Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • CNN: Jeshi la Israel linawatumia raia kama ngao za binadamu

    CNN: Jeshi la Israel linawatumia raia kama ngao za binadamu

    Oct 27, 2024 04:24

    Televisheni ya CNN ya Marekani imesema katika mahojiano na wanajeshi wa utawala wa Kizayuni na raia kadhaa wa Palestina na kufichua kuhusu kutumiwa kwa makusudi raia wa Kipalestina kama ngao ya binadamu.

  • Uongo wa Wazayuni kuhusu takwimu na matokeo ya vita

    Uongo wa Wazayuni kuhusu takwimu na matokeo ya vita

    Oct 26, 2024 22:52

    Viongozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel, kwa makusudi na kufuatia kushindwa kukabiliana na oparesheni za kishujaa za makundi ya Muqawama, unaficha ukweli wa mambo kuhusu vita vya Gaza.

  • Rais Pezeshkian: BRICS, mfano wa mafanikio wa ushirikiano na kuondokana na hatua za upande mmoja

    Rais Pezeshkian: BRICS, mfano wa mafanikio wa ushirikiano na kuondokana na hatua za upande mmoja

    Oct 24, 2024 23:11

    Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, jumuiya ya BRICS ikiwa na malengo yake makubwa imeweza kuwa kielelezo cha mafanikio cha ushirikiano kati ya nchi katika uga wa kimataifa.

  • Wanajeshi 70 wa Israel waangamizwa katika shambulio la ardhini Lebanon

    Wanajeshi 70 wa Israel waangamizwa katika shambulio la ardhini Lebanon

    Oct 24, 2024 23:10

    Zaidi ya wanajeshi 70 wa Israel wameangamizwa na askari na maafisa zaidi ya 600 wamejeruhiwa katika shambulio la ardhini la jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel huko Lebanon.

  • Mashambulizi ya jeshi la Kizayuni dhidi ya Syria

    Mashambulizi ya jeshi la Kizayuni dhidi ya Syria

    Oct 24, 2024 03:18

    Ndege za kijeshi za utawala wa Kizayuni zimeshambulia kwa mabomu miji ya Damascus na Homs.

  • Jeshi la Kizayuni kutokuwa na uwezo wa kuendelea na vita vya Ukanda wa  Gaza

    Jeshi la Kizayuni kutokuwa na uwezo wa kuendelea na vita vya Ukanda wa Gaza

    Oct 24, 2024 00:53

    Kuendelea vita vya Ukanda wa Gaza, kumeanika wazi zaidi udhaifu wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika medani ya vita.

  • 'Fimbo ya Sinwar' yazaa msemo mpya wa Kiarabu kwa ushujaa wa kiongozi huyo wa Palestina

    'Fimbo ya Sinwar' yazaa msemo mpya wa Kiarabu kwa ushujaa wa kiongozi huyo wa Palestina

    Oct 23, 2024 23:11

    Kitendo cha mwisho cha upinzani alichoonyesha kiongozi wa Hamas Shahidi Yahya Sinwar, kilichonaswa na kamera ya ndege isiyo na rubani ya jeshi la utawala wa Kizayuni na kurushwa hewani duniani kote, kimeibua msemo mpya wa lugha ya Kiarabu wenye maana ya 'ukinzani' na kuashiria moyo usiotetereka wa Wapalestina wa kupambana hadi pumzi ya mwisho.

  • Hizbullah yavipiga makombora viwanja vya ndege vya Ben Gurion na Ramat David, Tel Aviv

    Hizbullah yavipiga makombora viwanja vya ndege vya Ben Gurion na Ramat David, Tel Aviv

    Oct 23, 2024 09:27

    Wapiganaji wa Hizbullah ya Lebanon wameshambulia kwa makombora kadhaa viwanja vya ndege vya Ben Gurion na Ramat David katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na Wazayuni yaliyopachikwa jina bandia la Israel.

  • Takwa la Amnesty International la kuwekewa vikwazo vya silaha Israel

    Takwa la Amnesty International la kuwekewa vikwazo vya silaha Israel

    Oct 22, 2024 22:52

    Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limezitaka nchi za Ulaya kuuwekea vikwazo vya silaha utawala haramu wa Israel.

  • Makumi ya Wapalestina wauawa shahidi  katika shambulio la kikatili la utawala wa Kizayuni kwenye kambi ya Jabalia

    Makumi ya Wapalestina wauawa shahidi katika shambulio la kikatili la utawala wa Kizayuni kwenye kambi ya Jabalia

    Oct 22, 2024 04:36

    Jeshi la Kizayuni limeshambulia kwa makombora raia wanaoishi katika kambi ya Jabalia na kulenga nyumba moja kaskazini mwa Gaza na kuwaua Wapalestina 26, baadhi yao wakiwa ni watoto.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS