Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Uturuki: Uamuzi wa Marekani unakinzana na moyo wa umoja na ushirikiano

    Uturuki: Uamuzi wa Marekani unakinzana na moyo wa umoja na ushirikiano

    Jul 18, 2019 08:44

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki ametoa radiamali kuhusiana na uamuzi wa Marekani wa kuiondoa serikali ya Ankara kwenye mpango wa kununua ndege za kivita za F 35 na kusema kuwa, uamuzi huo wa Washington unakinzana na moyo wa umoja na ushirikiano baina yao.

  • Kauli hasi ya Trump kwa sababu ya kupatiwa Uturuki vifaa vya mfumo wa makombora wa S-400 wa Russia

    Kauli hasi ya Trump kwa sababu ya kupatiwa Uturuki vifaa vya mfumo wa makombora wa S-400 wa Russia

    Jul 17, 2019 21:50

    Uamuzi wa Uturuki wa kununua mfumo wa kisasa wa makombora ya ulinzi wa anga wa S-400 kutoka Russia umezusha mikwaruzano mikubwa ambayo haijawahi kushuhudiwa katika uhusiano wa Uturuki na Marekani.

  • Maelfu waandamana Uturuki kuilaani Marekani, Israel

    Maelfu waandamana Uturuki kuilaani Marekani, Israel

    Jul 16, 2019 22:50

    Maelfu wa wananchi wa mji wa Adana wa kusini mwa Uturuki wamefanya maandamano ya kuilaani Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Uturuki kuendelea na mpango wa kuchimba mafuta na gesi Bahari ya Mediterania licha ya upinzani wa EU

    Uturuki kuendelea na mpango wa kuchimba mafuta na gesi Bahari ya Mediterania licha ya upinzani wa EU

    Jul 16, 2019 22:03

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Uturuki imesisitiza kuwa, nchi hiyo itaendelea na mpango wake wa kutafuta mafuta na gesi mashariki ya bahari ya Mediterania licha ya agizo la Umoja wa Ulaya kuitaka isimamishe mpango huo.

  • Uturuki: Mfumo wa makombora wa S-400 si chaguo, ni hitajio la lazima kwa usalama wetu

    Uturuki: Mfumo wa makombora wa S-400 si chaguo, ni hitajio la lazima kwa usalama wetu

    Jul 14, 2019 08:52

    Waziri wa Ulinzi wa Uturuki Hulusi Akar ameiambia Marekani kuwa uamuzi wa nchi yake wa kununua mfumo wa ulinzi wa makombora wa S-400 kutoka Russia hautokani na chaguo la ufadhilishaji, bali ni hitajio la lazima kwa usalama wa nchi hiyo kwa sababu inakabiliwa na tishio kubwa.

  • Mwanasiasa nchini Misri: Nchi za Kiarabu zifanye mazungumzo na Iran na Uturuki

    Mwanasiasa nchini Misri: Nchi za Kiarabu zifanye mazungumzo na Iran na Uturuki

    Jul 13, 2019 02:43

    Mwanadiplomasia na mgombea wa zamani wa uchaguzi wa rais nchini Misri, Abdullah al-Ashaal amezitaka nchi za Kiarabu zifanye mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki.

  • Uturuki yaanza kupokea mfumo wa makombora wa S-400 kutoka Russia

    Uturuki yaanza kupokea mfumo wa makombora wa S-400 kutoka Russia

    Jul 12, 2019 20:38

    Uturuki imepokea shehena ya kwanza ya mfumo wa makombora wa S-400 kutoka Russia licha ya makelele na vitisho vya Marekani.

  • Duru mpya ya mazungumzo ya Astana kuhusu Syria kuanza tena

    Duru mpya ya mazungumzo ya Astana kuhusu Syria kuanza tena

    Jul 11, 2019 21:55

    Duru mpya ya mazungumzo ya Astana kuhusu mgogoro wa Syria inatazamiwa kuanza mapema mwezi ujao wa Agosti huko Nur-Sultan mji mkuu wa Kazakhstan.

  • Mbunge wa Uturuki aionya Marekani juu ya kuishambulia kijeshi Iran

    Mbunge wa Uturuki aionya Marekani juu ya kuishambulia kijeshi Iran

    Jun 28, 2019 23:36

    Öztürk Yılmaz, mbunge wa Uturuki, ameionya Marekani juu ya kuchukua hatua yoyote ya kijeshi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayoweza kuibua mapigano katika eneo.

  • Erdogan asisitiza tena juu ya ulazima wa kuanzishwa eneo salama huko Syria

    Erdogan asisitiza tena juu ya ulazima wa kuanzishwa eneo salama huko Syria

    Jun 26, 2019 21:51

    Rais Recep Tayyep Erdogan wa Uturuki kwa mara nyingine tena amesisitiza juu ya udharura wa kuanzishwa eneo salama kaskazini mashariki mwa Syria na karibu na mpaka wa Uturuki kwa lengo la kuwarejesha nchini kwao wakimbizi wa Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS