• Ureno yaisasambua Ufaransa na kutwaa Kombe la Yuro 2016

    Ureno yaisasambua Ufaransa na kutwaa Kombe la Yuro 2016

    Jul 11, 2016 07:44

    Ahlan wasahlan wamarhaba mpenzi msikilizaji wa Radio Tehran na hususan ashiki wa spoti natumai huna neno. Baada ya kupezana kwa muda wa mwezi mmoja kutokana na kupumzishwa kipindi hiki cha Ulimwengu wa Michezo ili kupisha vipindi na mawaidha ya mwezi Mtukufu wa Ramadhani, nakukaribisha kwa moyo mkunjufu nikupashe yaliyojiri viwanjani ndani ya siku saba zilizopita. Nakusihi tuandamane sote hadi tamati ya kipindi.

  • FIFA yamteua mwanamke wa Kiislamu kuwa Katibu Mkuu

    FIFA yamteua mwanamke wa Kiislamu kuwa Katibu Mkuu

    May 14, 2016 05:44

    Kwa mara ya kwanza katika historia ya kandanda duniani, Shirikisho la Soka Duniani FIFA limemteua mwanamke wa Kiafrika na Muislamu kuwa Katibu Mkuu wa taasisi hiyo ya kimataifa ya kusimamia mpira wa miguu.