-
Mkuu wa Sera za Nje wa EU atoa taarifa kuhusu Syria
Dec 16, 2024 03:53Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya ametangaza kuwa kipaumbele cha Ulaya ni kuhakikisha amani inakuwepo katika eneo na kwamba umoja huo utashirikiana na wadau wote katika eneo zima ikiwemo Syria katika uwanja huo.
-
Kuongezeka mpasuko ndani ya Umoja wa Ulaya juu ya utekelezaji wa vikwazo vipya dhidi ya Russia
Dec 08, 2024 23:39Hatua za Umoja wa Ulaya (EU) za kujaribu kufikia mwafaka juu ya utekelezaji wa kifurushi cha 15 cha vikwazo dhidi ya Russia zimegonga mwamba kutokana na kura za turufu zilizopigwa na Latvia na Lithuania.
-
Mienendo ya kindumakuwili ya Ulaya kuhusu waranti ya kukamatwa watawala wa Israel
Nov 29, 2024 11:57Hatua ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC ya kutoa waranti ya kukamatwa Benjamin Netanyahu na Yoav Gallant, Waziri Mkuu na waziri wa zamani wa vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel imeakisiwa pakubwa kimataifa kwa kutilia maanani umuhimu wake na pia kutokana na kutochukuliwa hatua kama hiyo huko nyuma dhidi ya viongozi wa utawala huo ghasibu.
-
Human Rights Watch yataka uungaji mkono wa Ulaya kwa waranti ya kukamatwa Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni
Nov 27, 2024 04:14Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesisitiza na kutaka kuwepo uungaji mkono wa Umoja wa Ulaya kwa uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC wa kukamatwa Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni kutokana na kuhusika kwake katika jinai za kivita.
-
Borrell: Hati ya kukamatwa Netanyahu, Gallant si ya kisiasa, nchi zote za EU zina wajibu wa kuitekeleza
Nov 21, 2024 23:59Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya, Josep Borrell amesema, hati zilizotolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC za kuamuru kukamatwa waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu na waziri wa zamani wa vita wa utawala huo Yoav Gallant si maamuzi ya "kisiasa" na ni lazima "yaheshimiwe" na nchi zote wanachama wa umoja huo.
-
Siku 1000 za vita vya Ukraine na mustakabali wake usiojulikana
Nov 19, 2024 23:06Jumatatu ya juzi 18 Novemba, 2024, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilifanya mkutano mjini New York, kwa mnasaba wa siku elfu 1000 za Vita vya Ukraine.
-
Kansela wa Ujerumani akiri kuhitilafiana Umoja wa Ulaya kuhusu Ukraine
Nov 10, 2024 23:00Kansela wa Ujerumani amesema kuwa anahitilafiana pakubwa kimitazamo na Waziri Mkuu wa Hungary kuhusu namna ya kushughulikia mgogoro wa Ukraine na kukiri kuwepo hitilafu hizo ndani ya Umoja wa Ulaya kuhusu Ukraine.
-
Kupasishwa vikwazo dhidi ya utawala wa Kizayuni katika Bunge la Ireland
Nov 09, 2024 22:41Wabunge wa Ireland wamepasisha muswada ambao unauarifisha utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa ni utawala mtenda jinai unaofanya mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza mbele ya macho ya walimwengu.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Ulaya ni kielelezo cha unafiki
Oct 30, 2024 04:42Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema kuwa, Ulaya ni kielelezo cha unafiki. Abbas Araghchi ameyasema hayo akijibu matamshi ya uingiliaji kati ya Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya baada ya kunyongwa kiongozi wa kundi la kigaidi la "Tondar" nchini Iran.
-
Mfalme Charles aungama kuhusu 'sura chungu' ya ukoloni wa Uingereza, miito ya kulipa fidia yatolewa
Oct 26, 2024 02:29Mfalme Charles III ameungama kuhusu "sura chungu" ya utawala wa kikoloni wa Uingereza duniani huku kukitolewa miito ya kulipwa fidia ya utumwa ulioendeshwa na mkoloni huyo mkongwe.