-
Nchi 7 za Kiafrika kuanza kupima antibodi za Covid-19
Aug 13, 2020 22:24Nchi saba za Kiafrika kuanzia wiki ijayo zitaanza kupima antibodi za virusi vya corona katika juhudi za kutambua kiwango cha maambukizi hayo barani Afrika.
-
Wagonjwa wa corona Afrika wapindukia milioni moja, karibu elfu 24 wamefariki dunia
Aug 12, 2020 23:02Takwimu za karibuni zinaonesha kuwa, idadi ya watu walioathiriwa na virusi vya corona barani Afrika imepindukia watu milioni moja na 69 elfu.
-
Upinzani Ivory Coast: Muhula wa tatu wa urais wa Ouattara utaibua machafuko nchini
Aug 07, 2020 23:54Uamuzi wa Rais Alassane Ouattara wa Ivory Coast wa kugombea kiti cha urais kwa muhula wa tatu unakiuka katiba na utasababisha machafuko katika nchi hiyo ambayo bado inajikwamua kutoka kwenye vita vya ndani. Hayo yalielezwa jana Ijumaa na mrengo wa upinzani.
-
Walioambukizwa corona Afrika wapindukia milioni moja
Aug 07, 2020 06:37Idadi ya maambukizi ya virusi vya corona barani barani Afrika imepindukia milioni moja huku karibu ya nusu walioambukizwa wakiwa Afrika Kusini.
-
Maambukizi ya COVID-19 yaongezeka Afrika, yapindukia 800,000
Jul 27, 2020 02:43Maambukizi ya ugonjwa wa COVID-19 au corona barani Afrika yanaongezeka kwa kasi na hadi kufikia Jumapili waliokuwa wameabukizwa ugonjwa huo barani humo walikuwa ni 828,214.
-
Wagonjwa wa COVID-19 wapindukia laki saba barani Afrika
Jul 19, 2020 19:58Idadi ya wagonjwa wa COVID-19 waliothibitishwa hadi kufikia jana asubuhi barani Afrika walikuwa ni laki saba na 1,573. Hayo ni kwa mujibu wa Kituo cha Kinga na Udhibiti wa Magonjwa Afrika (CDC).
-
Janga la corona kusababisha watu milioni 50 Afrika kukumbwa na umaskini
Jul 10, 2020 03:08Watu milioni 50 katika nchi za Afrika yumkini wakatumbukia katika lindi la umaskini wa kupindukia kutokana na makali ya janga la corona.
-
Kesi za corona zilizothibitishwa barani Afrika zapindukia 500,000
Jul 09, 2020 11:00Idadi ya kesi za ugonjwa wa Covid-19 (corona) zilizothibitishwa katika nchi za Afrika kufikia leo Alkhamisi ni zaidi ya laki tano.
-
Rekodi mpya walioambukizwa COVID-19 Afrika, tahadhari yatolewa
Jun 27, 2020 03:47Idadi kubwa zaidi ya walioambukizwa COVID-19 au corona barani Afrika imeripotiwa Ijumaa huku tahadahri ikitolewa kuwa ugonjwa huo unaenea kwa kasi barani humo.
-
Alkhamisi tarehe 25 Juni mwaka 2020
Jun 24, 2020 22:05Leo ni Alkhamisi tarehe 3 Dhulqaada 1441 Hijria sawa na Juni 25 mwaka 2020.