Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Al Shimi: Nembo ya muqawama wa Wapalestina katika msikiti wa al Aqsa

    Al Shimi: Nembo ya muqawama wa Wapalestina katika msikiti wa al Aqsa

    Sep 27, 2022 01:04

    Wanajeshi ghasibu wa utawala wa Kizayuni wamemshambulia na kumvamia Abubakar al Shimi mzee mwenyeji wa mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu aliye na umri wa miaka 65 ambaye alikuwa na lengo la kuingia katika Msikiti mtukufu wa al Aqsa.

  • Pakistan yapinga tena wazo la kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel

    Pakistan yapinga tena wazo la kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel

    Sep 26, 2022 00:05

    Serikali ya Pakistan kwa mara nyingine tena imepinga wazo la kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kufuatia uchochezi wa baadhi ya tawala za Kiarabu zenye fikra mgando za kuitaka ifuate mkondo huo.

  • Wazayuni 8 wajeruhiwa katika oparesheni ya kujitolea kufa shahidi ya Wapalestina mjini Ramallah

    Wazayuni 8 wajeruhiwa katika oparesheni ya kujitolea kufa shahidi ya Wapalestina mjini Ramallah

    Sep 23, 2022 04:21

    Vyombo vya habari vya Kiarabu jana usiku vilitangaza habari ya kutekelezwa oparesheni ya kufa shahidi dhidi ya wanajeshi wa utawala wa Kizayuni huko Ramallah.

  • Malalamiko ya Wapalestina dhidi ya kuyahudisha mfumo wa elimu wa Quds

    Malalamiko ya Wapalestina dhidi ya kuyahudisha mfumo wa elimu wa Quds

    Sep 20, 2022 21:42

    Skuli za Palestina katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu zimeanzisha mgomo jumuishi kwa ajili ya kulalamikia sera za elimu za utawala ghasibu wa Israel pamoja na mpango mchafu wa utawala huo wa kuziyahudisha shule za Kipalestina.

  • Sisitizo la Nasrullah juu ya ulazima wa kuendelezwa Muqawama wa kukabiliana na adui Mzayuni

    Sisitizo la Nasrullah juu ya ulazima wa kuendelezwa Muqawama wa kukabiliana na adui Mzayuni

    Sep 19, 2022 04:53

    Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, Muqawama ndio njia pekee ya kukabiliana na adui mzayuni. Nasrullah ameyasema hayo katika hotuba aliyotoa siku ya Jumamosi kwa mnasaba wa Arubaini ya Imam Hussein AS.

  • Katibu Mkuu wa Jukwaa la Mwamko wa Kiislamu Ulimwenguni: Dalili za kuporomoka utawala wa Kizayuni zinazidi kuonekana

    Katibu Mkuu wa Jukwaa la Mwamko wa Kiislamu Ulimwenguni: Dalili za kuporomoka utawala wa Kizayuni zinazidi kuonekana

    Sep 18, 2022 08:32

    Katibu Mkuu wa Jukwaa la Mwamko wa Kiislamu Ulimwenguni amewakosoa wale wanaojaribu kuanzisha uhusiano wa kawaida na kuutambua rasmi utawala haramu wa Israel na kusisitiza kuwa: Mwenendo wa kihistoria na kudidimia taratibu kwa utawala huo unazidi kuonekana siku baada ya siku.

  • Miaka arubaini baada ya jinai ya Israel ya Sabra na Shatila

    Miaka arubaini baada ya jinai ya Israel ya Sabra na Shatila

    Sep 17, 2022 06:29

    Septemba 16, inasadifiana na kumbukumbu ya miaka 40 ya jinai iliyotekelezwa na utawala haramu wa Israel huko Sabra na Shatila nchini Lebanon .

  • Askofu wa Othodoksi Palestina: Kupita kwa muda hakutafanya jinai za maghasibu wa Baitul Muqaddas zisahaulike

    Askofu wa Othodoksi Palestina: Kupita kwa muda hakutafanya jinai za maghasibu wa Baitul Muqaddas zisahaulike

    Sep 17, 2022 03:00

    Askofu Mkuu wa Kanisa la Othodoksi mjini Baitul Muqaddas (Jerusalem) amesema: Palestina haitafunga mikono na kusimama kizembe katika kukabiliana na upendeleaji unaofanywa na Magharibi kwa utawala ghasibu wa Kizayuni pamoja na sera na jinai zake.

  • Iran: Utawala haramu wa Israel siku zote umekuwa tishio dhidi ya amani na usalama wa kimataifa

    Iran: Utawala haramu wa Israel siku zote umekuwa tishio dhidi ya amani na usalama wa kimataifa

    Sep 16, 2022 03:12

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, misingi ya utawala wa kibaguzi wa Israel imejengeka juu ya uvamizi na tishio kwa amani na usalama wa dunia.

  • Israel yamfuta kazi balozi wake anayetuhumiwa kuwabaka wanawake nchini Morocco

    Israel yamfuta kazi balozi wake anayetuhumiwa kuwabaka wanawake nchini Morocco

    Sep 16, 2022 03:10

    Utawala haramu wa Israel umelazimika kumfuta kazi balozi wake wa nchini Morocco anayekabiliwa na kashfa za ngono na kuwanyanyasa kijinsia wanawake wa nchi hiyo ya Kiarabu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS