Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Wiki ya Umoja

  • Waislamu Waanza kusherehekea Maulidi ya Mtume Muhammad na Wiki ya Umoja

    Waislamu Waanza kusherehekea Maulidi ya Mtume Muhammad na Wiki ya Umoja

    Oct 29, 2020 02:55

    Leo tarehe 12 Mfunguo Sita Rabiul Awwal kwa mujibu wa nukuu za baadhi ya wanazuoni wa Kiislamu, inasadifia na siku aliyozaliwa Mtume Muhammad (saw) na kuanza Wiki ya Umoja baina ya Waislamu.

  • Pongezi kwa munasaba wa Maulid ya Mtume Mtukufu SAW wa Uislamu na kuanza Wiki ya Umoja

    Pongezi kwa munasaba wa Maulid ya Mtume Mtukufu SAW wa Uislamu na kuanza Wiki ya Umoja

    Nov 20, 2018 04:49

    Leo Jumanne, 12 Rabiul Awwal mwaka 1440 Hijria Qamaria, sawa na Novemba 20 2018, kwa mujibu wa baadhi ya riwaya ni siku ya kukumbuka na kuadhimisha kuzaliwa (Maulid) Bwana Mtume Muhammad al Mustafa SAW, Mtume Mtukufu wa Uislamu. Siku hii pia ni mwanzo wa Wiki ya Umoja wa Kiislamu.

  • Kongamano la Umoja wa Kiislamu ni nembo ya Umoja wa Ulimwengu wa Kiislamu

    Kongamano la Umoja wa Kiislamu ni nembo ya Umoja wa Ulimwengu wa Kiislamu

    Dec 01, 2017 15:33

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu amesema, kongamano la kila mwaka la Umoja wa Kiislamu ni nembo ya umoja katika Ulimwengu wa Kiislamu.

  • Mkutano wa Umoja wa Kiislamu kufanyika Tehran na kushirikisha nchi 70

    Mkutano wa Umoja wa Kiislamu kufanyika Tehran na kushirikisha nchi 70

    Nov 28, 2017 16:34

    Mkutano wa 31 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu umepangwa kufanyika wiki ijayo katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Tehran kwa kuhudhuriwa na wageni 250 kutoka nchi 70 duniani.

  • Sheikh wa al Azhar aalikwa kushiriki Mkutano wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu, Tehran

    Sheikh wa al Azhar aalikwa kushiriki Mkutano wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu, Tehran

    Nov 27, 2017 08:11

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu amemwalika rasmi Sheikh wa al Azhar nchini Misri kushiriki katika Mkutano wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu utakaoanza tarehe 4 mwezi ujao wa Disemba hapa mjini Tehran.

  • Ayatullah Larijani: Kulindwa umoja ni jukumu la kidini na kiakili la Waislamu

    Ayatullah Larijani: Kulindwa umoja ni jukumu la kidini na kiakili la Waislamu

    Dec 12, 2016 13:54

    Mkuu wa Vyombo vya Mahakama nchini Iran amesisitiza juu ya kufanyika juhudi kadiri inavyowezekana kwa ajili ya kulinda umoja na mshikamano baina ya Waislamu na kusimama kidete mbele ya mabeberu.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS