• Mwinyi kuongoza timu ya waangalizi wa uchaguzi UG

    Mwinyi kuongoza timu ya waangalizi wa uchaguzi UG

    Feb 09, 2016 11:35

    Rais mstaafu wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi ameteuliwa kuongoza timu ya waangalizi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwenye uchaguzi mkuu wa Uganda wa Februari 18.

  • Matamshi ya Kiongozi Muadhamu katika mkutano na maafisa wa Jeshi la Anga

    Matamshi ya Kiongozi Muadhamu katika mkutano na maafisa wa Jeshi la Anga

    Feb 09, 2016 04:08

    Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, siku ya Jumatatu alikutana na makamanda na maafisa wa Jeshi la Anga la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusema, maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Februari 11 Bahman na uchaguzi ujao wa Februari 26 ni Idi mbili zenye maana kwa taifa la Iran.

  • Idadi ya wagombea urais wa Kongo Brazzaville yaongezeka

    Idadi ya wagombea urais wa Kongo Brazzaville yaongezeka

    Feb 07, 2016 22:19

    Wapinzani wengine wawili wa serikali ya Jamhuri ya Kongo wametangaza kuwa watagombea katika uchaguzi wa rais unaotazamiwa kufanyika tarehe 20 ya mwezi ujao wa Machi.