-
Al Shimi: Nembo ya muqawama wa Wapalestina katika msikiti wa al Aqsa
Sep 27, 2022 01:04Wanajeshi ghasibu wa utawala wa Kizayuni wamemshambulia na kumvamia Abubakar al Shimi mzee mwenyeji wa mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu aliye na umri wa miaka 65 ambaye alikuwa na lengo la kuingia katika Msikiti mtukufu wa al Aqsa.
-
Pakistan yapinga tena wazo la kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel
Sep 26, 2022 00:05Serikali ya Pakistan kwa mara nyingine tena imepinga wazo la kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kufuatia uchochezi wa baadhi ya tawala za Kiarabu zenye fikra mgando za kuitaka ifuate mkondo huo.
-
Wazayuni 8 wajeruhiwa katika oparesheni ya kujitolea kufa shahidi ya Wapalestina mjini Ramallah
Sep 23, 2022 04:21Vyombo vya habari vya Kiarabu jana usiku vilitangaza habari ya kutekelezwa oparesheni ya kufa shahidi dhidi ya wanajeshi wa utawala wa Kizayuni huko Ramallah.
-
Malalamiko ya Wapalestina dhidi ya kuyahudisha mfumo wa elimu wa Quds
Sep 20, 2022 21:42Skuli za Palestina katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu zimeanzisha mgomo jumuishi kwa ajili ya kulalamikia sera za elimu za utawala ghasibu wa Israel pamoja na mpango mchafu wa utawala huo wa kuziyahudisha shule za Kipalestina.
-
Sisitizo la Nasrullah juu ya ulazima wa kuendelezwa Muqawama wa kukabiliana na adui Mzayuni
Sep 19, 2022 04:53Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, Muqawama ndio njia pekee ya kukabiliana na adui mzayuni. Nasrullah ameyasema hayo katika hotuba aliyotoa siku ya Jumamosi kwa mnasaba wa Arubaini ya Imam Hussein AS.
-
Katibu Mkuu wa Jukwaa la Mwamko wa Kiislamu Ulimwenguni: Dalili za kuporomoka utawala wa Kizayuni zinazidi kuonekana
Sep 18, 2022 08:32Katibu Mkuu wa Jukwaa la Mwamko wa Kiislamu Ulimwenguni amewakosoa wale wanaojaribu kuanzisha uhusiano wa kawaida na kuutambua rasmi utawala haramu wa Israel na kusisitiza kuwa: Mwenendo wa kihistoria na kudidimia taratibu kwa utawala huo unazidi kuonekana siku baada ya siku.
-
Miaka arubaini baada ya jinai ya Israel ya Sabra na Shatila
Sep 17, 2022 06:29Septemba 16, inasadifiana na kumbukumbu ya miaka 40 ya jinai iliyotekelezwa na utawala haramu wa Israel huko Sabra na Shatila nchini Lebanon .
-
Askofu wa Othodoksi Palestina: Kupita kwa muda hakutafanya jinai za maghasibu wa Baitul Muqaddas zisahaulike
Sep 17, 2022 03:00Askofu Mkuu wa Kanisa la Othodoksi mjini Baitul Muqaddas (Jerusalem) amesema: Palestina haitafunga mikono na kusimama kizembe katika kukabiliana na upendeleaji unaofanywa na Magharibi kwa utawala ghasibu wa Kizayuni pamoja na sera na jinai zake.
-
Iran: Utawala haramu wa Israel siku zote umekuwa tishio dhidi ya amani na usalama wa kimataifa
Sep 16, 2022 03:12Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, misingi ya utawala wa kibaguzi wa Israel imejengeka juu ya uvamizi na tishio kwa amani na usalama wa dunia.
-
Israel yamfuta kazi balozi wake anayetuhumiwa kuwabaka wanawake nchini Morocco
Sep 16, 2022 03:10Utawala haramu wa Israel umelazimika kumfuta kazi balozi wake wa nchini Morocco anayekabiliwa na kashfa za ngono na kuwanyanyasa kijinsia wanawake wa nchi hiyo ya Kiarabu.