Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Wazayuni waliojipenyeza kilaghai kikao cha AU watimuliwa kidhalili na askari wa Afrika

    Wazayuni waliojipenyeza kilaghai kikao cha AU watimuliwa kidhalili na askari wa Afrika

    Feb 18, 2023 22:57

    Ujumbe wa utawala waw Kizayuni ulioingia kilaghai katika kikao cha Umoja wa Afrika umetimuliwa kidhalili na kifedheha na askari wa Umoja wa Afrika.

  • Hamas yapongeza juhudi za Algeria na Afrika Kusini za kuifukuza Israel AU

    Hamas yapongeza juhudi za Algeria na Afrika Kusini za kuifukuza Israel AU

    Feb 16, 2023 04:27

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imepongeza juhudi zinazofanywa na nchi kama Afrika Kusini na Algeria za kuhakikisha utawala haramu wa Israel unapokonywa hadhi ya kuwa mwanachama mwangalizi katika Umoja wa Afrika (AU).

  • Msemaji wa Hamas: Muqawama, ngao na upanga vitaendelea kuwa mtetezi wa Palestina

    Msemaji wa Hamas: Muqawama, ngao na upanga vitaendelea kuwa mtetezi wa Palestina

    Feb 13, 2023 22:58

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amewapongeza wanamapambano wa Brigedi za Izzudin al Qassam kwa kukabiliana na chokochoko na mashambulizi ya karibuni ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza na kusisitiza kuwa, muqawama, ngao na upanga vitaendelea kuipigania Palestina.

  • Maandamano ya Wasudan ya kupinga kuanzishwa uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel

    Maandamano ya Wasudan ya kupinga kuanzishwa uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel

    Feb 07, 2023 07:43

    Jumapili ya juzi tarehe 5 Februari wananchi wa Sudan waliandamana katika mji mkuu Khartoum kwa shabaha ya kupinga hatua ya utawala wa kijeshi nchini humo ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Onyo la Russia kwa Netanyahu kuhusu msaada wa silaha kwa Ukraine

    Onyo la Russia kwa Netanyahu kuhusu msaada wa silaha kwa Ukraine

    Feb 03, 2023 22:44

    Russia imeuonya vikali utawala haramu wa Israel baada ya Waziri Mkuu wa utawala huo Benjamin Netanyahu kutangaza Jumatano usiku kwamba anachunguza suala la kutuma msaada wa kijeshi wa utawala huo nchini Ukraine.

  • Radiamali ya Iran kwa vitendo vya uhasama vya utawala wa Kizayuni na msimamo wa kichochezi wa Ukraine

    Radiamali ya Iran kwa vitendo vya uhasama vya utawala wa Kizayuni na msimamo wa kichochezi wa Ukraine

    Feb 03, 2023 04:47

    Amir Saeed Irwani, Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa, siku ya Jumatano, akizungumzia shambulio la kigaidi kwenye kiwanda cha Wizara ya Ulinzi huko Isfahan, amesema katika barua kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na pia kwa mwenyekiti wa kiduru wa Baraza la Usalama kwamba uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa utawala wa Kizayuni umehusika na tukio hilo la kigaidi.

  • Iran yakosoa mtazamo wa nchi za Magharibi kuhusu haki za binadamu

    Iran yakosoa mtazamo wa nchi za Magharibi kuhusu haki za binadamu

    Feb 02, 2023 08:42

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa mtazamo wa nchi za Magharibi kuhusu haki za binadamu kwa kuchapisha picha za mashahidi wa Kipalestina waliouawa na jeshi la Israel katika mwezi uliopita.

  • Wanamuqawama wa Palestina wajibu mashambulizi ya anga ya utawala wa Kizayuni Ghaza

    Wanamuqawama wa Palestina wajibu mashambulizi ya anga ya utawala wa Kizayuni Ghaza

    Feb 02, 2023 04:37

    Utawala wa Kizayuni leo asubuhi umeyashambulia maeneo kadhaa katika Ukanda wa Ghaza ambapo hujuma hiyo imekabiliwa na jibu la makundi ya wanamuqawama wa Palestina ambao wamevurumisha maroketi kadhaa katika vitongoji vya walowezi wa Kizayuni kandokando ya Ukanda wa Ghaza.

  • Kukosoa Mbunge wa Kiislamu kuhusu kuenea chuki dhidi ya Uislamu katika Kongresi ya Marekani

    Kukosoa Mbunge wa Kiislamu kuhusu kuenea chuki dhidi ya Uislamu katika Kongresi ya Marekani

    Jan 31, 2023 22:55

    Ilhan Omar, Mbunge Mwislamu wa chama cha Democratic katika Baraza la Wawakilishi la Marekani anayewakilisha jimbo la Minnesota amesema kuwa, baadhi ya wajumbe wa chama cha Republican hawataki kuona kunakuweko na Wabunge Waislamu katika Kongresi ya nchi hiyo.

  • Netanyahu akiri: Tumeshuhudia shambulio baya zaidi katika miaka ya hivi karibuni

    Netanyahu akiri: Tumeshuhudia shambulio baya zaidi katika miaka ya hivi karibuni

    Jan 28, 2023 23:05

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kwamba oparesheni ya kujitolea kufa shahidi iliyofanywa na kijana wa Kipalestina katika eneo la Quds inayokaliwa kwa mabavu ni shambulio baya zaidi dhidi ya utwala huo katika miaka ya hivi karibuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS