Mahujaji 1700 wanatarajiwa kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu kutokea Zanzibar + Sauti
Jul 15, 2019 04:42 UTC
Mahujaji watarajiwa 1700 kutoka Zanzibar nchini Tanzania wametakiwa kufuata kwa vitendo mafunzo waliyopatiwa na viongozi wa taasisi za Hija zinazowasafirisha ili kuepuka usumbufu wowote unaoweza kujitokeza. Harith Subeit na maelezo zaidi kutoka Zanzibar
Tags