Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Mapatano ya kuanzisha uhusiano na Israel ni dhambi isiyosameheka

    Mapatano ya kuanzisha uhusiano na Israel ni dhambi isiyosameheka

    Sep 17, 2020 01:27

    Nchi za Imarati na Bahran juzi Septemba 15 zilisaini mapatano ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel. Sherehe ya kutiwa saini mapatano hayo ilifanyika ikulu ya White House mjini Washington chini ya usimamizi wa Rais Donald Trump wa Marekani.

  • Umoja wa Mataifa wasisitiza kuhitimishwa uvamizi wa utawala wa Kizayuni Palestina

    Umoja wa Mataifa wasisitiza kuhitimishwa uvamizi wa utawala wa Kizayuni Palestina

    Sep 16, 2020 03:13

    Baraza la Masuala ya Kiuchumi na Kijamii la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio likiutaka utawala wa Kizayuni wa Israel uhitimishe kukalia kwa mabavu ardhi za Wapalestina.

  • 15 Septemba, siku ya ghadhabu ya Waarabu dhidi ya watawala vibaraka

    15 Septemba, siku ya ghadhabu ya Waarabu dhidi ya watawala vibaraka

    Sep 15, 2020 10:42

    Imarati na Bahrain leo Jumanne zinatarajiwa kutia saini mapatano ya amani na utawala wa Kizayuni wa Israel katika ikulu ya Rais wa Marekani, White House, mjini Washington. Hatua hii imeyakasirisha sana mataifa ya Waislamu na Waarabu ambayo yameitaja kuwa ni usaliti dhidi ya Uislamu, Palestina na Quds tukufu.

  • Palestina: Jumanne ijayo ni siku ya upinzani wa kimataifa dhidi ya kuwa na uhusiano na Israel

    Palestina: Jumanne ijayo ni siku ya upinzani wa kimataifa dhidi ya kuwa na uhusiano na Israel

    Sep 13, 2020 22:12

    Kamati ya Uongozi wa Makundi ya Mapambano ya Ukombozi wa Palestina imeitangaza siku ya Jumanne ijayo kuwa ni siku ya upinzani wa walimwengu dhidi ya hatua yoyote ya kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel.

  • Wabahrain waandamana kupinga makubaliano ya kuanzisha uhusiano na utawala ghasibu wa Israel

    Wabahrain waandamana kupinga makubaliano ya kuanzisha uhusiano na utawala ghasibu wa Israel

    Sep 13, 2020 08:20

    Wananchi wa Bahrain leo wamejitokeza kwa wingi katika maandamano ya kupinga hatua ya utawala wa nchi hiyo ya kufikia makubaliano ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala ghasibu wa Israel.

  • Trump, Netanyahu washindwa kuvuruga juhudi za kimataifa za kupambana na COVID-19

    Trump, Netanyahu washindwa kuvuruga juhudi za kimataifa za kupambana na COVID-19

    Sep 13, 2020 03:10

    Njama za Marekani na utawala wa Kizayuni za kukwamisha kupasishwa azimio la Umoja wa Mataifa la kuanzisha umoja wa kimataifa wa kupambana na kirusi cha corona, zimegonga mwamba.

  • Mapatano ya Aal Khalifa na utawala wa Kizayuni, chachu ya mapambano ya wananchi wa Bahrain

    Mapatano ya Aal Khalifa na utawala wa Kizayuni, chachu ya mapambano ya wananchi wa Bahrain

    Sep 12, 2020 06:31

    Ikiwa umepita karibu mwezi mmoja tangu Imarati na utawala wa Kizayuni wa Israel zifikie mapatano ya kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia, Rais Doald Trump wa Marekani ametangaza kwamba Bahrain na utawala wa Kizayuni pia zimekubaliana kuanzisha uhusiano kama huo.

  • Mtifuano wa ana kwa ana kati ya Palestina na asasi za Waarabu kuhusu Makubaliano ya Abraham

    Mtifuano wa ana kwa ana kati ya Palestina na asasi za Waarabu kuhusu Makubaliano ya Abraham

    Sep 09, 2020 09:06

    Kikao cha leo cha Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Arab League kimefanyika wakati msimamo ulioonyeshwa na jumuiya hiyo pamoja na Baraza Kuu la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi GCC, hususan katika siku za karibuni kuhusu mapatano yaliyofikiwa kati ya Imarati na utawala wa Kizayuni wa Israel umethibitisha kuwa, tajiriba ya uchukuaji maamuzi kitaasisi katika Ulimwengu wa Kiarabu imefeli;

  • Indhari ya Umoja wa Ulaya kwa Serbia na Kosovo kuhusu kuhamishia na kufungua  balozi zao Quds

    Indhari ya Umoja wa Ulaya kwa Serbia na Kosovo kuhusu kuhamishia na kufungua balozi zao Quds

    Sep 08, 2020 06:36

    Moja ya hatua zilizochukuliwa na Rais Donald Trump wa Marekani katika kutoa huduma kwa utawala wa Kizayuni wa Israel ni kuutambua mji wa Baytul-Muqaddas kama mji mkuu wa utawala huo ghasibu na kuhamishia ubalozi wake katika mji huo Mei mwaka 2018, hatua ambayo ilikabiliwa na upinzani wa walimwengu.

  • Migongano katika yasemwayo na yatendwayo na utawala wa Aal Saud kuhusu suala la kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel

    Migongano katika yasemwayo na yatendwayo na utawala wa Aal Saud kuhusu suala la kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel

    Sep 08, 2020 02:45

    Mfalme Salman bin Abdulaziz wa Saudi Arabia amesema katika mazungumzo aliyofanya kwa njia ya simu na Rais Donald Trump wa Marekani kwamba kuundwa nchi huru ya Palestina ndilo sharti la nchi yake kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS