Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

utawala wa Aal Khalifa

  • Wimbi la pili la maandamano ya wananchi nchini Bahrain laanza kwa mnasaba wa Februari 14

    Wimbi la pili la maandamano ya wananchi nchini Bahrain laanza kwa mnasaba wa Februari 14

    Feb 14, 2018 13:19

    Wimbi la pili la maandamano na harakati ya malalamiko ya wananchi nchini Bahrain kwa mnasaba wa mwaka wa saba wa mapinduzi ya tarehe 14 Februari, limeanza jioni ya leo Jumatano katika maeneo tofauti ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Utawala wa Bahrain wawahukumu makumi ya raia adhabu ya kifo, kifungo cha maisha jela na kuwavua uraia

    Utawala wa Bahrain wawahukumu makumi ya raia adhabu ya kifo, kifungo cha maisha jela na kuwavua uraia

    Jan 31, 2018 11:57

    Mahakama ya Jinai ya Bahrain leo imeendeleza sera kandamizi za utawala wa kiimla wa Aal Khalifa kwa kuwahukumu adhabu ya kifo, kifungo cha maisha jela na kuwavua uraia makumi ya raia wa nchi hiyo.

  • Mkuu wa Kituo cha Haki za Binadamu Bahrain: Hukumu dhidi ya wapinzani ni ulipizaji kisasi

    Mkuu wa Kituo cha Haki za Binadamu Bahrain: Hukumu dhidi ya wapinzani ni ulipizaji kisasi

    Jan 25, 2018 10:06

    Mkuu wa Kituo cha Haki za Binadamu cha nchini Bahrain amesema kuwa hukumu zilizotolewa na mahakama dhidi ya wapinzani nchini humo ni za kisiasa na ulipizaji kisasi.

  • Utawala wa Bahrain waendelea kuwakandamiza wapinzani

    Utawala wa Bahrain waendelea kuwakandamiza wapinzani

    Jan 23, 2018 10:42

    Utawala wa kiimla wa Bahrain unaendelea kutumia wanajeshi wake kuwakandamiza wananchi wanaoandamana kwa amani wakitaka utawala wa demokrasia katika nchi hiyo ndogo ya Ghuba ya Uajemi.

  • Mwakilishi wa Baraza la Maulama Bahrain: Waislamu wanahitajia umoja ili kuzifukuza Marekani na Israel katika eneo

    Mwakilishi wa Baraza la Maulama Bahrain: Waislamu wanahitajia umoja ili kuzifukuza Marekani na Israel katika eneo

    Dec 06, 2017 11:45

    Sheikh Abdullah al Daqaq mwakilishi wa Baraza la Maulama la Bahrain na ambaye pia ni mwakilishi wa Ayatullah Sheikh Issa Qassim wa nchi hiyo amesisitiza hapa Tehran juu ya umuhimu wa kuwa na umoja katika hali ya hivi sasa katika ulimwengu wa Kiislamu na kueleza kuwa Waislamu wanahitajia umoja ili kuzifukuza Marekani na Israel katika eneo.

  • Utawala wa Bahrain umekusudia kumuua kwa njia isiyo ya moja kwa moja Ayatullah Sheikh Isa Qassim

    Utawala wa Bahrain umekusudia kumuua kwa njia isiyo ya moja kwa moja Ayatullah Sheikh Isa Qassim

    Dec 03, 2017 03:46

    Mjumbe mwandamizi wa Umoja wa Maulamaa wanaounga mkono Muqawama amesema hatua za utawala wa Bahrain dhidi ya kiongozi wa kidini wa nchi hiyo Ayatullah Sheikh Isa Qassim ni sawa na kumuua mwanazuoni huyo wa Kiislamu kwa njia isiyo ya moja kwa moja.

  • Wafungwa wa kisiasa Bahrain wazuiliwa kuwa na mawasiliano yoyote na nje ya jela

    Wafungwa wa kisiasa Bahrain wazuiliwa kuwa na mawasiliano yoyote na nje ya jela

    Nov 19, 2017 04:25

    Duru zenye uhusiano na familia ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kitaifa ya al-Wifaq nchini Bahrain, zimeeleza kuwa utawala wa Aal-Khalifa umemwekea vizuizi vikubwa Sheikkh Ali Salman na shakhsia wengine mashuhuri wanaoshikiliwa katika jela za nchi hiyo.

  • Al-Wifaq: Tuhuma dhidi ya Sheikh Ali Salman ni za uzushi na za ulipizaji kisasi kwa Qatar

    Al-Wifaq: Tuhuma dhidi ya Sheikh Ali Salman ni za uzushi na za ulipizaji kisasi kwa Qatar

    Nov 03, 2017 04:07

    Shaikh Hussain Al Daihi, Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya al-Wifaq ya nchini Bahrain amesema kuwa, tuhuma dhidi ya Sheikh Ali Salman, Katibu Mkuu wa harakati hiyo, ni za kubuni na ni za kulipiziana kisasi Bahrain na Qatar.

  • Hatua kandamizi za usalama zashadidishwa Bahrain sambamba na kukaribia mwezi wa Muharram

    Hatua kandamizi za usalama zashadidishwa Bahrain sambamba na kukaribia mwezi wa Muharram

    Sep 12, 2017 03:21

    Utawala wa Aal Khalifa umeweka sheria kali za usalama nchini Bahrain sambamba na kukaribia mwezi mtukufu wa Muharram.

  • Kuendelea jinai za utawala wa Aal Khalifa katika kivuli cha himaya ya pande zote ya Marekani

    Kuendelea jinai za utawala wa Aal Khalifa katika kivuli cha himaya ya pande zote ya Marekani

    Sep 10, 2017 02:56

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani Pentagon imetangaza kuwa, nchi hiyo imeafiki mpango wa kuuzia silaha utawala wa kifalme wa Bahrain wa Aal Khalifa wenye thamani ya takribani dola bilioni nne na ambao unajumuisha ndege za kivita aina ya F-16, makombora na boti za doria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS