-
Udiplomasiia amilifu wa Iran na Uturuki
Jun 20, 2019 03:58Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki, Mevlüt Çavuşoğlu leo Alkhamisi amekutana na kufanya mazungumzo na mwenyeji wake wa Iran, muhammad javad Zarif katika mji wa Isfahan ambako pande hizo mbili zimejadili masuala ya pande mbili na kikanda.
-
Radiamali za Hamas, Amnesty na Uturuki kwa kifo cha aliyekuwa rais wa Misri
Jun 18, 2019 08:12Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetoa mwito wa kufanyika uchunguzi huru wa kifo cha kutatanisha cha aliyekuwa rais wa Misri, Mohammad Morsi.
-
Marais wa Iran na Uturuki wakosoa sera za vikwazo na mashinikizo
Jun 16, 2019 03:14Rais Hassan Rouhani amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki zinapinga vikali sera za vikwazo, mashinikizo na uchukuaji maamuzi ya upande mmoja kwenye uhusiano wa kimataifa.
-
Mchezaji wa Arsenal, Mesut Ozil awafariji maelfu ya maskini, wakimbizi wa Syria katika harusi yake
Jun 08, 2019 07:37Mchezaji nyota wa klabu ya Arsenal mwenye asili ya Uturuki siku ya Ijumaa alifunga ndoa na barafu wake wa moyo mwenye uraia pacha wa Uturuki na Sweden, Amina Gulche.
-
Rais Erdoğan: Licha ya mashinikizo ya Marekani, tutanunua ngao ya S 400
Jun 05, 2019 00:11Kwa mara nyingine Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amesema kuwa, licha ya mashinikizo ya Marekani yanayoitaka inchi yake kuachana na mpango wa kununua ngao ya makombora ya S 400 ya Russia, Ankara haitoachana na azma yake ya kununua ngao hiyo.
-
Iran na Uturuki kuanzisha mfumo wao wa kifedha ili kuimarisha biashara
Jun 02, 2019 03:33Serikali za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki zimekusudia kuanzisha mfumo wao mpya wa kifedha kwa ajili ya kuimarisha biashara kati ya pande mbili.
-
Uturuki: Hatujaakhirisha uamuzi wa kununua ngao ya S 400 ya Russia
Jun 01, 2019 03:04Serikli ya Uturuki imekadhibisha habari zilizoenezwa kwamba imesimamisha kwa muda mchakato wa ununuzi wa ngao ya makombora ya S 400 ya Russia kwa pendekezo la Marekani.
-
Mshauri wa Erdogan amuonya Mfalme wa Saudia dhidi ya kuwanyonga wanazuoni
May 29, 2019 03:40Mshauri wa Rais Recep Tayip Erdogan wa Uturuki amemuandikia barua Mfalme Salman Bin Abdulaziz Aal-Saud wa Saudi Arabia, akimtahadharisha juu ya matokeo mabaya ya mpango wa utawala wake wa kuwanyonga wanazuoni watatu mashuhuri nchini humo baada ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.
-
Uturuki: Lazima tutanunua ngao ya S 400 na tunapinga urefushaji muda wa Marekani
May 24, 2019 07:49Serikali ya Uturuki kupitia Waziri wa Ulinzi wa nchi hiyo, imepinga suala la kurefushwa muda kwa lengo la kuifanya ilegeze msimamo wake wa kununua ngao ya makombora ya S 400 kutoka Russia.
-
Khalifa Haftar atishia kuziangamiza meli za Uturuki
May 21, 2019 22:51Kamanda wa vikosi vinavyojiiita Jeshi la Kitaifa la Libya amewaamuru wapiganaji wake kuishambulia meli yoyote ya Uturuki ambayo itakaribia katika eneo la pwani ya Libya.