-
Wasiwasi wa taathira mbaya za vikwazo vya Marekani kwa afya ya wagonjwa wa Iran
Oct 21, 2021 06:26Vikwazo vya kidhalimu vya Marekani dhidi ya Iran si tu kwamba vimeathiri uchumi wa nchi bali pia vimeathiri vibaya mfumo wa usambazaji dawa na vifaa vya tiba na afya nchini na hasa katika kipindi hiki kigumu cha kuenea duniani virusi hatari vya corona.
-
Algeria yayasusia na kuyawekea vikwazo mashirika 500 ya Ufaransa
Oct 11, 2021 23:04Taasisi moja ya Algeria imetangaza habari ya kususiwa na kuwekewa vikwazo mashirika 500 ya Ufaransa nchini humo, ikiwa ni majibu ya Algiers kwa matamshi ya kifidhuli ya rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron.
-
Umoja wa Mataifa wakosoa vikwazo vya upande mmoja
Aug 13, 2021 04:35Wataalamu huru wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa wamesema katika taarifa iliyosambazwa Jumatano kwamba vikwazo vya upande mmoja vinavyotekelezwa kimataifa na baadhi ya nchi vimewapokonya watu wengi ulimwenguni haki yao ya kujistawisha kimaendeleo.
-
Amnesty yaunga mkono kampeni ya kususiwa utawala wa kibaguzi wa Israel
Aug 09, 2021 03:11Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeunga mkono hatua ya kampuni kubwa zaidi ya kutengeneza malai (ice cream) na mtindi ya Marekani ya kuususia utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Palestina yataka kuwekwa vikwazo vya kimataifa dhidi ya Israel
Jun 26, 2021 22:07Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Palestina imelaani uhalifu unaoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya raia wa Palestina na kutoa wito wa kuwekwa vikwazo vya kimataifa dhidi ya utawala huo.
-
Rabei: Mahudhurio ya Wairani katika uchaguzi yametoa jibu la "hapana" kwa propaganda za kususiwa zoezi hilo
Jun 22, 2021 06:27Msemaji wa Serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa mahudhurio ya wananchi katika zoezi la kupiga kura kwenye uchaguzi wa Rais na Mabaraza ya Miji na Vijiji wa Ijumaa iliyopita yametoa jibu la "hapana" kwa waliotoa wito wa kususiwa zoezi hilo ambao kwa hakika wanashirikiana na maadui walioliwekea vikwazo taifa la Iran.
-
Vikwazo vya Marekani kipindi cha corona ni ukiukaji wa haki za binadamu
Jun 05, 2021 22:07Wimbi la maambukizi ya virusi vya corona linaendelea kuchukua roho za watu katika nchi mbalimbali duniani huku jumuiya za kimataifa zikisisitiza udharura wa kutolewa chanjo ya kukabiliana na virusi hivyo na kusambazwa chanjo hiyo na vifaa vingine vya tiba ili kufanikisha jitihada za kuvuka kipindi cha sasa cha janga hilo la kimataifa.
-
Serikali ya Biden yatakiwa iushinikize utawala wa Saudia uondoe mzingiro dhidi ya Yemen
May 21, 2021 21:58Maseneta kadhaa nchini Marekani wamemuandikia barua Rais Joe Biden wa Marekani na kumtaka aishinikize Saudi Arabia ili iondoe mzingiro dhidi ya Yemen. Waliotia saini mapatano hayo ni maseneta Elizabeth Warren na Bernie Sanders.
-
Wabunge wa Iran wataka kufutwa vikwazo vyote ilivyowekewa Tehran
May 18, 2021 09:17Wabunge 200 wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) wametoa tamko la pamoja la kutaka kufutwa vikwazo vyote ilivyowekewa Iran.
-
Spika Qalibaf: Tunachofuatilia ni vikwazo vyote kuondolewa kikamilifu
May 09, 2021 08:15Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Iran inataka vikwazo vyote viondolewe kikamilifu.