Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Uturuki yaafiki Sweden na Finland zijiunge na NATO na uwezekano wa vita vya dunia

    Uturuki yaafiki Sweden na Finland zijiunge na NATO na uwezekano wa vita vya dunia

    Jul 01, 2022 01:02

    Hatimaye, baada ya mazungumzo mengi, kumetiwa saini mapatano ya pande tatu baina ya Ankara, Stockholm na Helsinki kuhusu Finland na Sweden kujiounga na NATO. Katibu Mkuu wa NATO Jens Stoltenberg amethiitisha kuwa Uturuki imeafiki Sweden na Norway zijiunge na NATO.

  • Iran: Utawala wa Kizayuni ndio adui namba moja wa umma wa Kiislamu

    Iran: Utawala wa Kizayuni ndio adui namba moja wa umma wa Kiislamu

    Jun 28, 2022 03:16

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema utawala wa Kizayuni ndio adui nambari moja wa ulimwengu wa Kiislamu.

  • Safari ya Uturuki; Urafiki wa kimbinu kati ya Erdogan na Bin Salman

    Safari ya Uturuki; Urafiki wa kimbinu kati ya Erdogan na Bin Salman

    Jun 25, 2022 03:04

    Mwanamfalme wa Saudi Arabia, Muhammad bin Salman amefanya safari mjini Ankara na kukaribishwa rasmi na Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan.

  • Khatibzadeh: Uturuki isiyanyamazie madai ya kufarakanisha ya Wazayuni

    Khatibzadeh: Uturuki isiyanyamazie madai ya kufarakanisha ya Wazayuni

    Jun 24, 2022 08:07

    Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Iran amesema, inatarajiwa kuwa Uturuki haitanyamazia kimya madai ya kufarakanisha yaliyotolewa na wazayuni.

  • Uturuki kushirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel katika masuala ya usalama

    Uturuki kushirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel katika masuala ya usalama

    Jun 24, 2022 07:47

    Waziri wa mambo ya nje wa Uturuki Mevlut Cavusoglu amesema, baada ya kuongeza kiwango cha uwakilishi wa kidiplomasia, nchi yake itaanzisha ushirikiano wa kiusalama na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Malengo tofauti ya safari ya kieneo ya Bin Salman

    Malengo tofauti ya safari ya kieneo ya Bin Salman

    Jun 22, 2022 09:45

    Muhammad bin Salman mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia ameanza safari yake ya kieneo kwa kufanya ziara huko Misri na kuzitembelea pia nchi mbili za Jordan na Uturuki.

  • Faisal al-Miqdad: Erdoğan anataka kusambaza magaidi kaskazini ya Syria

    Faisal al-Miqdad: Erdoğan anataka kusambaza magaidi kaskazini ya Syria

    Jun 17, 2022 03:43

    Waziri wa mambo ya nje wa Syria amesema, lengo la rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki la kuanzisha ukanda wa usalama kaskazini ya Syria ni kuweka magaidi katika eneo hilo.

  • Jihadul-Islamu ya Palestina yalaani vikali safari ya waziri wa mambo ya nje wa Uturuki Israel

    Jihadul-Islamu ya Palestina yalaani vikali safari ya waziri wa mambo ya nje wa Uturuki Israel

    May 27, 2022 02:33

    Harakati ya Jihadul-Islami ya Palestina imelaani vikali safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) na kukutana na viongozi wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.

  • Uturuki yazidi kustawisha uhusiano na Israel, waziri wake wa mambo ya nje awasili Tel Aviv

    Uturuki yazidi kustawisha uhusiano na Israel, waziri wake wa mambo ya nje awasili Tel Aviv

    May 25, 2022 10:53

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Mevlut Cavusoglu amewasili uwanja wa ndege wa Ben Gurion mjini Tel Aviv katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel).

  • Uturuki yaendeleza kampeni ya kutia nguvuni wahajiri

    Uturuki yaendeleza kampeni ya kutia nguvuni wahajiri

    May 09, 2022 02:21

    Serikali ya Uturuki imewatia nguvuni wahajiri wengine 232 katika mji wa Istanbul ukiwa ni mwendelezo wa kampeni ya kamatakamata dhidi ya wahamiaji.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS