Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Vyama vya ndani ya Yemen

  • Jeshi la Yemen lajibu mapigo kwa kushambulia maeneo kadhaa ya Israel

    Jeshi la Yemen lajibu mapigo kwa kushambulia maeneo kadhaa ya Israel

    Jul 07, 2025 06:19

    Jeshi la Yemen limefanya mashambulizi mapya ya makombora katika maeneo mbali mbali ya Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu, ili kulipiza kisasi cha mashambulizi ya anga ya utawala huo pandikizi dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Ansarullah: Katika Uislamu wa Imamu Hussein (AS), kujisalimisha hakuna nafasi

    Ansarullah: Katika Uislamu wa Imamu Hussein (AS), kujisalimisha hakuna nafasi

    Jul 06, 2025 18:33

    Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema, katika Uislamu wa Imamu Hussein (AS), kujidhalilisha na kusalimu amri hakuna nafasi hata chembe.

  • Ben Gurion yafungwa tena kutokana na shambulio la kombora la Yemen

    Ben Gurion yafungwa tena kutokana na shambulio la kombora la Yemen

    Jul 06, 2025 14:27

    Mamlaka ya anga ya Israel imesitisha safari zote za ndege za kuwasili na kuondoka katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Ben Gurion na kusema kuwa kituo hicho kitaendelea kufungwa "kwa muda usiojulikana" baada ya Vikosi vya Wanajeshi wa Yemen kufanya shambulio la kombora, kulipiza kisasi vita vya mauaji ya halaiki vinavyoendelea vya utawala wa Tel Aviv dhidi ya Wapalestina huko Gaza.

  • UN: Saudia ikomeshe mashambulizi yake Yemen na kuheshimu usitishaji vita

    UN: Saudia ikomeshe mashambulizi yake Yemen na kuheshimu usitishaji vita

    Oct 19, 2016 07:44

    Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Yemen ameitaka Saudia kukomesha mashambulizi yake nchini humo mara moja kupitia makubaliano ya usitishaji vita.

  • Aal Saud katika wigo wa jinai kubwa na hujuma ya vita nchini Yemen

    Aal Saud katika wigo wa jinai kubwa na hujuma ya vita nchini Yemen

    Oct 09, 2016 11:23

    Katika mwezi wa 19 wa mashambulizi ya kila upande na kinyama nchini Yemen, utawala wa Saudia umetekeleza jinai nyingine ya kutisha katika faili la jinai zake ndani ya nchi hiyo masikini ya Kiarabu.

  • Jeshi na wananchi Yemen wajiweka tayari kukabiliana na Saudia

    Jeshi na wananchi Yemen wajiweka tayari kukabiliana na Saudia

    Jul 23, 2016 16:30

    Mkuu wa Kamati ya Mapinduzi nchini Yemen ameelezea habari ya kujiweka tayari kwa kila upande jeshi na harakati za kujitolea za wananchi kwa ajili ya hujuma zozote za Saudia.

  • Houthi: Tutaheshimu makubaliano ya usitishaji vita Yemen

    Houthi: Tutaheshimu makubaliano ya usitishaji vita Yemen

    Apr 11, 2016 08:16

    Harakati ya Houthi ya Yemen imesema itaheshimu makubaliano ya usitishaji vita nchini humo.

  • UN: Saudia inawalenga raia katika vita  nchini Yemen

    UN: Saudia inawalenga raia katika vita nchini Yemen

    Mar 19, 2016 03:09

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu katika Umoja wa Mataifa amesema Saudia na waitifaki wake wanadondosha mabomu katika shule, mahospitali na vituo vya afya nchini Yemen.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS