Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Surua yaua watu 200,000 duniani, DRC, CAR, Madagascar zaongoza Afrika

    Surua yaua watu 200,000 duniani, DRC, CAR, Madagascar zaongoza Afrika

    Nov 13, 2020 08:03

    Ugonjwa wa surua ulisababisha vifo vya watu wapatao 207,000 mwaka jana pekee baada ya muongo mzima wa mkwamo wa kupanua wigo wa utoaji chanjo, limesema shirika la afya la Umoja wa Mataifa, WHO.

  • Ndege za kivita za Ethiopia zashambulia maghala ya silaha huko Tigray

    Ndege za kivita za Ethiopia zashambulia maghala ya silaha huko Tigray

    Nov 12, 2020 22:07

    Jeshi la Ethiopia limetangaza kuwa limetekeleza mashambulizi katika maghala ya silaha na kambi za kuhifadhia nishati za Harakati ya Wananchi ya Ukombozi wa Tigray (The Tigray People's Liberation Front (TPLF)) kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Watoto wasiopungua 6 wauawa katika shambulio la  waasi nchini Cameroon

    Watoto wasiopungua 6 wauawa katika shambulio la waasi nchini Cameroon

    Oct 25, 2020 04:50

    Watoto wasiopungua 6 wameuawa katika shambulio la watu wenye silaha lililolenga shule ya Fransisca International Bi-lingual Academy. Shambulio hilo lilifanyika jana katika eneo la Koumba kusini magharibi mwa Cameroon.

  • Ripoti ya matukio ya Kiislamu juma hili nchini Tanzania + SAUTI

    Ripoti ya matukio ya Kiislamu juma hili nchini Tanzania + SAUTI

    Oct 16, 2020 12:46

    Viongozi wa dini Tanzania wakemewa na Baraza la Maulamaa la BAKWATA kwa kujihusisha na kuwapigia kampeni wagombea wa vyama vya siasa katika uchaguzi mkuu

  • Sudan yakanusha kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni

    Sudan yakanusha kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni

    Oct 15, 2020 23:09

    Duru moja ya kuaminika ndani ya Baraza la Uongozi la Sudan imekanusha taarifa zinazodai kuwa kumefikiwa makubaliano ya kuanzishwa uhusiano wa kawaida baina ya baraza hilo na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Mamia wapambana na polisi Tunisia baada ya muuza sigara kuuawa kwa buldoza

    Mamia wapambana na polisi Tunisia baada ya muuza sigara kuuawa kwa buldoza

    Oct 13, 2020 22:53

    Mamia ya waandamanaji waliokuwa wakirusha mawe walipambana na polisi katika mji wa Sbeitla nchini Tunisia jana Jumanne baada ya mamlaka kushambulia kibanda cha sigara ambacho hakina leseni, na kumuua mmiliki wake aliyekuwa amelala ndani yake.

  • Uchumi wa Afrika kupungua kwa asilimia -3.3 mwaka 2020

    Uchumi wa Afrika kupungua kwa asilimia -3.3 mwaka 2020

    Oct 11, 2020 04:20

    Ustawi wa uchumi katika eneo la Afrika kusini mwa jangwa la Sahara unakadiriwa kuwa hasi kwa asilimia -3.3 kwa mwaka huu kutokana na athari za virusi vya Corona.

  • WHO: Corona imezidisha idadi ya wenye kupatwa na matatizo za kiakili Afrika

    WHO: Corona imezidisha idadi ya wenye kupatwa na matatizo za kiakili Afrika

    Oct 09, 2020 04:24

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetadharisha juu ya ongezeko la watu wanaokumbwa na matatizo ya kisaikolojia barani Afrika, kutokana na athari hasi za janga la corona.

  • UN: Afrika imepoteza dola bilioni 800 kutokana na magendo

    UN: Afrika imepoteza dola bilioni 800 kutokana na magendo

    Sep 30, 2020 01:09

    Shirika la Biashara na Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNCTAD) limesema bara la Afrika limepoteza zaidi ya dola bilioni 800 ndani ya miaka michache iliyopita kutokana na magendo na mzunguko haramu wa fedha.

  • AU yataka Afrika iwe na 'sauti' katika Baraza la Usalama la UN

    AU yataka Afrika iwe na 'sauti' katika Baraza la Usalama la UN

    Sep 23, 2020 04:48

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ambaye ni Mwenyekiti wa kiduru wa Umoja wa Afrika (AU) amesema muundo wa hivi sasa wa Baraza la Usalama la umoja huo unapaswa kuangaliwa upya kwa kuwa namna ulivyo hauakisi taswira halisi ya dunia ya leo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS