-
Rouhani: Iran na Uturuki zitaendelea kushirikiana ili kuzima taharuki Syria
Apr 18, 2018 03:00Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mashambulizi ya hivi karibuni ya kijeshi yaliyofanywa na Marekani, Uingereza na Ufaransa dhidi ya Syria yameacha mfano wenye sura ya kutisha kwenye uhusiano wa kimataifa, na kusisitiza kwamba Iran na Uturuki zitaendelea kuwa na ushirikiano wa karibu kwa lengo la kuzuia kushtadi taharuki katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Padri raia wa Marekani apandishwa kizimbani Uturuki kwa tuhuma za ugaidi
Apr 16, 2018 09:49Padri mmoja raia wa Marekani amepandishwa kizimbani nchini Uturuki kwa kujihusisha na harakati za kigaidi ndani ya taifa hilo.
-
Gaidi wa Daesh aliyekuwa akichapa bakora na kunyonga watu Syria, anaswa nchini Uturuki akitoroka
Apr 12, 2018 23:48Vyombo vya usalama nchini Uturuki vimetangaza kwamba, vimefanikiwa kumtia mbaroni kiongozi wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) aliyekuwa maarufu kwa kuchapa watu bakora na kutoa hukumu za kunyongwa idadi kubwa ya watu katika mji wa Raqqa nchini Syria.
-
Matamshi ya Rais wa Uturuki dhidi ya Ufaransa
Apr 08, 2018 22:03Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki, kwa mara nyingine tena ameishutumu Ufaransa kuwa inawachochea magaidi kufanya jinai.
-
Utoaji vitisho tena wa Uturuki dhidi ya Iraq
Mar 30, 2018 22:15Baraza la Usalama wa Taifa la Uturuki limetoa taarifa likitishia kwamba ikiwa serikali ya Iraq haitokomesha harakati za chama cha Wafanyakazi wa Kurdistan (PKK) ndani ya ardhi ya nchi hiyo, Uturuki itapeleka tena vikosi vya jeshi lake eneo la kaskazini mwa Iraq.
-
Vikosi vya jeshi la Iraq na Hashdu sh-Sha'abi vyawasili katika mji wa Sinjar kukabiliana na vitisho vya Uturuki
Mar 27, 2018 22:10Vikosi vya jeshi la Iraq na vya Harakati ya Wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi vimewasili katika mji wa Sinjar mkoani Nainawa (Nineveh) kwa ajili ya kukabiliana na vitisho vya Uturuki dhidi ya wakazi wa mji huo.
-
Baada ya Erdoğan kutishia kuishambulia Iraq, jeshi la Uturuki lashambulia ngome za PKK
Mar 21, 2018 23:48Jeshi la Uturuki limefanya mashambuli ya anga katika maeneo yanayodaiwa na Ankara kuwa ni maficho na ngome za wapiganaji wa Kikurdi wa PKK kaskazini mwa nchi jirani ya Iraq.
-
Kasisi wa Marekani kupandishwa kizimbani Uturuki kwa tuhuma za ugaidi
Mar 20, 2018 12:12Kasisi mmoja raia wa Marekani huenda akahukumiwa kifungo cha miaka 35 jela nchini Uturuki iwapo atapatikana na hatia katika tuhuma za ugaidi na ujasusi zinazomkabili.
-
Mbali na Uturuki kuivamia Syria, Erdoğan atishia tena kuishambulia Iraq
Mar 20, 2018 04:08Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki ametishia kwamba, ikiwa serikali ya Iraq haitoshirikiana na nchi yake, basi Ankara itaanzisha mashambulizi katika miji ya Sinjar nchini Iraq dhidi ya wanachama wa kundi la Kikurdi la PKK.
-
Kuingia wanajeshi wa Uturuki mjini Afrin, Syria na changamoto zitakazoibuka
Mar 19, 2018 04:01Rais Reccep Tayyip Erdogan wa Uturuki jana alitangaza kuwa wanajeshi wa nchi yake sasa wamechukua udhibiti wa mji wa Afrin kaskazini mwa Syria.