-
Zarif: Hakuna dhalimu yeyote awezaye kuyazima mapambano ya kupigania uadilifu
Oct 30, 2018 08:00Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Hakuna dhalimu yeyote awezaye katu kuyazima mapambano ya kupigania uadilifu.
-
Wafanyaziara milioni 15 wamefika Karbala kushiriki kwenye Arubaini ya Imam Hussein (as)
Oct 30, 2018 07:26Baraza la Mkoa wa Karbala nchini Iraq limetangza kuwa limesajili wafanyaziara milioni 15 walioingia nchini humo kwa ajili ya Arubaini ya Imam Hussein (as) huku idadi ya mazuwari hao ikiwa inaendelea kuongezeka.
-
Jumanne, Oktoba 30, 2018
Oct 30, 2018 02:34Leo ni Jumanne tarehe 20 Mfunguo Tano Safar 1440 Hijria sawa na Oktoba 30, mwaka 2018 Milaadia.
-
Siku moja kabla ya Arubaini ya Imam Hussein (as) zaidi ya wafanyaziara milioni 10 wameshazuru Karbala
Oct 29, 2018 08:15Naibu Mkuu wa Mkoa wa Karbala nchini Iraq amesema: Hadi sasa zaidi ya wafanyaziara milioni 10 wamewasili mkoani humo kwa lengo la kushiriki Arubaini ya Imam Hussein (as).