-
Trump awashambulia marafiki na maadui zake
Oct 11, 2018 23:11Tangu aingie madarakani nchini Marekani mwezi Januari 2017, Rais Donald Trump wa nchi hiyo amekuwa akitekeleza siasa ambazo zimeifanya dunia kuwa uwanja wa malumbano na mivutano.
-
Takwa la Ujerumani la kuasisiwa Baraza la Usalama la Umoja wa Ulaya
Oct 10, 2018 04:29Kuibuka hitilafu na mizozo mikubwa baina ya Marekani na Umoja wa Ulaya baada ya kuingia madarakani Rais Donald Trump hususan katika masuala ya kiulinzi, nafasi na umuhimu wa Shirika la Kijeshi la NATO sambamba na kujitoa Uingereza katika Umoja wa Ulaya (Brics) ni mambo ambayo yamezifanya nchi wanachama wa EU zichukue hatua za kuimarisha mipango na mikakati ya kujitegemea katika uga wa ulinzi na usalama.
-
JCPOA, fursa kwa ajili ya kujitegemea kifedha Ulaya
Oct 06, 2018 22:56Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akikosoa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ambayo yalifikiwa kati ya Iran na kundi la 5+1 ikiwemo na Marekani yenyewe na kuyatataja makubaliano hayo kuwa ndiyo mabaya zaidi kuwahi kufikiwa.
-
EU kutuma timu ya kuchunguza mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu Myanmar
Oct 06, 2018 04:15Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa, utatuma timu ya kuchunguza mauaji yanayofanywa dhidi ya Waislamu wa Rohingya nchini Myanmar na kuchukua maamuzi ya mwisho ya kuiwekea vikwazo nchi hiyo.
-
EU yasisitizia udharura wa Saudia kuwekewa vikwazo vya silaha
Oct 05, 2018 12:00Wabunge wa Umoja wa Ulaya wamepiga kura kwa kishindo kuunga mkono azimio linalotaka kuwekewa vikwazo vya silaha Saudi Arabia, inayoongoza katika mauaji na hujuma za kijeshi dhidi ya Yemen.
-
Kongo yautuhumu Umoja wa Ulaya kuwa inaingilia uchaguzi nchini humo
Oct 05, 2018 04:27Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imeutuhumu Umoja wa Ulaya kuwa unaingilia uchaguzi ujao wa rais nchini humo kwa kutosikiliza wito wa serikali ya Kinshasa wa kutaka kuondolewa vikwazo kwa mgombea wa kiti cha urais ambaye ni chaguo la Rais Joseph Kabila.
-
Umoja wa Ulaya watajwa kushiriki katika mauaji ya raia nchini Mali
Oct 01, 2018 04:38Gazeti la kila wili la Der Spiegel la nchini Ujerumani limeandika habari ya uungaji mkono wa kifedha wa Umoja wa Ulaya katika mauaji ya raia na ukiukaji wa haki za binaadamu nchini Mali.
-
Uungaji mkono imara wa Russia na China kwa JCPOA na hatua za pamoja kwa ajili ya kuyalinda makubaliano hayo
Sep 30, 2018 04:04Rais Donald Trump wa Marekani daima amekuwa akiyakosoa makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) ambayo yalitiwa saini Julai 2015 baina ya Iran na kundi la 5+1 ikiwemo Marekani akiyataja kuwa makubaliano mabaya kabisa.
-
EU kuunda 'chombo maalumu' cha kufanikisha biashara na Iran
Sep 25, 2018 04:36Nchi zilizosalia kwenye makubaliano ya nyuklia ya Iran yanayofahamika kama JCPOA zimeazimia kuunda 'chombo maalumu' kitakachofanikisha mabadilishano ya kibiashara na Tehran kama sehemu moja ya kuyanusuru mapatano hayo yaliyotiwa saini Julai 2015 mjini Vienna Austria.
-
Chama cha Labour UK: Upo uwezekano wa kufanyika kura mpya ya maoni kuhusu Brexit
Sep 23, 2018 10:45Kiongozi wa chama cha Labour nchini Uingereza ameeleza kuwa chama hicho kitatataka kufanyika kura nyingine ya maoni ya kitaifa iwapo makubaliano yaliyofikiwa kati ya London na Brussels kuhusu kujitoa Uingereza katika Umoja wa Ulaya (Brexit) yatakiukwa.