Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Utawala wa Kizayuni wajiepusha kuingia tena vitani na wanamuqawama wa Palestina

    Utawala wa Kizayuni wajiepusha kuingia tena vitani na wanamuqawama wa Palestina

    Feb 18, 2020 10:18

    Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni amesema kuwa utawala huo umeamua kujiepusha na kujiingiza vitani kwa mara nyingine tena na wanamuqawama wa Palestina.

  • Wawakilishi 107 wa Kongresi ya Marekani wapinga mpango wa

    Wawakilishi 107 wa Kongresi ya Marekani wapinga mpango wa "Muamala wa Karne" wa Trump

    Feb 08, 2020 23:07

    Hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuzindua mpango kwa jina la 'Muamala wa Karne' tarehe 28 Januari mwaka huu ambao umewasilishwa eti kwa ajili ya kutatua mzozo wa muda mrefu kati ya Wapalestina na utawala wa Kizayuni, umepingwa vikali ndani na nje ya Marekani.

  • Barghuthi: Hatua za utawala wa Kizayuni hazitadhoofisha irada ya taifa la Palestina

    Barghuthi: Hatua za utawala wa Kizayuni hazitadhoofisha irada ya taifa la Palestina

    Feb 08, 2020 09:47

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Ubunifu wa Palestina amesema, hatua za utawala wa Kizayuni wa Israel haziwezi kudhoofisha irada ya taifa la Palestina.

  • Askari 15 wa Kizayuni wajeruhiwa vibaya wakati wakifanya majaribio ya silaha

    Askari 15 wa Kizayuni wajeruhiwa vibaya wakati wakifanya majaribio ya silaha

    Feb 03, 2020 23:09

    Vyombo vya habari vimeripoti kwamba kwa akali askari 15 wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wamejeruhiwa vibaya wakati wakifanya majaribio ya silaha.

  • Rais wa Palestina azitaka nchi za Kiislamu na Kiarabu kususia

    Rais wa Palestina azitaka nchi za Kiislamu na Kiarabu kususia "Muamala wa Karne" wa Trump

    Jan 28, 2020 02:58

    Rais wa Serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina amezitaka nchi za Kiislamu na Kiarabu kususia uzinduzi wa mpango wa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusiana na mgogoro wa Palestina uliopewa jina la "Muamala wa Karne".

  • Hamas: Hatutaruhusu Mpango wa ‘Muamala wa Karne” utekelezwe

    Hamas: Hatutaruhusu Mpango wa ‘Muamala wa Karne” utekelezwe

    Jan 25, 2020 23:22

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetangaza kuwa, katu haitaruhusu mpango uliojaa njama wa Marekani-Israel wa Muamala wa Karne utekelezwe na kufikia malengo yake machafu.

  • Rais Macron wa Ufaransa arushiana maneneo makali na polisi wa Israel mjini Quds

    Rais Macron wa Ufaransa arushiana maneneo makali na polisi wa Israel mjini Quds

    Jan 23, 2020 08:01

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ambaye yuko safarini katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu amerushuiana maneno makali na polisi wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika mji wa Quds (Jerusalem).

  • Kukosolewa njama za Marekani za kukatiwa bajeti Shirika la UNRWA

    Kukosolewa njama za Marekani za kukatiwa bajeti Shirika la UNRWA

    Jan 17, 2020 23:23

    Tangu Rais Donald Trump wa Marekani ashike hatamu za uongozi na kuingia katika ikulu ya nchi hiyo White House, alichukua mkondo wa kuuunga mkono kibubusa na bila masharti yoyote utawala haramu wa Israel na siasa za kuwa dhidi ya Wapalestina.

  • Utawala wa katili wa Kizayuni wawashambulia Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza

    Utawala wa katili wa Kizayuni wawashambulia Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza

    Jan 17, 2020 08:46

    Helikopta ya utawala wa Kizayuni wa Israel imevurumisha makombora ambayo yamelenga vituo vya makundi ya wapigania ukombozi (wanamuqawama) wa Palestina katika eneo la mashariki mwa Ukanda wa Ghaza.

  • Israel kuendelea kujenga vitongoji vya walowezi licha ya malalamiko ya walimwengu

    Israel kuendelea kujenga vitongoji vya walowezi licha ya malalamiko ya walimwengu

    Jan 16, 2020 04:27

    Utawala haramu wa Israel umetangaza kuwa, utaendelea na ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika maeneo ya Palestina unayoyakalia kwa mabavu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS