• Askari mla watu akamatwa nchini Ufaransa kabla ya kumla mhanga wake

    Askari mla watu akamatwa nchini Ufaransa kabla ya kumla mhanga wake

    Jan 25, 2022 11:13

    Polisi wa Ufaransa wanasema kuwa wamemkamata mwanajeshi mwenye historia ya kufanya uhalifu kabla ya kumuwinda ajuza mmoja kwa ajili ya kula nyama yake.

  • Kenya na Tanzania zaelekea katika mzozo wa maji

    Kenya na Tanzania zaelekea katika mzozo wa maji

    Nov 30, 2017 16:32

    Ukanda wa Hifadhi za Taifa za Serengeti nchini Tanzania na Maasai Mara nchini Kenya ambao una mojawapo wa maajabu manane ya dunia yanayovutia watalii unakumbwa na tishio la kimazingira kutokana na nchi hizo mbili kuingia katika mgogoro wa kugombania maji.

  • Ndege wachokozi

    Ndege wachokozi

    May 21, 2016 17:09

    Kila kiumbe hai kimetengewa na wakati wake wa starehe, lakini starehe ya ndege hawa ni kuwachokoza wanyama wenzao... Angalia mwenyewe...

  • Wakati chui aina ya

    Wakati chui aina ya "jaguar" anapoamua kuwinda mfalme wa mtoni, mamba...

    May 17, 2016 09:59

    Ingawa mamba anaonekana kuwa myama hatari zaidi anapokuwa mtoni, na ingawa kesi nyingi zilizoripotiwa, huwa zinahadithia mashambulizi yanayofanywa na mambo kwa watumiaji wa mto, lakini si kila siku mambo ni mshambuliaji kama inavyoonesha video hii fupi

  • Wanyama werevu

    Wanyama werevu

    May 17, 2016 09:55

    Kila kiumbe cha Mwenyezi Mungu, kimeumbwa kwa hekima na umakini wa hali ya juu na kila leo kunagunduliwa maajabu mapya kutoka kwa viumbe hao kama inavyoonesha video hii kuhusu mambo ya ajabu yanayoweza kufanywa na wanyama na kuzidi kumfanya mwanadamu akiri uwezo usio na kifani wa Mwenyezi Mungu