Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Damascus: Shambulio dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa linaonyesha sura ya apartheid ya utawala wa Israel

    Damascus: Shambulio dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa linaonyesha sura ya apartheid ya utawala wa Israel

    Apr 13, 2023 04:39

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imetangaza kuwa mashambulizi ya mara kwa mara ya walowezi wa Kizayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa ni matokeo ya ubaguzi wa rangi na tabia ya kigaidi ya utawala huo.

  • "Ramani ya mfumo mpya wa ulimwengu"; Rai ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu kusambaratika utawala wa Kizayuni

    Apr 12, 2023 10:18

    Akizungumzia migogoro ya ndani ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika kikao cha sikukuu ya Nowruz cha maafisa wa Jamahuri ya Kiislamu, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei alisema: "Tulisema kwamba utawala wa Kizayuni hautaona miaka 25 mingine, wao wenyewe wana haraka na wanataka kuondoka mapema na wanaendelea kusema kwamba kusambaratika kwa Israel kumekaribia na hatutafikisha umri wa miaka 80."

  • Kanani Chafi: Nchi za Kiislamu zizuie kupotoshwa fikra za waliowengi kuhusu kadhia ya Palestina

    Kanani Chafi: Nchi za Kiislamu zizuie kupotoshwa fikra za waliowengi kuhusu kadhia ya Palestina

    Apr 10, 2023 08:09

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa nchi za Kiislamu zina wajibu wa kuuzuia utawala wa Kizayuni kutumia anga za kisiasa katika eneo kwa ajili ya kupotosha fikra za waliowengi kuhusu suala la Palestina.

  • Qatar: Israel inabeba dhima ya kuenea vitendo vya utumiaji mabavu katika msikiti wa al-Aqswa

    Qatar: Israel inabeba dhima ya kuenea vitendo vya utumiaji mabavu katika msikiti wa al-Aqswa

    Apr 08, 2023 04:28

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Qatar imetangaza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unabeba dhima ya kuenea vitendo vya utumiaji mabavu katika msikiti wa al-Aqswa kutokana na hatua za kichochezi za utawala huo vamizi

  • Raisi asisitizia mitazamo ya pamoja ya nchi za Kiislamu kukabiliana na jinai za utawala ghasibu wa Israel

    Raisi asisitizia mitazamo ya pamoja ya nchi za Kiislamu kukabiliana na jinai za utawala ghasibu wa Israel

    Apr 08, 2023 00:21

    Rais Ibrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa mwito wa kuweko mitazamo zaidi ya pamoja baina ya mataifa ya Kiislamu kwa ajili ya kukabiliana na jinai za hivi karibuni za utawala wa Kizayuni wa Israel huko Palestina.

  • Mufti wa Oman asisitiza udharura wa kuungwa mkono Wapalestina ili kuzuia hujuma za Wazayuni

    Mufti wa Oman asisitiza udharura wa kuungwa mkono Wapalestina ili kuzuia hujuma za Wazayuni

    Apr 06, 2023 22:51

    Mufti wa Oman ametoa amepinga vikali hujuma zinazoendelea kufanywa na Wazayuni dhidi ya raia wa Palestina katika Msikiti Mtukufu wa al Aqsa na ametaoa wito wa kuungwa mkono Palestina.

  • Palestina: Hatutakubali msikiti wa Al-Aqsa ugawanywe kimatumizi kwa wakati na eneo

    Palestina: Hatutakubali msikiti wa Al-Aqsa ugawanywe kimatumizi kwa wakati na eneo

    Apr 06, 2023 03:55

    Mwakilishi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa amesema: Hatutakubali msikiti wa Al-Aqsa ugawanywe kimatumizi kwa sura ya muda maalumu wa utumiaji na sehemu maalumu ya kutumia jambo ambalo wavamizi na walowezi wa Kizayuni wanapigania kulilazimisha liwe.

  • Kulalamikia Chama cha Tahreek-e-Insaf uhusiano wa kibiashara wa Pakistan na utawala haramu wa Israel

    Kulalamikia Chama cha Tahreek-e-Insaf uhusiano wa kibiashara wa Pakistan na utawala haramu wa Israel

    Apr 03, 2023 22:40

    Chama cha Tahreek-e-Insaf cha Pakistan kimelalamikia kuweko uhusiano wa biashara ya bidhaa za chakula baina ya nchi hiyo na utawala haramu wa Israel na kimeitaka Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya nchi hiyo kutoa maelezo kuhusiana na suala hilo.

  • Ombi la watu wa Morocco la kufutwa uhusiano wa nchi yao na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Ombi la watu wa Morocco la kufutwa uhusiano wa nchi yao na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Apr 02, 2023 23:53

    Kwa mnasaba wa Machi 30, Siku ya Ardhi ya Palestina, idadi kubwa ya raia wa Morocco walijumuika katika mji mkuu, Rabat na kushiriki katika maandamano ya kupinga utawala wa Kizayuni wa Israel, ambapo kwa mara nyingine wametaka kufutwa kwa mapatano ya kuanzishwa uhusiano wa kawaida kati ya serikali yao na utawala huo dhalimu.

  • IRGC yasisitiza: Jinai ulizofanya utawala wa Kizayuni katu hazitaachwa bila kujibiwa

    IRGC yasisitiza: Jinai ulizofanya utawala wa Kizayuni katu hazitaachwa bila kujibiwa

    Apr 02, 2023 07:22

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesisitiza kuwa: bila ya shaka yoyote jinai za utawala bandia na mtenda jinai wa Kizayuni hazitaachwa bila kujibiwa; na utawala huo haramu utalipa gharama za jinai zake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS