Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Udiplomasiia amilifu wa Iran na Uturuki

    Udiplomasiia amilifu wa Iran na Uturuki

    Jun 20, 2019 03:58

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki, Mevlüt Çavuşoğlu leo Alkhamisi amekutana na kufanya mazungumzo na mwenyeji wake wa Iran, muhammad javad Zarif katika mji wa Isfahan ambako pande hizo mbili zimejadili masuala ya pande mbili na kikanda.

  • Radiamali za Hamas, Amnesty na Uturuki kwa kifo cha aliyekuwa rais wa Misri

    Radiamali za Hamas, Amnesty na Uturuki kwa kifo cha aliyekuwa rais wa Misri

    Jun 18, 2019 08:12

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetoa mwito wa kufanyika uchunguzi huru wa kifo cha kutatanisha cha aliyekuwa rais wa Misri, Mohammad Morsi.

  • Marais wa Iran na Uturuki wakosoa sera za vikwazo na mashinikizo

    Marais wa Iran na Uturuki wakosoa sera za vikwazo na mashinikizo

    Jun 16, 2019 03:14

    Rais Hassan Rouhani amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki zinapinga vikali sera za vikwazo, mashinikizo na uchukuaji maamuzi ya upande mmoja kwenye uhusiano wa kimataifa.

  • Mchezaji wa Arsenal, Mesut Ozil awafariji maelfu ya maskini, wakimbizi wa Syria katika harusi yake

    Mchezaji wa Arsenal, Mesut Ozil awafariji maelfu ya maskini, wakimbizi wa Syria katika harusi yake

    Jun 08, 2019 07:37

    Mchezaji nyota wa klabu ya Arsenal mwenye asili ya Uturuki siku ya Ijumaa alifunga ndoa na barafu wake wa moyo mwenye uraia pacha wa Uturuki na Sweden, Amina Gulche.

  • Rais Erdoğan: Licha ya mashinikizo ya Marekani, tutanunua ngao ya S 400

    Rais Erdoğan: Licha ya mashinikizo ya Marekani, tutanunua ngao ya S 400

    Jun 05, 2019 00:11

    Kwa mara nyingine Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amesema kuwa, licha ya mashinikizo ya Marekani yanayoitaka inchi yake kuachana na mpango wa kununua ngao ya makombora ya S 400 ya Russia, Ankara haitoachana na azma yake ya kununua ngao hiyo.

  • Iran na Uturuki kuanzisha mfumo wao wa kifedha ili kuimarisha biashara

    Iran na Uturuki kuanzisha mfumo wao wa kifedha ili kuimarisha biashara

    Jun 02, 2019 03:33

    Serikali za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki zimekusudia kuanzisha mfumo wao mpya wa kifedha kwa ajili ya kuimarisha biashara kati ya pande mbili.

  • Uturuki: Hatujaakhirisha uamuzi wa kununua ngao ya S 400 ya Russia

    Uturuki: Hatujaakhirisha uamuzi wa kununua ngao ya S 400 ya Russia

    Jun 01, 2019 03:04

    Serikli ya Uturuki imekadhibisha habari zilizoenezwa kwamba imesimamisha kwa muda mchakato wa ununuzi wa ngao ya makombora ya S 400 ya Russia kwa pendekezo la Marekani.

  • Mshauri wa Erdogan amuonya Mfalme wa Saudia dhidi ya kuwanyonga wanazuoni

    Mshauri wa Erdogan amuonya Mfalme wa Saudia dhidi ya kuwanyonga wanazuoni

    May 29, 2019 03:40

    Mshauri wa Rais Recep Tayip Erdogan wa Uturuki amemuandikia barua Mfalme Salman Bin Abdulaziz Aal-Saud wa Saudi Arabia, akimtahadharisha juu ya matokeo mabaya ya mpango wa utawala wake wa kuwanyonga wanazuoni watatu mashuhuri nchini humo baada ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.

  • Uturuki: Lazima tutanunua ngao ya S 400 na tunapinga urefushaji muda wa Marekani

    Uturuki: Lazima tutanunua ngao ya S 400 na tunapinga urefushaji muda wa Marekani

    May 24, 2019 07:49

    Serikali ya Uturuki kupitia Waziri wa Ulinzi wa nchi hiyo, imepinga suala la kurefushwa muda kwa lengo la kuifanya ilegeze msimamo wake wa kununua ngao ya makombora ya S 400 kutoka Russia.

  • Khalifa Haftar atishia kuziangamiza meli za Uturuki

    Khalifa Haftar atishia kuziangamiza meli za Uturuki

    May 21, 2019 22:51

    Kamanda wa vikosi vinavyojiiita Jeshi la Kitaifa la Libya amewaamuru wapiganaji wake kuishambulia meli yoyote ya Uturuki ambayo itakaribia katika eneo la pwani ya Libya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS