ACT-Wazalendo yalalamika kufanyiwa hujuma visiwani Zanzibar + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i57639-act_wazalendo_yalalamika_kufanyiwa_hujuma_visiwani_zanzibar_sauti
Viongozi wa chama cha ACT Wazalendo visiwani Zanzibar wametahadharisha kuhusu madhara yanayoweza kutokea kutokana na kile wanachoamini ni hujuma za makusudi zinazoendeshwa dhidi ya viongozi wa chama hicho visiwani Unguja na Pemba. Harith Subeit na maelezo zaidi kutoka Zanzibar.
(last modified 2023-11-27T12:14:11+00:00 )
Dec 02, 2019 17:01 UTC

Viongozi wa chama cha ACT Wazalendo visiwani Zanzibar wametahadharisha kuhusu madhara yanayoweza kutokea kutokana na kile wanachoamini ni hujuma za makusudi zinazoendeshwa dhidi ya viongozi wa chama hicho visiwani Unguja na Pemba. Harith Subeit na maelezo zaidi kutoka Zanzibar.