Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Hamas yakataa mapatano ya aina yoyote na utawala wa Kizayuni

    Hamas yakataa mapatano ya aina yoyote na utawala wa Kizayuni

    Dec 29, 2019 04:35

    Mwakilishi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas amepinga kufikiwa mapatatano yoyote kati ya harakati hiyo na utawala wa Kizayuni kwa ajili ya kutoa suhula mbalimbali huko Ghaza mkabala na Hamas kusitisha uvurumishaji wa makombora katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Israel yatishia kuwaua kigaidi viongozi wa Palestina

    Israel yatishia kuwaua kigaidi viongozi wa Palestina

    Dec 27, 2019 21:01

    Waziri wa Mambo ya Nje wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa mara nyingine ametishia kuwaua kigaidi viongozi wa Palestina.

  • Hamas: Utawala wa Kizayuni ndio utakaobeba dhima ya lolote litakalotokea + Video

    Hamas: Utawala wa Kizayuni ndio utakaobeba dhima ya lolote litakalotokea + Video

    Dec 26, 2019 08:23

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema kuwa, utawala wa Kizayuni ndio utakaobeba dhima ya lolote litakalotokea kutokana na mashambulizi yake ya mara kwa mara katika Ukanda wa Ghaza.

  • Uamuzi wa Mahakama ya ICC wa kufuatilia jinai za utawala wa Kizayuni

    Uamuzi wa Mahakama ya ICC wa kufuatilia jinai za utawala wa Kizayuni

    Dec 21, 2019 21:43

    Hatua zilizo dhidi ya ubinadamu na za ukiukaji sheria zinazochukuliwa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina zimekuwa zikilaaniwa mara kwa mara na taasisi za kutetea haki za binadamu na pia za kimataifa. Kutokana na kushtadi kwa hatua hizo za utendaji jinai, taasisi ya kimataifa yenye jukumu la kushughulikia jinai za kivita hivi sasa imepanga kuchunguza suala hilo.

  • Palestina yakaribisha uamuzi wa ICC wa kuchunguza jinai zilizofanywa na Israel Gaza na Ufukwe wa Magharibi

    Palestina yakaribisha uamuzi wa ICC wa kuchunguza jinai zilizofanywa na Israel Gaza na Ufukwe wa Magharibi

    Dec 21, 2019 04:30

    Serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina imekaribisha uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC wa kuchunguza jinai za kivita zilizofanywa na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina.

  • Palestina yataka walowezi wa Kizayuni watambuliwe rasmi kuwa ni magaidi

    Palestina yataka walowezi wa Kizayuni watambuliwe rasmi kuwa ni magaidi

    Dec 17, 2019 04:43

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina imetoa wito wa kuwekwa jina la walowezi wa Kizayuni katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina katika orodha ya magaidi.

  • Mousavi: Iran itatoa jibu la kujutisha kwa uchokozi wa aina yoyote ile

    Mousavi: Iran itatoa jibu la kujutisha kwa uchokozi wa aina yoyote ile

    Dec 09, 2019 08:54

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Iran itatoa jibu kali na la kujutisha kwa uchokozi wa aina yoyote au hatua yoyote ile ya kipumbavu itakayochukuliwa dhidi yake.

  • Azimio la Kongresi ya Marekani dhidi ya uvamizi wa utawala wa Kizayuni katika eneo la Ukingo wa Magharibi

    Azimio la Kongresi ya Marekani dhidi ya uvamizi wa utawala wa Kizayuni katika eneo la Ukingo wa Magharibi

    Dec 08, 2019 23:11

    Serikali ya rais Donald Trump imekuwa ikitekeleza hatua zisizo za kawaida katika uwanja wa kuunga mkono vitendo vilivyo kinyume cha sheria vya utawala haramu wa Israel dhidi ya taifa la Palestina.

  • Kushindwa kwa jitihada za Washington za kuanzisha uhusiano baina ya Morocco na Israel

    Kushindwa kwa jitihada za Washington za kuanzisha uhusiano baina ya Morocco na Israel

    Dec 07, 2019 04:12

    Tangu aliposhika madaraka ya nchi miaka kadhaa iliyopita Rais Donald Trump wa Marekani amechukua hatua ambazo hazijawahi kushuhudiwa za kuuhami na kuukingia kifua utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Zarif azikosoa nchi za Magharibi kwa kunyazia kimya maghala ya silaha za nyuklia ya Israel

    Zarif azikosoa nchi za Magharibi kwa kunyazia kimya maghala ya silaha za nyuklia ya Israel

    Dec 07, 2019 00:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amekemea majaribio ya kombora linaloweza kubeba kichwa cha nyuklia yaliyofanywa na utawala haramu wa Israel na amezikosoa vikali Marekani na nchi za Ulaya kutokana na kunyamaza kimya mbele ya maghala ya silaha za nyuklia za utawala huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS