Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • Naim Qassim: Kushikamana Waislamu kumesambaratisha njama za US-Israel

    Naim Qassim: Kushikamana Waislamu kumesambaratisha njama za US-Israel

    Apr 01, 2021 06:05

    Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuungana na kushikamana Waislamu pasina kujali tofauti zao za kimitazamo na kiitikadi kumesambaratisha njama za Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel za kuyagawanya vipande vipande mataifa ya Kiislamu.

  • Sri Lanka kupiga marufuku niqab, kufunga shule zaidi ya 1,000 za Kiislamu

    Sri Lanka kupiga marufuku niqab, kufunga shule zaidi ya 1,000 za Kiislamu

    Mar 14, 2021 04:37

    Katika kile kinachoonekana ni mwendelezo wa kushtadi chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu nchini Sri Lanka, serikali ya nchi hiyo imetangaza kuwa karibuni hivi itapiga marufuku uvaaji wa vazi la staha la burqa (niqabu) ambalo huvaliwa na baadhi ya wanawake wa Kiislamu.

  • Sri Lankia yafuta agizo la kuchoma maiti za Waislamu baada ya kuzongwa na malalamiko

    Sri Lankia yafuta agizo la kuchoma maiti za Waislamu baada ya kuzongwa na malalamiko

    Feb 26, 2021 23:20

    Serikali ya Sri Lanka jana Ijumaa ilifuta agizo la kuchomwa moto maiti za watu walioaga dunia kutokana na virusi vya corona, siku chache baada ya Waziri Mkuu wa Pakistan, Imran Khan, kutoa wito wa kuheshimiwa ada na taratibu za kidini za Waislamu nchini Sri Lanka.

  • Waislamu wa Kenya waijia juu serikali kwa kubomoa msikiti mkongwe wa miaka 83

    Waislamu wa Kenya waijia juu serikali kwa kubomoa msikiti mkongwe wa miaka 83

    Feb 08, 2021 08:52

    Viongozi na wanaharakati wa Kiislamu nchini Kenya wamekosoa vikali hatua ya serikali ya nchi hiyo kupitia Shirika la Reli kubomoa msikiti mkongwe wa miaka 83 katika kaunti ya Kisumu, magharibi mwa nchi.

  • Sri Lanka yatakiwa kuacha kuchoma maiti za Waislamu

    Sri Lanka yatakiwa kuacha kuchoma maiti za Waislamu

    Jan 10, 2021 00:51

    Jumuiya 16 zisizo za kiserikali nchini Australia zimetoa wito wa kushinikizwa serikali ya Sri Lanka ili isitishe kuchoma moto maiti za Waislamu wanaoaga dunia kutokana na virusi vya corona nchini Sri Lanka.

  • Kumbukumbu ya mauaji ya Waislamu huko, Zaria kaskazini mwa Nigeria

    Kumbukumbu ya mauaji ya Waislamu huko, Zaria kaskazini mwa Nigeria

    Dec 12, 2020 03:56

    Leo Waislamu wa Nigeria wanakumbuka mauaji yaliyotekelezwa na jeshi la nchi hiyo katika mji wa Zaria jimboni Kaduna, dhidi ya wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria.

  • Vitisho, chuki dhidi ya Waislamu zaongezeka Austria baada ya shambulio la kigaidi

    Vitisho, chuki dhidi ya Waislamu zaongezeka Austria baada ya shambulio la kigaidi

    Nov 20, 2020 00:11

    Vitisho, hujuma na chuki dhidi ya Waislamu zimeongezeka kwa kiasi cha kutisha nchini Austria, kufuatia shambulizi la kigaidi lililotokea nchini humo mapema mwezi huu wa Novemba.

  • Waislamu kote duniani wanaadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa Mtume SAW na Imam Swadiq AS

    Waislamu kote duniani wanaadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa Mtume SAW na Imam Swadiq AS

    Nov 02, 2020 23:42

    Waislamu leo wanaadhimisha maulidi na kumbukumbu ya kuzaliwa mbora wa viumbe Mtume Muhammad SAW pamoja na mjukuu wake Imam Ja'afar bin Muhammad al-Swadiq AS.

  • Waislamu wa Ufaransa walaani shambulio la kigaidi lililotokea nchini humo

    Waislamu wa Ufaransa walaani shambulio la kigaidi lililotokea nchini humo

    Oct 29, 2020 23:01

    Baraza la Waislamu wa Ufaransa limelaani shambulio la kigaidi lililotokea nchini humo.

  • Al Azhar: Itungwe sheria ya kutambua hujuma dhidi ya Uislamu kuwa ni uhalifu

    Al Azhar: Itungwe sheria ya kutambua hujuma dhidi ya Uislamu kuwa ni uhalifu

    Oct 28, 2020 23:25

    Sheikh Mkuu wa al Azhar nchini Misri amekosoa matamshi ya chuki na hujuma ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa dhidi ya Uislamu na kutoa wito wa kutungwa sheria inayotambua chuki na uhasama dhidi ya Waislamu kuwa ni uhalifu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS