-
Mapatano ya kuanzisha uhusiano na Israel ni dhambi isiyosameheka
Sep 17, 2020 01:27Nchi za Imarati na Bahran juzi Septemba 15 zilisaini mapatano ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel. Sherehe ya kutiwa saini mapatano hayo ilifanyika ikulu ya White House mjini Washington chini ya usimamizi wa Rais Donald Trump wa Marekani.
-
Umoja wa Mataifa wasisitiza kuhitimishwa uvamizi wa utawala wa Kizayuni Palestina
Sep 16, 2020 03:13Baraza la Masuala ya Kiuchumi na Kijamii la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio likiutaka utawala wa Kizayuni wa Israel uhitimishe kukalia kwa mabavu ardhi za Wapalestina.
-
15 Septemba, siku ya ghadhabu ya Waarabu dhidi ya watawala vibaraka
Sep 15, 2020 10:42Imarati na Bahrain leo Jumanne zinatarajiwa kutia saini mapatano ya amani na utawala wa Kizayuni wa Israel katika ikulu ya Rais wa Marekani, White House, mjini Washington. Hatua hii imeyakasirisha sana mataifa ya Waislamu na Waarabu ambayo yameitaja kuwa ni usaliti dhidi ya Uislamu, Palestina na Quds tukufu.
-
Palestina: Jumanne ijayo ni siku ya upinzani wa kimataifa dhidi ya kuwa na uhusiano na Israel
Sep 13, 2020 22:12Kamati ya Uongozi wa Makundi ya Mapambano ya Ukombozi wa Palestina imeitangaza siku ya Jumanne ijayo kuwa ni siku ya upinzani wa walimwengu dhidi ya hatua yoyote ya kuanzisha uhusiano na utawala haramu wa Israel.
-
Wabahrain waandamana kupinga makubaliano ya kuanzisha uhusiano na utawala ghasibu wa Israel
Sep 13, 2020 08:20Wananchi wa Bahrain leo wamejitokeza kwa wingi katika maandamano ya kupinga hatua ya utawala wa nchi hiyo ya kufikia makubaliano ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala ghasibu wa Israel.
-
Trump, Netanyahu washindwa kuvuruga juhudi za kimataifa za kupambana na COVID-19
Sep 13, 2020 03:10Njama za Marekani na utawala wa Kizayuni za kukwamisha kupasishwa azimio la Umoja wa Mataifa la kuanzisha umoja wa kimataifa wa kupambana na kirusi cha corona, zimegonga mwamba.
-
Mapatano ya Aal Khalifa na utawala wa Kizayuni, chachu ya mapambano ya wananchi wa Bahrain
Sep 12, 2020 06:31Ikiwa umepita karibu mwezi mmoja tangu Imarati na utawala wa Kizayuni wa Israel zifikie mapatano ya kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia, Rais Doald Trump wa Marekani ametangaza kwamba Bahrain na utawala wa Kizayuni pia zimekubaliana kuanzisha uhusiano kama huo.
-
Mtifuano wa ana kwa ana kati ya Palestina na asasi za Waarabu kuhusu Makubaliano ya Abraham
Sep 09, 2020 09:06Kikao cha leo cha Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Arab League kimefanyika wakati msimamo ulioonyeshwa na jumuiya hiyo pamoja na Baraza Kuu la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi GCC, hususan katika siku za karibuni kuhusu mapatano yaliyofikiwa kati ya Imarati na utawala wa Kizayuni wa Israel umethibitisha kuwa, tajiriba ya uchukuaji maamuzi kitaasisi katika Ulimwengu wa Kiarabu imefeli;
-
Indhari ya Umoja wa Ulaya kwa Serbia na Kosovo kuhusu kuhamishia na kufungua balozi zao Quds
Sep 08, 2020 06:36Moja ya hatua zilizochukuliwa na Rais Donald Trump wa Marekani katika kutoa huduma kwa utawala wa Kizayuni wa Israel ni kuutambua mji wa Baytul-Muqaddas kama mji mkuu wa utawala huo ghasibu na kuhamishia ubalozi wake katika mji huo Mei mwaka 2018, hatua ambayo ilikabiliwa na upinzani wa walimwengu.
-
Migongano katika yasemwayo na yatendwayo na utawala wa Aal Saud kuhusu suala la kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel
Sep 08, 2020 02:45Mfalme Salman bin Abdulaziz wa Saudi Arabia amesema katika mazungumzo aliyofanya kwa njia ya simu na Rais Donald Trump wa Marekani kwamba kuundwa nchi huru ya Palestina ndilo sharti la nchi yake kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.