel la nchini Ujerumani limeandika habari ya uungaji mkono wa kifedha wa Umoja wa Ulaya katika mauaji ya raia na ukiukaji wa haki za binaadamu nchini Mali.

  • Uungaji mkono imara wa Russia na China kwa JCPOA na hatua za pamoja kwa ajili ya kuyalinda makubaliano hayo

    Uungaji mkono imara wa Russia na China kwa JCPOA na hatua za pamoja kwa ajili ya kuyalinda makubaliano hayo

    Sep 30, 2018 04:04

    Rais Donald Trump wa Marekani daima amekuwa akiyakosoa makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) ambayo yalitiwa saini Julai 2015 baina ya Iran na kundi la 5+1 ikiwemo Marekani akiyataja kuwa makubaliano mabaya kabisa.

  • EU kuunda 'chombo maalumu' cha kufanikisha biashara na Iran

    EU kuunda 'chombo maalumu' cha kufanikisha biashara na Iran

    Sep 25, 2018 04:36

    Nchi zilizosalia kwenye makubaliano ya nyuklia ya Iran yanayofahamika kama JCPOA zimeazimia kuunda 'chombo maalumu' kitakachofanikisha mabadilishano ya kibiashara na Tehran kama sehemu moja ya kuyanusuru mapatano hayo yaliyotiwa saini Julai 2015 mjini Vienna Austria.

  • Chama cha Labour UK: Upo uwezekano wa kufanyika kura mpya ya maoni kuhusu Brexit

    Chama cha Labour UK: Upo uwezekano wa kufanyika kura mpya ya maoni kuhusu Brexit

    Sep 23, 2018 10:45

    Kiongozi wa chama cha Labour nchini Uingereza ameeleza kuwa chama hicho kitatataka kufanyika kura nyingine ya maoni ya kitaifa iwapo makubaliano yaliyofikiwa kati ya London na Brussels kuhusu kujitoa Uingereza katika Umoja wa Ulaya (Brexit) yatakiukwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS