-
Juhudi za Marekani za kuhalalisha jinai za Israel na kuendelea kuitumia silaha za mauaji ya umati
Nov 15, 2024 23:20Vedant Patel, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, ametoa matamshi ambayo yanaonyesha kuwa Marekani haiko tayari kwa vyo vyote vile kumuwajibisha mshirika wake wa jinai za kivita, yaani utawala haramu wa Israel, na kuwa inatosheka tu kwa kutoa madai matupu yasiyo na maana kuhusiana na suala zima la haki za binadamu.
-
HAMAS: Andamaneni na zidini kuzizingira balozi za utawala wa Kizayuni na wanaouunga mkono
Nov 14, 2024 03:44Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imetoa wito wa kuzidishwa harakati za umma katika ngazi ya kimataifa katika kulaani mwendelezo wa jinai za utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza na kuliunga mkono taifa la Muqawama la Palestina.
-
Maporomoko ya udongo yaua watu 16 magharibi ya Madagascar
Nov 14, 2024 03:35Watu wapatao 16 wamefariki dunia wakati mashua waliyokuwa wakisafiria kupitia mtoni magharibi mwa Madagascar kukumbwa na maporomoko ya udongo. Hayo yameelezwa na mamlaka husika za nchi hiyo jana Jumatano.
-
Gazeti maarufu la Guardian lajiondoa kwenye X kulalamikia hisia hasi na mielekeo ya ubaguzi
Nov 14, 2024 02:28Gazeti la The Guardian linalochapishwa nchini Uingereza limetangaza kuwa litaacha kuweka maandiko yake kwenye X, mtandao wa kijamii uliokuwa ukijulikana kama Twitter.
-
Kwa mara ya kwanza Hizbullah yakishambulia kituo kikubwa cha jeshi la anga la Israel
Nov 13, 2024 08:32Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah, kwa mara ya kwanza, imeshambulia kwa makombora kambi kubwa ya jeshi la anga la utawala wa Kizayuni wa Israel, ikiwa ni sehemu ya ulipizaji kisasi dhidi ya ukatili unaofanywa na utawala huo ghasibu.
-
Jeshi la Israel laua Wapalestina 14 Ghaza baada ya kuua Walebanon 14 pia Bekaa
Nov 12, 2024 04:21Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limeendelea kufanya jinai za mauaji ya kinyama katika Ukanda wa Ghaza kwa kuwaua shahidi Wapalestina 14 asubuhi ya leo waliokuwa wamepata hifadhi katika linalodaiwa na utawala huo kuwa ni "eneo salama" huko al-Mawasi.
-
Kupasishwa vikwazo dhidi ya utawala wa Kizayuni katika Bunge la Ireland
Nov 09, 2024 22:41Wabunge wa Ireland wamepasisha muswada ambao unauarifisha utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa ni utawala mtenda jinai unaofanya mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza mbele ya macho ya walimwengu.
-
Wapalestina 162 wameuawa shahidi na kujeruhiwa katika mashambulizi ya Israel huko Gaza
Nov 09, 2024 03:41Wizara ya Afya ya Palestina imetangaza kuwa watu 39 wameuawa shahidi na 123 wamejeruhiwa katika mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza katika muda wa saa 24 zilizopita.
-
Ripoti yadai: Qatar imewaeleza viongozi wa Hamas kuwa hawatakiwi kuwepo tena nchini humo
Nov 09, 2024 03:23Mtandao wa habari wa lugha ya Kiebrania wa Kan umedai kuwa Qatar imewaambia viongozi wa kisiasa wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS kwamba "hawatakiwi tena" katika nchi hiyo ya Ghuba ya Uajemi.
-
Muqawama wa Palestina: Republican au Democratic; Serikali zote za Marekani zinaiunga mkono Israel
Nov 08, 2024 04:02Kamati ya makundi ya mapambano na Muqawama ya Palestina imetoa taarifa kuhusu ushindi wa Donald Trump katika uchaguzi wa rais wa Marekani na kutangaza kuwa, hakuna tofauti baina ya Warepublican na Wademokrat; Kwa sababu serikali zote za Marekani zimekuwa waungaji mkono wa utawala wa Kizayuni wa Israel na washirika wake katika mauaji dhidi ya taifa la Palestina.