Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Yemen ameitaka Saudia kukomesha mashambulizi yake nchini humo mara moja kupitia makubaliano ya usitishaji vita.
Katika mwezi wa 19 wa mashambulizi ya kila upande na kinyama nchini Yemen, utawala wa Saudia umetekeleza jinai nyingine ya kutisha katika faili la jinai zake ndani ya nchi hiyo masikini ya Kiarabu.
Mkuu wa Kamati ya Mapinduzi nchini Yemen ameelezea habari ya kujiweka tayari kwa kila upande jeshi na harakati za kujitolea za wananchi kwa ajili ya hujuma zozote za Saudia.
Harakati ya Houthi ya Yemen imesema itaheshimu makubaliano ya usitishaji vita nchini humo.
Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu katika Umoja wa Mataifa amesema Saudia na waitifaki wake wanadondosha mabomu katika shule, mahospitali na vituo vya afya nchini Yemen.