Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Vyama vya ndani ya Yemen

  • Ansarullah yatishia kushambnulia vituo vyovyote vya Israel katika eneo la Somaliland

    Ansarullah yatishia kushambnulia vituo vyovyote vya Israel katika eneo la Somaliland

    Jun 26, 2026 11:20

    Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen, Abdul-Malik al-Houthi, ameapa kwamba atashambulia uwepo wowote wa Israel katika eneo lililojitenga na Somalia la Somaliland kwa njia zote zinazowezekana, akisisitiza kwamba Yemen "haitakaa kimya mbele ya uwepo wowote wa Israel huko Somaliland, na haitawasubiri waoga."

  • Yemen yasema uwepo wowote wa Israel katika maji ya Somalia utakuwa shabaha halali

    Yemen yasema uwepo wowote wa Israel katika maji ya Somalia utakuwa shabaha halali

    Jun 23, 2026 11:20

    Mwanachama wa ngazi za juu wa harakati inayotawala nchini Yemen ya Ansarullah ameonya kuhusu uwepo wa vikosi vya jeshi la Israel katika maji ya Somalia, akisema kwamba kupelekwa huko wanajeshi hao kutatambuliwa kuwa shabaha halali.

  • Onyo la Yemen: Hakuna atakayefungua Lango Bahari la Bab el Mandeb likifungwa

    Onyo la Yemen: Hakuna atakayefungua Lango Bahari la Bab el Mandeb likifungwa

    Apr 19, 2026 10:34

    Mwanachama wa ngazi ya juu wa harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Ansarullah nchini Yemen amemhimiza Rais wa Marekani Donald Trump kujiepusha na maamuzi ya uchochezi na kuheshimu haki za mataifa ya Kiislamu, akimwonya yeye pamoja na washirika wake kuhusu uwezekano wa kufungwa kwa Lango Bahari la Bab el Mandeb.

  • Jeshi la Yemen lajibu mapigo kwa kushambulia maeneo kadhaa ya Israel

    Jeshi la Yemen lajibu mapigo kwa kushambulia maeneo kadhaa ya Israel

    Jul 07, 2025 02:49

    Jeshi la Yemen limefanya mashambulizi mapya ya makombora katika maeneo mbali mbali ya Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu, ili kulipiza kisasi cha mashambulizi ya anga ya utawala huo pandikizi dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Ansarullah: Katika Uislamu wa Imamu Hussein (AS), kujisalimisha hakuna nafasi

    Ansarullah: Katika Uislamu wa Imamu Hussein (AS), kujisalimisha hakuna nafasi

    Jul 06, 2025 15:03

    Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema, katika Uislamu wa Imamu Hussein (AS), kujidhalilisha na kusalimu amri hakuna nafasi hata chembe.

  • Ben Gurion yafungwa tena kutokana na shambulio la kombora la Yemen

    Ben Gurion yafungwa tena kutokana na shambulio la kombora la Yemen

    Jul 06, 2025 10:57

    Mamlaka ya anga ya Israel imesitisha safari zote za ndege za kuwasili na kuondoka katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Ben Gurion na kusema kuwa kituo hicho kitaendelea kufungwa "kwa muda usiojulikana" baada ya Vikosi vya Wanajeshi wa Yemen kufanya shambulio la kombora, kulipiza kisasi vita vya mauaji ya halaiki vinavyoendelea vya utawala wa Tel Aviv dhidi ya Wapalestina huko Gaza.

  • UN: Saudia ikomeshe mashambulizi yake Yemen na kuheshimu usitishaji vita

    UN: Saudia ikomeshe mashambulizi yake Yemen na kuheshimu usitishaji vita

    Oct 19, 2016 04:14

    Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Yemen ameitaka Saudia kukomesha mashambulizi yake nchini humo mara moja kupitia makubaliano ya usitishaji vita.

  • Aal Saud katika wigo wa jinai kubwa na hujuma ya vita nchini Yemen

    Aal Saud katika wigo wa jinai kubwa na hujuma ya vita nchini Yemen

    Oct 09, 2016 07:53

    Katika mwezi wa 19 wa mashambulizi ya kila upande na kinyama nchini Yemen, utawala wa Saudia umetekeleza jinai nyingine ya kutisha katika faili la jinai zake ndani ya nchi hiyo masikini ya Kiarabu.

  • Jeshi na wananchi Yemen wajiweka tayari kukabiliana na Saudia

    Jeshi na wananchi Yemen wajiweka tayari kukabiliana na Saudia

    Jul 23, 2016 12:00

    Mkuu wa Kamati ya Mapinduzi nchini Yemen ameelezea habari ya kujiweka tayari kwa kila upande jeshi na harakati za kujitolea za wananchi kwa ajili ya hujuma zozote za Saudia.

  • Houthi: Tutaheshimu makubaliano ya usitishaji vita Yemen

    Houthi: Tutaheshimu makubaliano ya usitishaji vita Yemen

    Apr 11, 2016 03:46

    Harakati ya Houthi ya Yemen imesema itaheshimu makubaliano ya usitishaji vita nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS