-
Mahujaji 1700 wanatarajiwa kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu kutokea Zanzibar + Sauti
Jul 15, 2019 00:12Mahujaji watarajiwa 1700 kutoka Zanzibar nchini Tanzania wametakiwa kufuata kwa vitendo mafunzo waliyopatiwa na viongozi wa taasisi za Hija zinazowasafirisha ili kuepuka usumbufu wowote unaoweza kujitokeza. Harith Subeit na maelezo zaidi kutoka Zanzibar
-
Matukio ya ulimwengu wa Kiislamu na Harith Subeit + Sauti
Jun 28, 2019 11:24Kama kawaida, wiki hii pia kuna matukio mengi ya Kiislamu yametokea katika ukanda mzima wa Afrika Mashariki. Mwandishi wetu wa Zanzibar, Harith Subeit ametukusanyia baadhi ya matukio hayo katika ripoti yake hii ya kila wiki...
-
SAUTI, Rais Mohamed Shein wa Zanzibar akemea upandishaji bei wa bidhaa ndani ya Ramadhan, Chuo cha ndoa ZNZ na Tende zaadimika Kenya
May 24, 2019 10:12Rais Dk Ali Mohamed Shein wa Zanzibar amewakemea wafanyabiashara kupandisha bei kwa bidhaa muhimu zinazotumika sana ndani ya mwezi wa Ramadhan na hata katika miezi mingine. Kadhalika Rais Shein amewaonya wafanya biashara wenye tamaa ya kupata utajiri wa haraka kuacha kuuza biadhaa zilizopitwa na wakati au zile ambazo hazijafikia wakati wa kutumiwa hususan mazao ya shambani.
-
SAUTI, Kamati ya Kukabiliana na Maafa Zanzibar yafanya kikao cha dharura na kuwatahadharisha watu wanaoishi mabondeni
May 10, 2019 10:23Kamati ya Kitaifa Kukabiliana na Maafa Zanzibar imefanya mkutano wa dharura kuchunguza ukubwa wa hasara na maafa vilivyosababishwa na mvua za siku tatu zilizonyesha hivi karibuni visiwani humo.
-
Wazanzibar waadhimisha miaka 55 ya Mapinduzi, Rais Shein aelezea mafanikio katika maeneo tofauti + Sauti
Jan 12, 2019 12:44Jumamosi ya leo Wazanzibar wamesherehekea kumbukumbu ya mapinduzi yaliyofanyika hapo mwaka 1964.
-
Matukio ya Kiislamu Afrika Mashariki wiki hii na Harith Subeit + Sauti
Jan 05, 2019 02:47Wiki hii kama ilivyojiri kwa wiki zilizopita, kumekuwa na matukio mengi yanayohusiana na Waislamu wa Afrika Mashariki. Harith Subeit amekusanya baadhi ya matukio hayo na kutuandalia ripoti ifuatayo...
-
Vyama 6 vya siasa Tanzania vyajadili demokrasia katika mkutano wa Zanzibar+SAUTI
Dec 18, 2018 14:58Viongozi na wanachama waandamizi wa Vyama sita vya siasa katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamekutana visiwani Zanzibar hii leo na kujadili juu ya dira ya taifa.
-
Kongamano la Kimataifa la Kiswahili lafanyika Zanzibar+SAUTI
Dec 13, 2018 12:28Zanzibar ni mwenyeji wa Kongamano la Kimataifa la Kiswahili. Kongamano hilo la siku mbili limefunguliwa rasmi na Rais Dkt Ali Mohammad Shein, ambaye amesisitiza haja ya kuenziwa magwiji na waandishi wa vitabu vya Kiswahili. Mwandishi wetu wa Zanzibar Harith Subeit ana maelezo zaidi......
-
Viongozi wa Waislamu Zanzibar wataka kufungwa mabaa visiwani humo
Dec 09, 2018 04:11Viongozi wa Kiislamu Zanzibar nchini Tanzania wameitaka serikali ifunge mabaa na vituo vya vileo wakisisitiza kuwa vinachangia katika mmomonyoko wa maadili katika visiwa hivyo.
-
SAUTI, Ripoti ya Matukio ya Kiislamu kuanzia Hafla za maulidi ya Mtume (saw), malalamiko ya ongezeko la mahari ZNZ na sisitizo la Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
Nov 23, 2018 12:15Ripoti ya Matukio ya Kiislamu inaanzia visiwani Zanzibar ambapo walimu wa madrasa wametakiwa kuwa na mwongozo katika shughuli zao za ufundishaji ili kuifanya kazi yao hiyo kuwa na tija chanya.