-
Wapalestina zaidi ya 190 wametiwa nguvuni na askari wa Israel katika muda wa mwezi mmoja
Mar 02, 2022 10:26Jumuiya ya Ulaya ya kutetea na kuunga mkono Quds tukufu (Jerusalem) imetangaza kuwa katika kipindi cha mwezi mmoja, askari wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wamevamia mji huo wa Baitul Muqaddas unaokaliwa kwa mabavu na kuwatia nguvuni Wapalestina zaidi ya 190 wakazi wa mji huo.
-
Ziyad al-Nakhala: Muqwawama umeimarika zaidi kuliko wakati wowote ule
Mar 01, 2022 04:43Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina amesema kuwa, muqawama umepata nguvu na kuuimarika kuliko wakati wowote ule huuu adui akidhoofika kuliko kipindi chochote.
-
Hamas: Msikiti wa Al-Aqsa ndio msingi wa vita vyetu na adui Mzayuni
Feb 28, 2022 07:44Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetangaza kuwa, Msikiti wa Al-Aqswa ndio msingi wa mapambano ya wananchi wa Palestina dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel unaoikalia Quds kwa mabavu.
-
Jihadul Islami yalaani madai ya Ufaransa na kusisitza kwamba, Quds ni mji mkuu wa Palestina
Feb 27, 2022 00:47Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imelaani vikali madai ya Waziri Mkuu wa Ufaransa kuhusiana na mji wa Quds na kuonya kuhusiana na matokeo mabaya ya madai hayo.
-
Chama cha Fat'h: Marekani inashirikiana na Israel kuwakandamiza Wapalestina
Feb 25, 2022 03:25Katibu wa Kamati Kuu ya chama cha Fat'h cha Palestina amesema kuwa, eneo la Sheikh Jarrah na maeneo mengine ya Quds yanayokaliwa kwa mabavu, yanaendelea kushuhudia vitendo vya kigaidi vya utawala wa Kizayuni wa Israel na kwamba jinai hizo zinafanyika kwa uungaji mkono kamili wa Marekani.
-
HAMAS: Kukamata kiholela Wapalestina hakuwezi kulifanya taifa la Palestina liache kupambana na Wazayuni
Feb 24, 2022 04:35Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesisitiza katika taarifa yake kwamba, operesheni ya kuwakamata kiholela Wapalestina katu haiwezi kulifanya taifa la Palestina liachane na mapambano yake dhidi ya Wazayuni maghasibu wanaozikalia kwa mabavu ardhi za Palestina.
-
Taarifa mpya zafichuliwa kuhusu mtandao wa kijasusi wa Israel dhidi ya Hizbullah
Feb 23, 2022 23:34Gazeti la al Akhbar la Lebanon limefichua taarifa mpya kuhusu operesheni za moja ya mitandao ya ujasusi ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel nchini Lebanon dhidi ya harakati ya muqawama ya nchi hiyo ya Hizbullah.
-
Israel yashambulia kwa makombora mashariki mwa Qunaitra, kusini mwa Syria
Feb 23, 2022 03:42Duru za habari nchini Syria zimetangaza kuwa, wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wameshambulia kwa makombora maeneo ya karibu na mji wa Qunaitra nchini Syria.
-
Operesheni ya droni ya Hizbullah; kusambaratika mfumo wa ulinzi wa utawala wa Kizayuni
Feb 21, 2022 23:10Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Ijumaa iliyopita ilitoa taarifa na kutangaza kuwa ndege isiyo na rubani (droni) iliyopewa jina la Hassan imepaa katika anga ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu kwa muda wa dakika 40 na katika umbali wa kilomita 70 na kisha ikarejea Lebanon baada ya kufanya kazi yake kwa mafanikio.
-
Askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wauvunjia heshima msikiti wa Nabii Ibrahim (as)
Feb 21, 2022 04:09Duru za habari zimeripoti kuwa, kundi kubwa la askari wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel limeuvamia na kuuvunjia heshima msikiti wa Nabii Ibrahim (as) katika mji wa al Khalil, Palestina inayokaliwa kwa mabavu.