-
CNN: Jeshi la Israel linawatumia raia kama ngao za binadamu
Oct 27, 2024 04:24Televisheni ya CNN ya Marekani imesema katika mahojiano na wanajeshi wa utawala wa Kizayuni na raia kadhaa wa Palestina na kufichua kuhusu kutumiwa kwa makusudi raia wa Kipalestina kama ngao ya binadamu.
-
Uongo wa Wazayuni kuhusu takwimu na matokeo ya vita
Oct 26, 2024 22:52Viongozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel, kwa makusudi na kufuatia kushindwa kukabiliana na oparesheni za kishujaa za makundi ya Muqawama, unaficha ukweli wa mambo kuhusu vita vya Gaza.
-
Rais Pezeshkian: BRICS, mfano wa mafanikio wa ushirikiano na kuondokana na hatua za upande mmoja
Oct 24, 2024 23:11Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, jumuiya ya BRICS ikiwa na malengo yake makubwa imeweza kuwa kielelezo cha mafanikio cha ushirikiano kati ya nchi katika uga wa kimataifa.
-
Wanajeshi 70 wa Israel waangamizwa katika shambulio la ardhini Lebanon
Oct 24, 2024 23:10Zaidi ya wanajeshi 70 wa Israel wameangamizwa na askari na maafisa zaidi ya 600 wamejeruhiwa katika shambulio la ardhini la jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel huko Lebanon.
-
Mashambulizi ya jeshi la Kizayuni dhidi ya Syria
Oct 24, 2024 03:18Ndege za kijeshi za utawala wa Kizayuni zimeshambulia kwa mabomu miji ya Damascus na Homs.
-
Jeshi la Kizayuni kutokuwa na uwezo wa kuendelea na vita vya Ukanda wa Gaza
Oct 24, 2024 00:53Kuendelea vita vya Ukanda wa Gaza, kumeanika wazi zaidi udhaifu wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika medani ya vita.
-
'Fimbo ya Sinwar' yazaa msemo mpya wa Kiarabu kwa ushujaa wa kiongozi huyo wa Palestina
Oct 23, 2024 23:11Kitendo cha mwisho cha upinzani alichoonyesha kiongozi wa Hamas Shahidi Yahya Sinwar, kilichonaswa na kamera ya ndege isiyo na rubani ya jeshi la utawala wa Kizayuni na kurushwa hewani duniani kote, kimeibua msemo mpya wa lugha ya Kiarabu wenye maana ya 'ukinzani' na kuashiria moyo usiotetereka wa Wapalestina wa kupambana hadi pumzi ya mwisho.
-
Hizbullah yavipiga makombora viwanja vya ndege vya Ben Gurion na Ramat David, Tel Aviv
Oct 23, 2024 09:27Wapiganaji wa Hizbullah ya Lebanon wameshambulia kwa makombora kadhaa viwanja vya ndege vya Ben Gurion na Ramat David katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na Wazayuni yaliyopachikwa jina bandia la Israel.
-
Takwa la Amnesty International la kuwekewa vikwazo vya silaha Israel
Oct 22, 2024 22:52Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limezitaka nchi za Ulaya kuuwekea vikwazo vya silaha utawala haramu wa Israel.
-
Makumi ya Wapalestina wauawa shahidi katika shambulio la kikatili la utawala wa Kizayuni kwenye kambi ya Jabalia
Oct 22, 2024 04:36Jeshi la Kizayuni limeshambulia kwa makombora raia wanaoishi katika kambi ya Jabalia na kulenga nyumba moja kaskazini mwa Gaza na kuwaua Wapalestina 26, baadhi yao wakiwa ni watoto.