-
Uturuki yawafunga vifungo vya maisha watu 104 kwa tuhuma za kuhusika na mapindizi yaliyofeli
May 21, 2018 23:18Mahakama nchini Uturuki imewahukumu watu 104 vifungo vya maisha katika kadhia ya mapinduzi ya kijeshi yaliyofeli mwaka 2016.
-
Mazungumzo ya Marais wa Iran na Uturuki; kulaaniwa mwenendo wa kigaidi wa Israel
May 17, 2018 07:02Rais Hassan Rouhani amesema, mauaji ya wananchi madhulumu wa Palestina yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika kumbukumbu ya mwaka wa 70 tangu kuvamiwa na kukaliwa kwa mabavu Palestina ni maafa makubwa na yenye athari.
-
Uturuki na Afrika Kusini zawaita nyumbani mabalozi wao wa Israel kulalamikia jinai dhidi ya Wapalestina
May 15, 2018 03:27Uturuki imewaita nyumbani kwa mashauriano mabalozi wake walioko Israel na Marekani baada ya rais wa nchi hiyo Recep Tayyip Erdogan kulaani vikali jinai ya umwagaji mkubwa wa damu na mauaji ya halaiki ya Wapalestina yaliyofanywa na askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel hapo jana kwa uungaji mkono wa Marekani.
-
Uturuki: Kujiondoa Marekani JCPOA, kutageuka kuwa fursa ya kibiashara kati yetu na Iran
May 12, 2018 09:35Waziri wa Uchumi wa Uturuki amesema kuwa, kitendo cha Marekani kujiondoa katika makubaliano ya nyuklia ya Iran maarufu kama JCPOA, kitageuka na kuwa fursa nzuri ya kibiashara kati ya Tehran na Ankara, licha ya vitisho vya vikwazo vya Washington.
-
Trump aendelea kukosolewa duniani, Uturuki yasema, si mbali US itashuhudia madhara ya kujiondoa JCPOA
May 10, 2018 01:50Serikali ya Uturuki kupitia Naibu Waziri Mkuu na Msemaji wa Serikali ya nchi hiyo, Bekir Bozdag, imekosoa vikali hatua ya Rais Donald Trump ya kuiondoa nchi yake katika mapatano ya nyuklia ya Iran maarufu kama JCPOA na kusisitiza kwamba si mbali Washington itashuhudia matokeo mabaya ya hatua yake hiyo.
-
Erdogan: Shakhsia wanaoiponda Qur'ani Ufaransa hawana ufahamu nayo
May 08, 2018 22:27Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amelitaja kundi la shakhsia 300 wa Ufaransa wanaotaka kuondolewa baadhi ya aya katika kitabu kitakatifu cha Qur'ani kwa madai kuwa ni za kichochezi na zilizopitwa na wakati kuwa ni genge lisilo la maana na linalopaswa kutwezwa.
-
Madai ya Rais Erdoğan wa Uturuki juu ya kufanikiwa jeshi lake katika operesheni ya Afrin, Syria
May 07, 2018 21:49Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amedai kuwa jeshi la nchi hiyo limefanikiwa kuwaua magaidi wengi katika operesheni zake eneo la Afrin, kaskazini mwa Syria.
-
Zarif: Mchakato wa Astana ndio njia pekee ya kupatikana amani endelevu Syria
Apr 28, 2018 23:24Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Mohammad Javad Zarif amesema Mchakato wa Amani wa Astana hivi sasa ni harakati pekee ambayo kwa ushirikiano na Umoja wa Mataifa na wengine inaweza kupelekea kupatikana amani adilifu na endelevu nchini Syria.
-
Iran, Russia, Uturuki zatoa tamko la pamoja kuhusu Syria
Apr 28, 2018 11:46Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Russia na Uturuki wametoa tamko la pamoja mwishoni mwa kikao chao cha mjini Moscow, Russia na kutilia mkazo wajibu wa kulindwa ardhi nzima ya Syria na haki ya kujitawala na kujiamulia lenyewe mambo yake taifa hilo la Kiarabu.
-
Trump: Mimi ni jasusi zaidi ya gaidi wa US anayezuiliwa Uturuki
Apr 18, 2018 03:12Rais Donald Trump amejitokeza na kumkingia kifua Padri mmoja raia wa Marekani aliyepandishwa kizimbani nchini Uturuki hivi karibuni kwa tuhuma za kujihusisha na harakati za kigaidi ndani ya taifa hilo.