-
Vitisho vya Marekani vya kuwawekea vikwazo waitifaki wake iwapo watanunua silaha za Russia
Oct 04, 2019 05:33Mwenendo wa Marekani wa kuchukua hatua za upande mmoja na nchi hiyo kupanua ubeberu wake katika kipindi cha Rais Donald Trump, umeshika kasi zaidi na sasa umechukua sura mpya.
-
Radiamali ya Uturuki dhidi ya matamshi ya Netanyahu kuhusiana na Palestina
Sep 17, 2019 06:02Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Uturuki amesema kuwa, matamshi ya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel kuhusiana na kutaka kuliunganisha eneo la Ukingo wa Magharibi na ardhi nyingine zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo ni ya kijeuri na kifidhuli.
-
Syria yalaani doria ya Marekani na Uturuki katika ardhi yake, yasema ni uvamizi
Sep 08, 2019 20:02Serikali ya Syria imelaani hatua ya majeshi ya Marekani na Uturuki ya kupiga doria ya pamoja katika eneo liliilopewa jina la "ukanda wa amani" huko mashariki mwa Furati kaskazini mwa Syria na kusema ni ukiukaji wa sheria za kimataifa na mamlaka ya kujitawa ya Syriia.
-
Hasara ya yuro bilioni tatu itakayopata Uturuki kutokana na Uingereza kutekeleza Brexit bila kufikia mwafaka na EU
Sep 05, 2019 07:22Waziri wa Biashara wa Uturuki ametangaza kuwa, nchi yake itapata hasara ya zaidi ya dola bilioni tatu katika biashara zake na Uingereza endapo London itaamua kujitoa kwenye Umoja wa Ulaya bila kufikia mwafaka na umoja huo.
-
Sisitizo la Rais Erdogan wa Uturuki la kununua ndege za kivita za Russia
Sep 01, 2019 23:35Kufuatia hatua ya Uturuki ya kununua mfumo wa makombora wa S-400 kutoka Russia, wakuu wa nchi hiyo sasa wameazimia kununa ndege za kisasa za kivita za Russia za Sukhoi-35 na Sukhoi-57.
-
Jeshi la Syria laingia Khan Sheikhoun, katika awamu muhimu ya ukombozi wa Idlib
Aug 20, 2019 02:26Jeshi la Syria usiku wa kiamkia tarehe 18 Agosti liliingia katika eneo la Khan Sheikhoun huko kusini mwa mkoa wa Idlib.
-
Syria yapinga makubaliano ya Marekani na Uturuki kuhusu eneo la kaskazini mwa nchi hiyo
Aug 08, 2019 07:29Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imetoa taarifa maalumu na kusisitiza kuwa, inapinga makubaliano yaliyofikiwa baina ya Marekani na Uturuki ya kutenga eneo ati litakaloitwa 'eneo la usalama' kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Wanamgambo wa Haftar watungua droni ya Uturuki huko Libya
Jul 21, 2019 22:03Duru zenye mfungamano na wanamgambo wanaojiita jeshi la kitaifa la Libya wanaoongozwa na kamanda Khalifa Haftar zimeripoti kuwa wanamgambo hao wametungua droni ya Uturuki katika anga ya mji mkuu wa Libya, Tripoli.
-
Trump: Kwa sasa hatuna mapango wa kuiwekea vikwazo Uturuki
Jul 19, 2019 22:01Rais Donald Trump wa Marekani amesema kuwa, kwa sasa serikkali ya Washington haina mpango wa kuiwekea vikwazo Uturuki.
-
Hatua ya Marekani ya kuvunja rasmi mkataba wake na Uturuki
Jul 19, 2019 01:50Hatua ya Uturuki ya kununua mfumo wa ulinzi wa anga wa S-400 kutoka kwa Russia imezusha mgogoro mkubwa katika uhusiano wake na Marekani hasa kwa kuzingatia kuwa kabla ya hapo pia Ankara na Washington zilikuwa tayari zina mzozo baina yao.