Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Qaani: Kikosi cha Quds cha IRGC kitakuwa pamoja na Hizbullah hadi kuangamizwa Uzayuni

    Qaani: Kikosi cha Quds cha IRGC kitakuwa pamoja na Hizbullah hadi kuangamizwa Uzayuni

    Nov 01, 2024 03:41

    Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran amempongeza Sheikh Naim Qassim kwa kuchaguliwa kuwa Katibu Mkuu mpya wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon na kusema: Kikosi cha Quds kitakuwa pamoja na Hizbullah hadi utakapotokomezwa mti habithi wa Uzayuni na kukombolewa Palestina na Quds Tukufu.

  • Katibu Mkuu wa UN: Dunia ichukue msimamo madhubuti dhidi ya mauaji ya kimbari huko Gaza

    Katibu Mkuu wa UN: Dunia ichukue msimamo madhubuti dhidi ya mauaji ya kimbari huko Gaza

    Oct 31, 2024 23:12

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kuwepo msimamo mkali wa kimataifa dhidi ya mauaji ya kimbari yanayofanywa na Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.

  • Biden ataja sharti la kuiruhusu Ukraine kuwashambulia wanajeshi wa Korea Kaskazini

    Biden ataja sharti la kuiruhusu Ukraine kuwashambulia wanajeshi wa Korea Kaskazini

    Oct 30, 2024 23:04

    Rais Joe Biden wa Marekani amesema, vikosi vya Ukraine vinapaswa kuwashambulia wanajeshi wa Korea Kaskazini ikiwa watavuka mpaka na kuingia kwenye ardhi ya Ukraine.

  • Iran: Tunao uwezo wa kuishambulia Israel kwa 'darzeni' za operesheni sawa na

    Iran: Tunao uwezo wa kuishambulia Israel kwa 'darzeni' za operesheni sawa na "Ahadi ya Kweli"

    Oct 30, 2024 10:04

    Waziri wa Ulinzi Brigedia Jenerali Aziz Nasirzadeh amesema Iran inao uwezo wa kuteketeza 'darzeni' za operesheni za kulipiza kisasi sawa na "Operesheni ya Ahadi ya Kweli" iliyotekeleza mwezi Aprili kulenga maeneo ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika ardhi ya Palestina unayoikalia kwa mabavu.

  • Mashambulio na mauaji ya kinyama ya Israel yaigeuza Bait Lahia, Ghaza eneo la 'maafa yasiyoelezeka'

    Mashambulio na mauaji ya kinyama ya Israel yaigeuza Bait Lahia, Ghaza eneo la 'maafa yasiyoelezeka'

    Oct 30, 2024 10:01

    Mamlaka za Palestina katika eneo la Beit Lahia kaskazini mwa Ukanda wa Ghaza leo zimeutangaza mji huo kuwa "eneo la maafa" wakati jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel linaendelea na mashambulizi yake ya kinyama na mauaji ya kimbari katika eneo hilo la Palestina.

  • Israel inatafuta mwafaka wa kuachiwa mateka wachache na kusitishwa vita Ghaza kwa mwezi mmoja

    Israel inatafuta mwafaka wa kuachiwa mateka wachache na kusitishwa vita Ghaza kwa mwezi mmoja

    Oct 30, 2024 09:26

    Vyombo vya habari vya Kiebrania vimetangaza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unataka kufikia makubaliano na harakati ya Hamas yatakayowezesha kuachiliwa idadi ndogo ya mateka wanaoshikiliwa katika Ukanda wa Ghaza mkabala na kusitishwa mapigano kwa muda wa mwezi mmoja.

  • Iran yalaani mauaji ya kinyama ya Israel Beit Lahiya

    Iran yalaani mauaji ya kinyama ya Israel Beit Lahiya

    Oct 30, 2024 00:01

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali jinai na hujuma ya umwagaji damu huko Bait Lahiya iliyofanywa na utawala haramu wa Israel.

  • Kuongezeka hitilafu na nyufa ndani ya utawala wa Kizayuni kufuatia kuendelea vita vya Gaza

    Kuongezeka hitilafu na nyufa ndani ya utawala wa Kizayuni kufuatia kuendelea vita vya Gaza

    Oct 28, 2024 22:50

    Kuendelea vita vya Gaza, kumezidisha malalamiko na hitilafu huko Tel Aviv kadiri kwamba sasa viongozi wa Kizayuni wanatuhumiana wao kwa wao kwa kusema uwongo.

  • Rais Pezeshkian: Iran itatoa jibu linalostahiki kwa uchokozi wa Israel dhidi yake

    Rais Pezeshkian: Iran itatoa jibu linalostahiki kwa uchokozi wa Israel dhidi yake

    Oct 28, 2024 03:25

    Rais Masoud Pezeshkian amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haipendi vita lakini iko imara katika kujihami na kulinda usalama wa wananchi wake na itatoa jibu linalostahiki kwa uchokozi wa utawala wa Kizayuni dhidi yake.

  • Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu: Utawala wa Kizayuni umefanya makosa ya kimahesabu

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu: Utawala wa Kizayuni umefanya makosa ya kimahesabu

    Oct 27, 2024 08:50

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: Wakuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamefanya mahesabu potofu kuhusu Jamhuri ya Kiislamu kwa sababu hawawafahamu vijana na wananchi wa Iran na bado hawajaweza kuelewa ipasavyo nguvu, uwezo, uvumbuzi na irada ya taifa hili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS