-
Kiongozi Muadhamu: Mashahidi Walinzi wa Haram ni fahari kwa taifa zima
Jan 05, 2017 12:40Familia za makomandoo saba wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu la Iran waliouawa shahidi kwa ajili ya kulinda Haram ya Bibi Zainab (SA) iliyoko nchini Syria leo zilimtembelea Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.
-
Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu kujitolea mashahidi
Dec 15, 2016 10:36Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameyataja mawimbi ya njama na mashambulizi ya uistikbari katika kadhia mbalimbali duniani kuwa yalikuwa ni kwa ajili ya Iran ya Kiislamu na kueleza kuwa, kutawala Qur'ani na dini nchini Iran na kueneza masuala hayo katika pembe nyingine za dunia, ni sababu iliyomfanya adui ahisi hatari na hivyo kufanya njama na kuendesha harakati dhidi ya mfumo wa Kiislamu wa Iran.
-
Kiongozi Muadhamu: Kufanyike juhudi za kuitambulisha Swala kama inavyostahiki
Dec 08, 2016 10:05Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, kuna haja ya kufanyika hima na juhudi za kuifahamu na kuitambulisha Swala katika nafasi yake inayostahiki na amali za mtu binafsi ziendane nayo.
-
Kiongozi Muadhamu alionya Baraza la Congress la Marekani
Nov 27, 2016 13:29Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amelionya Baraza la Congress la Marekani akisisitiza kuwa, hatua yoyote ya kuvirudisha vikwazo ambavyo muda wake umeisha ni uwekaji wa vikwazo vipya na ni uvunjaji wa makubaliano.
-
Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu kufuatia kuuawa shahidi wafanyaziara Iraq na ajali ya treni Iran
Nov 26, 2016 12:53Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa makundi yatendayo jinai ya kitakfiri, kwa mara nyingine yamedhihirisha kinyongo chao kiuoga na kwa njia ya kuogofya na hivyo kuonyesha uso wao khabithi na wa kishetani kwa watu wote.