Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Wapalestina zaidi ya 190 wametiwa nguvuni na askari wa Israel katika muda wa mwezi mmoja

    Wapalestina zaidi ya 190 wametiwa nguvuni na askari wa Israel katika muda wa mwezi mmoja

    Mar 02, 2022 10:26

    Jumuiya ya Ulaya ya kutetea na kuunga mkono Quds tukufu (Jerusalem) imetangaza kuwa katika kipindi cha mwezi mmoja, askari wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wamevamia mji huo wa Baitul Muqaddas unaokaliwa kwa mabavu na kuwatia nguvuni Wapalestina zaidi ya 190 wakazi wa mji huo.

  • Ziyad al-Nakhala:  Muqwawama umeimarika zaidi kuliko wakati wowote ule

    Ziyad al-Nakhala: Muqwawama umeimarika zaidi kuliko wakati wowote ule

    Mar 01, 2022 04:43

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina amesema kuwa, muqawama umepata nguvu na kuuimarika kuliko wakati wowote ule huuu adui akidhoofika kuliko kipindi chochote.

  • Hamas: Msikiti wa Al-Aqsa ndio msingi wa vita vyetu na adui Mzayuni

    Hamas: Msikiti wa Al-Aqsa ndio msingi wa vita vyetu na adui Mzayuni

    Feb 28, 2022 07:44

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetangaza kuwa, Msikiti wa Al-Aqswa ndio msingi wa mapambano ya wananchi wa Palestina dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel unaoikalia Quds kwa mabavu.

  • Jihadul Islami yalaani madai ya Ufaransa na kusisitza kwamba, Quds ni mji mkuu wa Palestina

    Jihadul Islami yalaani madai ya Ufaransa na kusisitza kwamba, Quds ni mji mkuu wa Palestina

    Feb 27, 2022 00:47

    Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imelaani vikali madai ya Waziri Mkuu wa Ufaransa kuhusiana na mji wa Quds na kuonya kuhusiana na matokeo mabaya ya madai hayo.

  • Chama cha Fat'h: Marekani inashirikiana na Israel kuwakandamiza Wapalestina

    Chama cha Fat'h: Marekani inashirikiana na Israel kuwakandamiza Wapalestina

    Feb 25, 2022 03:25

    Katibu wa Kamati Kuu ya chama cha Fat'h cha Palestina amesema kuwa, eneo la Sheikh Jarrah na maeneo mengine ya Quds yanayokaliwa kwa mabavu, yanaendelea kushuhudia vitendo vya kigaidi vya utawala wa Kizayuni wa Israel na kwamba jinai hizo zinafanyika kwa uungaji mkono kamili wa Marekani.

  • HAMAS: Kukamata kiholela Wapalestina hakuwezi kulifanya taifa la Palestina liache kupambana na Wazayuni

    HAMAS: Kukamata kiholela Wapalestina hakuwezi kulifanya taifa la Palestina liache kupambana na Wazayuni

    Feb 24, 2022 04:35

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesisitiza katika taarifa yake kwamba, operesheni ya kuwakamata kiholela Wapalestina katu haiwezi kulifanya taifa la Palestina liachane na mapambano yake dhidi ya Wazayuni maghasibu wanaozikalia kwa mabavu ardhi za Palestina.

  • Taarifa mpya zafichuliwa kuhusu mtandao wa kijasusi wa Israel dhidi ya Hizbullah

    Taarifa mpya zafichuliwa kuhusu mtandao wa kijasusi wa Israel dhidi ya Hizbullah

    Feb 23, 2022 23:34

    Gazeti la al Akhbar la Lebanon limefichua taarifa mpya kuhusu operesheni za moja ya mitandao ya ujasusi ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel nchini Lebanon dhidi ya harakati ya muqawama ya nchi hiyo ya Hizbullah.

  • Israel yashambulia kwa makombora mashariki mwa Qunaitra, kusini mwa Syria

    Israel yashambulia kwa makombora mashariki mwa Qunaitra, kusini mwa Syria

    Feb 23, 2022 03:42

    Duru za habari nchini Syria zimetangaza kuwa, wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wameshambulia kwa makombora maeneo ya karibu na mji wa Qunaitra nchini Syria.

  • Operesheni ya droni ya Hizbullah; kusambaratika mfumo wa ulinzi wa utawala wa Kizayuni

    Operesheni ya droni ya Hizbullah; kusambaratika mfumo wa ulinzi wa utawala wa Kizayuni

    Feb 21, 2022 23:10

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Ijumaa iliyopita ilitoa taarifa na kutangaza kuwa ndege isiyo na rubani (droni) iliyopewa jina la Hassan imepaa katika anga ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu kwa muda wa dakika 40 na katika umbali wa kilomita 70 na kisha ikarejea Lebanon baada ya kufanya kazi yake kwa mafanikio.

  • Askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wauvunjia heshima msikiti wa Nabii Ibrahim (as)

    Askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wauvunjia heshima msikiti wa Nabii Ibrahim (as)

    Feb 21, 2022 04:09

    Duru za habari zimeripoti kuwa, kundi kubwa la askari wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel limeuvamia na kuuvunjia heshima msikiti wa Nabii Ibrahim (as) katika mji wa al Khalil, Palestina inayokaliwa kwa mabavu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS