Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waziri Mkuu

  • Al Sudani: Iraq inapinga kukiukwa mamlaka ya kujitawala ya nchi jirani

    Al Sudani: Iraq inapinga kukiukwa mamlaka ya kujitawala ya nchi jirani

    Oct 04, 2023 06:48

    Waziri Mkuu wa Iraq amesisitiza kwa mara nyingine tena kwamba nchi yake haitageuzwa kuwa sehemu ya kukika mamlaka ya kujitawala ya nchi yoyote ile hasa nchi jirani.

  • Waziri Mkuu wa Kuwait asisitiza umuhimu wa kadhia ya Palestina

    Waziri Mkuu wa Kuwait asisitiza umuhimu wa kadhia ya Palestina

    Sep 22, 2023 11:33

    Waziri Mkuu wa Kuwait Ahmad Nawaf Al-Ahmad Al-Sabah amesisitiza kuwa Palestina ni moja ya masuala muhimu katika ulimwengu wa Kiislamu na ulimwengu wa Kiarabu.

  • Shamkhani asisitiza kuanzishwa utaratibu wa matumizi ya Riyali na Rupia

    Shamkhani asisitiza kuanzishwa utaratibu wa matumizi ya Riyali na Rupia

    May 02, 2023 01:33

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran ametilia mkazo kuanzishwa utaratibu wa kutumia sarafu ya Riyali na Rupia katika mabadilishano ya kibiashara na kiuchumi kati ya Iran na India.

  • Waziri Mkuu wa Lebanon: Kuna ulazima wa kuchukua hatua haraka ili kuiokoa nchi

    Waziri Mkuu wa Lebanon: Kuna ulazima wa kuchukua hatua haraka ili kuiokoa nchi

    Mar 24, 2023 10:00

    Waziri Mkuu wa Lebanon Najib Miqati amesema, kuna ulazima wa kuchukuliwa hatua za haraka za kuiokoa nchi hiyo.

  • Wimbi jipya la migomo na malalamiko nchini Uingereza; ishara ya kutoridhishwa na serikali ya Sunak

    Wimbi jipya la migomo na malalamiko nchini Uingereza; ishara ya kutoridhishwa na serikali ya Sunak

    Mar 18, 2023 08:01

    Mamia ya maelfu ya wananchi wa Uingereza wamemiminika katika mitaa ya mji mkuu wa nchi hiyo, London katika maandamano na migomo mikubwa inayoendelea dhidi ya serikali ya Waziri Mkuu, Rishi Sunak.

  • Muhammad Shia al Sudani: Iran haiingilii masuala ya Iraq; Wamagharibi wanapasa kufahamu mazingira ya Iraq

    Muhammad Shia al Sudani: Iran haiingilii masuala ya Iraq; Wamagharibi wanapasa kufahamu mazingira ya Iraq

    Mar 16, 2023 04:37

    Waziri Mkuu wa Iraq amekaribisha mapatano ya Iran na Saudi Arabia na kusema kuwa: Iran kamwe haingilii masuala ya ndani ya Iraq na Wamagharibi wanapasa kufahamu mazingira ya Iraq.

  • Onyo la Russia kwa Netanyahu kuhusu msaada wa silaha kwa Ukraine

    Onyo la Russia kwa Netanyahu kuhusu msaada wa silaha kwa Ukraine

    Feb 04, 2023 02:14

    Russia imeuonya vikali utawala haramu wa Israel baada ya Waziri Mkuu wa utawala huo Benjamin Netanyahu kutangaza Jumatano usiku kwamba anachunguza suala la kutuma msaada wa kijeshi wa utawala huo nchini Ukraine.

  • Al Sudani afanya mazungumzo na mrithi wa kiti cha ufalme wa Kuwait

    Al Sudani afanya mazungumzo na mrithi wa kiti cha ufalme wa Kuwait

    Nov 24, 2022 02:24

    Waziri Mkuu wa Iraq amekutana na kufanya mazungumzo na mrithi wa kiti cha ufalme wa Kuwait na kusisitiza juu ya ulazima wa kuimarisha uhusiano kati ya nchi mbili.

  • Waziri Mkuu wa kwanza mwanamke Italia, mabadiliko katika siasa za ndani na nje

    Waziri Mkuu wa kwanza mwanamke Italia, mabadiliko katika siasa za ndani na nje

    Oct 24, 2022 04:00

    Giorgia Meloni amepewa rasmi jukumu la uwaziri mkuu wa Italia kutoka chama chenye misimamo mikali ya kulia cha Brothers of Italy. Hayo yamekuja baada ya kufanyika mazungumzo ya pande kadhaa na hatimaye Rais wa Italia amempa jukumu Meloni la kuunda serikali mpya akiwa ni Waziri Mkuu wa kwanza kabisa mwanamke katika historia ya Italia.

  • Kuongezeka maradufu bajeti ya kijeshi ya UK, kushiriki London kwenye chokochoko za kijeshi za Washington

    Kuongezeka maradufu bajeti ya kijeshi ya UK, kushiriki London kwenye chokochoko za kijeshi za Washington

    Sep 27, 2022 02:12

    Licha ya Uingereza kukumbwa na mgogoro wa kiuchumi baada ya janga la corona na kupungua thamani ya sarafu ya nchi hiyo, lakini London imeamua kuongeza maradufu bajeti yake ya matumizi makubwa ya kijeshi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS