Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • UNICEF yazitaka nchi za mashariki na kusini mwa Afrika zifungue shule

    UNICEF yazitaka nchi za mashariki na kusini mwa Afrika zifungue shule

    Sep 22, 2020 22:05

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umezitaka serikali za nchi za mashariki na kusini mwa Afrika kufungua shule haraka iwezekanavyo sambamba na kuhakikisha kuwa wanafunzi wanakuwa salama wanaporejea shuleni.

  • Uturuki: Ankara itaendelea kuisaidia serikali ya GNA Libya hata baada ya Sarraj kung'atuka

    Uturuki: Ankara itaendelea kuisaidia serikali ya GNA Libya hata baada ya Sarraj kung'atuka

    Sep 21, 2020 23:11

    Uturuki imetangaza kuwa itaendelea kuiunga mkono serikali inayotambuliwa kimataifa ya Libya licha ya Waziri Mkuu Fayez al-Sarraj kutangaza wiki iliyopita kwamba, anapanga kuondoka madarakani mwishoni mwa mwezi ujao.

  • Covid-19; WHO yaainisha kanuni za kufanyia majaribio dawa za asili za Kiafrika

    Covid-19; WHO yaainisha kanuni za kufanyia majaribio dawa za asili za Kiafrika

    Sep 20, 2020 22:57

    Huku jitihada za kutafuta chanjo ya ugonjwa wa Covid-19 zikiendelea katika nchi kadhaa duniani, Shirika la Afya Duniani (WHO) limeafiki kanuni za kufanyia majaribio dawa za asili za Kiafrika kwa ajili ya kutibu ugonjwa huo.

  • Erdogan amkumbusha Macron jinai za Ufaransa barani Afrika, asema hajui hata historia ya nchi yake

    Erdogan amkumbusha Macron jinai za Ufaransa barani Afrika, asema hajui hata historia ya nchi yake

    Sep 13, 2020 09:07

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amemtahadharisha mwenzake wa Ufaransa, Emmanuel Macron kuhusu matatizo atakayokumbana nayo mkabala wake yeye na kumkumbusha jinai na uhalifu uliofanywa na Paris barani Afrika.

  • AU yataka kupokonywa silaha raia wanaozimiliki kinyume cha sheria Afrika

    AU yataka kupokonywa silaha raia wanaozimiliki kinyume cha sheria Afrika

    Sep 06, 2020 03:13

    Umoja wa Afrika (AU) umesisitizia udharura wa kukusanya mamilioni ya silaha zinazimilikiwa na raia kinyume cha sheria katika nchi za Afrika.

  • Katibu Mkuu wa UN: COVID-19 imevuruga utalii, ajira milioni 120 ziko hatarini

    Katibu Mkuu wa UN: COVID-19 imevuruga utalii, ajira milioni 120 ziko hatarini

    Aug 25, 2020 22:14

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema janga la COVID-19 limevuruga utalii duniani kote na kuleta masaibu mengi.

  • Maambukizi ya Covid-19 yapungua katika nchi 32 za Afrika

    Maambukizi ya Covid-19 yapungua katika nchi 32 za Afrika

    Aug 25, 2020 03:45

    Kituo cha Kukinga na KUdhibiti Magonjwa cha Afrika (Afrika CDC) kimesema hivi sasa nchi 32 za Afrika zimeripoti chini ya maambukizi 5,000 ya ugonjwa wa Covid-19, huku maambukizi mapya yakiongezeka kwa kasi katika nchi chache barani humo.

  • Waathirika wa corona barani Afrika wapindukia milioni moja na 183 elfu

    Waathirika wa corona barani Afrika wapindukia milioni moja na 183 elfu

    Aug 23, 2020 22:05

    Watu zaidi ya milioni moja na 183,000 wameambukizwa virusi vya corona barani Afrika.

  • Wanasayansi nchini China wagundua mbinu inayoweza kutumiwa kuangamiza nzige

    Wanasayansi nchini China wagundua mbinu inayoweza kutumiwa kuangamiza nzige

    Aug 18, 2020 21:56

    Wanasayansi nchini China wamegundua mada zenye harufu ambazo hutolewa na nzige na kusababisha wajikusanye kwenye makundi.

  • Ripoti za jaribio la mapinduzi Mali, milio ya risasi yasikika Bamako, na mawaziri watiwa nguvuni

    Ripoti za jaribio la mapinduzi Mali, milio ya risasi yasikika Bamako, na mawaziri watiwa nguvuni

    Aug 18, 2020 09:08

    Jeshi la Mali limeweka vizuizi katika kambi moja iliyopo katika viunga vya mji mkuu wa nchi hiyo, Bamako huku raia wa eneo hilo wakisema kuwa milio ya risasi inaendelea kusikika katika eneo hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS