-
Hamas na Jihad Islami zasisitiza udharura wa kudumishwa mapambano dhidi ya Israel
Aug 12, 2020 23:01Harakati za mapambano ya ukombozi wa Palestina za Hamas na Jihad Islami zimetilia mkazo udharura wa kudumishwa mapambano dhidi ya utawala haramu wa Israel na kufanya jitihada kubwa za kuondoa mzingiro wa utawala huo dhidi ya wakazi wa Ukanda wa Ghaza.
-
Shambulio la Israel dhidi ya Gaza; shambulio la tatu dhidi ya muqawama katika kipindi cha wiki mbili
Aug 03, 2020 21:00Ndege za kivita za utawala haramu wa Israel Jumatatu alfajiri zilifanya mashambulio katika maeneo kadhaa ya Ukanda wa Gaza.
-
Hamas: Mashambulizi ya utawala wa Israel katika ngome za muqawama huko Ghaza; ni ujumbe wa mivutano
Aug 03, 2020 06:33Msemaji wa Harakati ya Muqawama ya Palestina (Hamas) amesema kuwa, utawala wa Kizayuni unatekeleza mashambulizi katika Ukanda wa Ghaza lengo likiwa ni kuwahamishia wananchi wa Palestina migogoro ya ndani ya utawala huo na kupotosha fikra za walimwengu kuhusu matukio na hali mbaya ya kisiasa inayoukabili sasa utawala wa Israel.
-
Waziri wa Ulinzi: Lebanon iko tayari kukabiliana na hujuma ya utawala wa Kizayuni
Aug 02, 2020 23:09Waziri wa Ulinzi wa Lebanon amesema jeshi la nchi yake liko tayari kabisa kukabiliana na uvamizi wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Maelfu ya Waisraeli waandamana mkabala wa makazi ya Netanyahu wakitaka ajiuzulu
Aug 02, 2020 03:30Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni jana usiku vilitangaza habari ya kuendelea maandamano ya maelfu ya wakazi wa ardhi zinazokaliwa kwa mabavu mkabala na makazi ya Waziri Mkuu wa utawala huo unaoikalia Quds Tukufu kwa mabavu.
-
Vijana wa Kipalestina wakabiliana na Wazayuni waliotaka kuvamia Msikiti wa al-Aqswa
Jul 30, 2020 03:02Vijana wa Kipalestina wamekabiliana na walowezi wa Kizayuni waliokuwa wakifanya juhudi za kuvamia na kuingia katika Msikiti wa al-Aqswa.
-
Israel yashindwa katika vita vya kisaikolojia katika kumbukumbu ya mwaka wa 14 wa vita vya siku 33
Jul 28, 2020 06:03Sambamba na kumbukumbu ya mwaka wa 14 wa Vita vya Siku 33, utawala wa Kizayuni unakabiliwa na changamoto kadhaa za ndani na hivyo umeanzisha vita vipya vya kisaikolojia dhidi ya Hizbullah. Pamoja na hayo, lakini taarifa ya Hizbullah imesambaratisha vita hivyo vya kisaikolojia.
-
Kupasisha Marekani msaada wa dola bilioni 38 kwa ajili ya utawala haramu wa Israel
Jul 27, 2020 22:00Jumapili ya tarehe 26 Julai, Kongresi ya Marekani ilipasisha msaada wa kifedha kwa utawala haramu wa Israel wa dola bilioni 38 katika kipindi cha miaka kumi.
-
Hamas yapinga misaada ya kifedha ya Marekani kwa utawala haramu wa Israel
Jul 27, 2020 08:34Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, (HAMAS) imepinga hatua ya Kongresi ya Marekani ya kupasisha bajeti ya msaada wa kifedha kwa ajili ya utawala wa Kizayuni wa Israel na kutangaza kuwa: Hatua hiyo inaimarisha mienendo ya kibabe na ukiukaji wa sheria za kimataifa.
-
Makundi ya Palestina yaonya kuhusu uhusiano wa baadhi ya nchi za Kiarabu na Israel
Jul 26, 2020 21:00Makundi ya mapambano huko Palestina yameonya hatua ya baadhi ya mataifa ya Kiarabu ya kutaka kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.