-
Haniya: Muqawama wa Palestina umejiweka tayari kukabiliana na utawala wa Israel
Jan 29, 2016 22:10Naibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema vikosi vya wanamuqawama wa Palestina vimejiweka tayari kikamilifu kukabiliana na mashambulio yanayoweza kufanywa na wanajeshi wa utawala wa Kizayuni.
-
Radiamali ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa siasa za kupenda kujitanua za utawala haramu wa Israel
Jan 27, 2016 23:46Siku ya Jumanne tarehe 26 Januari, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa alikosoa vikali kuendelea ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi unaofanywa na utawala vamizi wa Israel katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Ali Akbar Velayati: Israel inafanya njama za kuzigawa nchi za Kiislamu
Jan 27, 2016 10:07Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya kimataifa amesema kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unafanya njama za kuzigawa nchi za Kiislamu, lakini licha ya njama hizo katu hautafanikiwa kufikia malengo yake.