Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Hamas na Jihad Islami zasisitiza udharura wa kudumishwa mapambano dhidi ya Israel

    Hamas na Jihad Islami zasisitiza udharura wa kudumishwa mapambano dhidi ya Israel

    Aug 12, 2020 23:01

    Harakati za mapambano ya ukombozi wa Palestina za Hamas na Jihad Islami zimetilia mkazo udharura wa kudumishwa mapambano dhidi ya utawala haramu wa Israel na kufanya jitihada kubwa za kuondoa mzingiro wa utawala huo dhidi ya wakazi wa Ukanda wa Ghaza.

  • Shambulio la Israel dhidi ya Gaza; shambulio la tatu dhidi ya muqawama katika kipindi cha wiki mbili

    Shambulio la Israel dhidi ya Gaza; shambulio la tatu dhidi ya muqawama katika kipindi cha wiki mbili

    Aug 03, 2020 21:00

    Ndege za kivita za utawala haramu wa Israel Jumatatu alfajiri zilifanya mashambulio katika maeneo kadhaa ya Ukanda wa Gaza.

  • Hamas: Mashambulizi ya utawala wa Israel katika ngome za muqawama huko Ghaza; ni ujumbe wa mivutano

    Hamas: Mashambulizi ya utawala wa Israel katika ngome za muqawama huko Ghaza; ni ujumbe wa mivutano

    Aug 03, 2020 06:33

    Msemaji wa Harakati ya Muqawama ya Palestina (Hamas) amesema kuwa, utawala wa Kizayuni unatekeleza mashambulizi katika Ukanda wa Ghaza lengo likiwa ni kuwahamishia wananchi wa Palestina migogoro ya ndani ya utawala huo na kupotosha fikra za walimwengu kuhusu matukio na hali mbaya ya kisiasa inayoukabili sasa utawala wa Israel.

  • Waziri wa Ulinzi: Lebanon iko tayari kukabiliana na hujuma ya utawala wa Kizayuni

    Waziri wa Ulinzi: Lebanon iko tayari kukabiliana na hujuma ya utawala wa Kizayuni

    Aug 02, 2020 23:09

    Waziri wa Ulinzi wa Lebanon amesema jeshi la nchi yake liko tayari kabisa kukabiliana na uvamizi wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Maelfu ya Waisraeli waandamana mkabala wa makazi ya Netanyahu wakitaka ajiuzulu

    Maelfu ya Waisraeli waandamana mkabala wa makazi ya Netanyahu wakitaka ajiuzulu

    Aug 02, 2020 03:30

    Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni jana usiku vilitangaza habari ya kuendelea maandamano ya maelfu ya wakazi wa ardhi zinazokaliwa kwa mabavu mkabala na makazi ya Waziri Mkuu wa utawala huo unaoikalia Quds Tukufu kwa mabavu.

  • Vijana wa Kipalestina wakabiliana na Wazayuni waliotaka kuvamia Msikiti wa al-Aqswa

    Vijana wa Kipalestina wakabiliana na Wazayuni waliotaka kuvamia Msikiti wa al-Aqswa

    Jul 30, 2020 03:02

    Vijana wa Kipalestina wamekabiliana na walowezi wa Kizayuni waliokuwa wakifanya juhudi za kuvamia na kuingia katika Msikiti wa al-Aqswa.

  • Israel yashindwa katika vita vya kisaikolojia katika kumbukumbu ya mwaka wa 14 wa vita vya siku 33

    Israel yashindwa katika vita vya kisaikolojia katika kumbukumbu ya mwaka wa 14 wa vita vya siku 33

    Jul 28, 2020 06:03

    Sambamba na kumbukumbu ya mwaka wa 14 wa Vita vya Siku 33, utawala wa Kizayuni unakabiliwa na changamoto kadhaa za ndani na hivyo umeanzisha vita vipya vya kisaikolojia dhidi ya Hizbullah. Pamoja na hayo, lakini taarifa ya Hizbullah imesambaratisha vita hivyo vya kisaikolojia.

  • Kupasisha Marekani msaada wa dola bilioni 38 kwa ajili ya utawala haramu wa Israel

    Kupasisha Marekani msaada wa dola bilioni 38 kwa ajili ya utawala haramu wa Israel

    Jul 27, 2020 22:00

    Jumapili ya tarehe 26 Julai, Kongresi ya Marekani ilipasisha msaada wa kifedha kwa utawala haramu wa Israel wa dola bilioni 38 katika kipindi cha miaka kumi.

  • Hamas yapinga misaada ya kifedha ya Marekani kwa utawala haramu wa Israel

    Hamas yapinga misaada ya kifedha ya Marekani kwa utawala haramu wa Israel

    Jul 27, 2020 08:34

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, (HAMAS) imepinga hatua ya Kongresi ya Marekani ya kupasisha bajeti ya msaada wa kifedha kwa ajili ya utawala wa Kizayuni wa Israel na kutangaza kuwa: Hatua hiyo inaimarisha mienendo ya kibabe na ukiukaji wa sheria za kimataifa.

  • Makundi ya Palestina yaonya kuhusu uhusiano wa baadhi ya nchi za Kiarabu na Israel

    Makundi ya Palestina yaonya kuhusu uhusiano wa baadhi ya nchi za Kiarabu na Israel

    Jul 26, 2020 21:00

    Makundi ya mapambano huko Palestina yameonya hatua ya baadhi ya mataifa ya Kiarabu ya kutaka kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS