-
Wabunge wa Umoja wa Ulaya wataka kutambuliwa rasmi nchi ya Palestina
Sep 20, 2018 23:31Wabunge wa Bunge la Umoja wa Ulaya wamezitaka nchi wanachama wa umoja huo kuitambua rasmi na haraka iwezekanavyo nchi huru ya Palestina.
-
Hatua mpya za Umoja wa Ulaya za kukabiliana na vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran
Sep 15, 2018 03:29Umoja wa Ulaya (EU), ambao nchi zake tatu muhimu, yaani Troika ya Ulaya inayoundwa na Ujerumani, Ufaransa na Uingereza ni wanachama wa kundi 5+1, mbali kuunga mkono makubaliano ya nyuklia ya Iran ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) umesisitiza kukabiliana na hatua za Marekani za kutaka kuyavunja makubaliano hayo; na katika kufanya hivyo umechukua hatua nyengine mpya kwa madhumuni ya kuyalinda makubaliano hayo ya JCPOA.
-
Umoja wa Ulaya wataka kushtakiwa wahusika wa jinai dhidi ya Waislamu Warohingya
Sep 15, 2018 03:20Umoja wa Ulaya umetoa wito wa kufuatiliwa kisheria wale wote waliohusika na jinai dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini Myanmar.
-
Junker: Ushirikiano mpya wa AU na EU kubuni nafasi milioni 10 za ajira
Sep 12, 2018 09:25Rais wa Kamisheni ya Umoja wa Ulaya amesema EU inapania kuzindua ushirikiano mpya kati yake na Umoja wa Afrika utakaosababisha kubuniwa mamilioni ya nafasi za ajira.
-
Umoja wa Ulaya waiunga mkono mahakama ya ICC kuhusiana na Marekani
Sep 12, 2018 02:41Umoja wa Ulaya umetoa radiamali yake kwa vitisho vya Marekani vya kutaka kuiwekea vikwazo Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) na kuunga mkono hatua zinazochukuliwa na mahakama hiyo.
-
EU yalaani kuhukumiwa kifo wananchama wa Ikhwani, Misri
Sep 11, 2018 20:50Umoja wa Ulaya umelaani hukumu ya kifo iliyotolewa na mahakama moja nchini Misri, dhidi ya makumi ya wanachama wa harakati ya Ikhwanul Muslimin.
-
Umoja wa Ulaya wazidi kuisusia Israel, Mogherini akataa kuonana na walowezi wa Kizayuni
Sep 10, 2018 02:54Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amekataa ombi la kundi moja la walowezi wa Kizayuni waliotaka kuonana naye mjini Brussels, Ubalgiji.
-
Umoja wa Ulaya wataka Israel isitishe kubomoa nyumba za Wapalestina
Sep 08, 2018 10:56Mkuu wa Sera za Kigeni katika Umoja wa Ulaya Federica Mogherini ametoa mwito kwa utawala wa Kizayuni wa Israel usitisha mara moja bomoa bomoa ya nyumba za Wapalestina.
-
Italia yakata misaada yake kwa Umoja wa Ulaya (EU)
Aug 26, 2018 02:54Waziri wa Mambo ya Nje wa Italia ametangaza kuwa nchi hiyo imekata misaada yake kwa Umoja wa Ulaya kufuatia kuendelea mivutano kati ya umoja huo na Italia kuhusu suala la wahajiri waliokwama katika meli ya gadi ya pwani ya Italia kwa jina la Diciotti (Dichuti).
-
Sisitizo la Trump la kuzidi kuzibana kiuchumi nchi za Ulaya
Aug 24, 2018 08:54Rais wa Marekani, Donald Trump amesisitizia utekelezaji wa ilani yake ya uchaguzi ya "Marekani Kwanza" na ameahidi kuendelea kuzibana kiuchumi nchi za Ulaya kwa ajili ya kurejesha kile alichodai ni nguvu za Marekani zilizopotea.