• Kujibu upotoshaji wa BBC, Arubaini ya Imam Husain AS si kueneza ukahaba + Sauti

    Kujibu upotoshaji wa BBC, Arubaini ya Imam Husain AS si kueneza ukahaba + Sauti

    Oct 17, 2019 11:30

    Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuhu. Wapenzi wasikilizaji, neno mashaya hivi sasa limeingia katika msamiati wa kidini na kupata nguvu hasa kati ya jamii ya Waislamu ya wapenzi na maashiki wakubwa wa Ahlul Bayt wa Bwana Mtume Muhammad SAW.

  • Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (12)

    Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (12)

    Oct 27, 2018 11:10

    Haram na makaburi matakatifu ya Mtume Muhammad (saw) na Maimamu maasumu wa nyumba yake tukufu (as) katika kipindi chote cha historia ya Uislamu ya zaidi ya miaka 1400, yamekuwa kimbilio la nyoyo zenye hamu kubwa za waumini na wafuasi wao.

  • Arubaini ya Imam Husain AS 1437 Hijria

    Arubaini ya Imam Husain AS 1437 Hijria

    Nov 08, 2017 05:27

    Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Takribani miaka 1376 iliyopita, ilifanyika majlisi ya kwanza ya siku ya Arubaini tangu kuuawa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW) Imam Husain bin Ali (AS) akiwa na watu wa Nyumba Tukufu ya Mtume ambao waliuawa shahidi tarehe 10 Muharram mwaka 61 Hijria.

  • Arubaini; kukamilika Ashura

    Arubaini; kukamilika Ashura

    Nov 06, 2017 10:26

    Arubaini ni siku ya kufikia ukamilifu. Ukamilifu wa Ashura ni Arubaini; ukamilifu wa matendo, harakati na juhudi zote. Karbala katika Siku ya Arubaini huwa ni kioo cha waliofikia kilele cha umaanawi kiasi kwamba ulegevu, uzembe, udhaifu na kurejea nyuma huwa havina nafasi tena katika hali hiyo.

  • Arubaini ya Imam Hussein AS kwa Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Arubaini ya Imam Hussein AS kwa Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Nov 03, 2017 06:24

    Assalam Aleikum Warahmatullahi Wabarakatuhu. Karibuni kujiunga nasi katika makala hii inayowajieni kwa munasaba wa siku hizi za Arubaini ya Imam Hussein AS. Makala yetu ya leo itaangazia siri hii kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, Ayatullah Sayyed Ali Khamenei. Karibuni kujiunga nami hadi mwisho.

  • Imam Hussein, Nguzo ya Umoja na Mshikamano wa Kiislamu

    Imam Hussein, Nguzo ya Umoja na Mshikamano wa Kiislamu

    Oct 31, 2017 10:40

    Zimebakia siku chache tu hadi siku ya Arubaini ya Imam Hussein (as) na barabara zote za kuelekea katika mji wa Karbala nchini Iraq zimefurika watu kama mto wa maji unaoelekea katika mji mtakatifu wa Karbala.

  • Arubaini Katika Maneno ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu (5)

    Arubaini Katika Maneno ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu (5)

    Nov 17, 2016 10:13

    Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Karibuni wapenzi wasikilizaji katika kipindi hiki maalumu kinachokujieni kwa mnasaba wa Arubaini ya Imam Hussein (AS) ambapo leo tutazungumzia kauli na maneno ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran Ayatullah Sayyid Ali Khamenei kuhusu tukio hilo adhimu. Endeleeni kuwa nami hadi mwisho wa kipindi kusikiliza niliyokuandalieni.

  • Arubaini, Safari ya Nyoyo za Maashiki (1)

    Arubaini, Safari ya Nyoyo za Maashiki (1)

    Nov 15, 2016 12:16

    Kwa kawaida safari ya kutembea kwa miguu kutoka mji wa Najaf al Ashraf kuelea Karbala inayofanywa kila mwaka na maashiki na wapenzi wa mjukuu wa Mtume (saw), Imam Hussein (as) huambatana na vuguvugu na msisimko wa aina yake. Mwanzoni mwa safari hiyo mazuwari huanza safari hiyo ya mahaba na upendo katika mji wa Najaf wakiwa na shanta dogo, viatu vyepesi na masurufu kiduchu ya kutumia njiani.

  • Arubaini, Mjumbe wa Umoja wa Kiislamu Duniani (4)

    Arubaini, Mjumbe wa Umoja wa Kiislamu Duniani (4)

    Nov 15, 2016 07:13

    Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi. Karibuni katika makala hii maalumu tuliyokuandalieni kwa mnasaba wa kumbukumbu ya Arubaini ya Imam Husain AS. Ni mfululizo wa makala maalumu ambazo zinakujieni katika kipindi cha siku hizi kadhaa za kuelekea kwenye kilele cha kumbukumbu hizo zinazofanyika Karbala nchini Iraq ambapo kwa mwaka huu itakuwa ni Jumatatu ya tarehe 21 Novemba kulingana na mwandamo wa mwezi nchini Iraq. Karibuni.

  • Arubaini, Kuenea Utamaduni wa Ashura (2)

    Arubaini, Kuenea Utamaduni wa Ashura (2)

    Nov 14, 2016 07:46

    Assalaamu alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nasi tena katika sehemu nyingine ya mfululizo wa makala hizi zinazokujieni kwa mnasaba wa kumbukumbu ya Arubaini ya Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib as.