Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zanzibar

  • SAUTI, Waislamu wahimizwa kutozembea kuzipata fadhila za 'Usiku wa Heshima' katika kumi la mwisho la mwezi wa Ramadhani

    SAUTI, Waislamu wahimizwa kutozembea kuzipata fadhila za 'Usiku wa Heshima' katika kumi la mwisho la mwezi wa Ramadhani

    May 18, 2020 11:05

    Waislamu wamehimizwa kuendeleza ibada mbalimbali ndani ya kumi la mwisho la mwezi huu wa Ramadhani ili kuweza kupata fadhila za Usiku wa Heshima (Lailatul-Qadr).

  • Baada ya kuongezeka wagonjwa 23, idadi ya walioambukizwa virusi vya corona Zanzibar yafikia 58

    Baada ya kuongezeka wagonjwa 23, idadi ya walioambukizwa virusi vya corona Zanzibar yafikia 58

    Apr 19, 2020 10:31

    Wizara ya Afya ya Zanzibar imetangaza wagonjwa wapya 23 wa Homa Kali ya Mapafu inayosababishwa na virusi vya corona vya COVID-19.

  • Waislamu Zanzibar wahimizwa kujifunza elimu ya ndoa ili kuepuka talaka holela + Sauti

    Waislamu Zanzibar wahimizwa kujifunza elimu ya ndoa ili kuepuka talaka holela + Sauti

    Dec 27, 2019 12:20

    Waislamu visiwani Zanzibar hasa vijana wametakiwa kulipa umuhimu suala la elimu ya ndoa ili kupunguza wimbi la talaka za kiholela ambazo kimsingi zinahesabiwa ni sehemu moja ya kukanyaga haki za watoto. Hayo na mengineyo yamo kwenye ripoti ya kila wiki ya matukio ya Kiislamu, Afrika Mashariki, kama inavyoletwa kwenu na mwandishi wetu wa Zanzibar, Harith Subeit.

  • Kamanda wa polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba: Sikumkamata Maalim Seif kwa kuwa hakufanya kosa lolote kwenye mikutano yake

    Kamanda wa polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba: Sikumkamata Maalim Seif kwa kuwa hakufanya kosa lolote kwenye mikutano yake

    Dec 14, 2019 12:36

    Kamanda Polisi wa Mkoa wa Kaskazini kisiwani Pemba, Sheikhan Mohamed Sheikhan amesema mahojiano yaliyofanywa na jeshi hilo kuwahusu viongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, yanaonyesha kuwa walifanya mikutano yao bila ya kuvunja sheria.

  • ACT-Wazalendo yalalamika kufanyiwa hujuma visiwani Zanzibar + Sauti

    ACT-Wazalendo yalalamika kufanyiwa hujuma visiwani Zanzibar + Sauti

    Dec 02, 2019 13:31

    Viongozi wa chama cha ACT Wazalendo visiwani Zanzibar wametahadharisha kuhusu madhara yanayoweza kutokea kutokana na kile wanachoamini ni hujuma za makusudi zinazoendeshwa dhidi ya viongozi wa chama hicho visiwani Unguja na Pemba. Harith Subeit na maelezo zaidi kutoka Zanzibar.

  • SAUTI, Rais Mohamed Shein: Kukosekana sheria kali, kunawafanya wahalifu wa mitandao, kuwanajisi watoto

    SAUTI, Rais Mohamed Shein: Kukosekana sheria kali, kunawafanya wahalifu wa mitandao, kuwanajisi watoto

    Nov 05, 2019 12:52

    Kukosekana kwa sheria kali inayodhibiti matumizi ya mitandao ya kijamii, kumepelekea ongezeko la jinai nyingi zinazowakabili watu wengi.

  • Matukio ya Kiislamu: Kitabu kipya cha Maulidi kuzinduliwa Zanzibar, kitagaiwa bure + Sauti

    Matukio ya Kiislamu: Kitabu kipya cha Maulidi kuzinduliwa Zanzibar, kitagaiwa bure + Sauti

    Nov 01, 2019 13:01

    Kitabu kipya kinachozungumzia mazazi ya Bwana Mtume Muhammad SAW kuzinduliwa visiwani Zanzibar sambamba na kuingia mwezi wa Mfunguo Sita ambapo hushamiri sana sherehe za Maulidi ya mtukufu huyo wa daraja. Hayo na mengineyo yamo kwenye ripoti ya kila wiki ya matukio ya Kiislamu iliyoandaliwa na mwandishi wetu wa Zanzibar, Harith Subeit…

  • Matukio ya ulimwengu wa Kiislamu na Harith Subeit + Sauti

    Matukio ya ulimwengu wa Kiislamu na Harith Subeit + Sauti

    Sep 07, 2019 04:19

    Wiki hii pia kama ilivyo kwa wiki zote, ukanda wa Afrika Mashariki na Kati umeendelea kuwa na matukio mengi ya Kiislamu. Mwandishi wetu wa Zanzibar Harith Subeit anatudondolea baadhi yake katika ripoti yake hii...

  • Matukio ya ulimwengu wa Kiislamu na Harith Subeit + Sauti

    Matukio ya ulimwengu wa Kiislamu na Harith Subeit + Sauti

    Aug 30, 2019 12:11

    Wiki hii pia kama ilivyo kwa wiki zote, ukanda wa Afrika Mashariki na Kati umeendelea kuwa na matukio mengi ya Kiislamu. Mwandishi wetu wa Zanzibar Harith Subeit anatudondolea baadhi yake katika ripoti yake hii...

  • Mufti wa Zanzibar awataka wanawake wa Kiislamu kuwa mstari wa mbele kutetea dini yao + Sauti

    Mufti wa Zanzibar awataka wanawake wa Kiislamu kuwa mstari wa mbele kutetea dini yao + Sauti

    Aug 26, 2019 02:02

    Mufti Mkuu wa Zanzibar, Sheikh Saleh al Kaabi, amewataka wanawake wa Kiislamu visiwani humo kuwa mstari wa mbele katika kutetea dini yao. Harith Subeit na maelezo zaidi kutoka Zanzibar...

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS